Yaliyomfika Rais Ali Hassan Mwinyi katika utawala wake 1985 - 1995

Yaliyomfika Rais Ali Hassan Mwinyi katika utawala wake 1985 - 1995

Mzee saidi.....wewe ni mzee wangu ila najua ulihusika na kuchochea vurugu zile za mwembechai......kipindi kile ww ulikua kkoo
Na uliwaponza wajomba zangu wa Nyaishozi akina ustaadhi mugisha na alhaji kairuki wakateguka miguu wakati wanakimbia vurugu za vijana barubaru.
Usikatae
 
Basi historia hiyo irekebishwe bila kuhusisha udini. Tunayomengi sana kujifunza kutoka kwako ila sasa kila historia hiyo inapohusisha sana uislam inatutoa kwenye mood ya kufuatilia mafunzo unayoyatoa. Inakuwa kama vile unaugomvi na ukristo. Shida ndiyo inakuwa hapo mzee wangu
Choka,
Vipi tutaibadilisha historia na hivyo ndivyo ilivyokuwa?

1709915299749.jpeg

Kulia Bi. Chiku bint Said Kisusa (mke wa Shariff Abdallah Attas) Bibi Titi Mohamed. Kushoto Bi. Tatu Bint Mzee na Julius Nyerere wanamsindikiza uwanja wa ndege Dar es Salaam safari ya kwanza UNO 1955
1709915675177.png

Kulia Haruna Iddi Taratibu, Saadan Abdu Kandoro, Julius Nyerere, Sheikh Mohamed Ramia na Iddi Faiz Mafungo, Dodoma Train Station 1955/56
1709915859605.png
Hii katika picha ndiyo historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sasa ikiwa kuna wasiopenda historia hii kuwa hivi ilivyo tunafanya nini?

Kwanza ilidhaniwa inawezekana kuifuta kwa kuizuia.
Mohamed Said akaitafiti na akaandika kitabu.

Historia hii sasa ipo na inasomwa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
 
Mzee saidi.....wewe ni mzee wangu ila najua ulihusika na kuchochea vurugu zile za mwembechai......kipindi kile ww ulikua kkoo
Na uliwaponza wajomba zangu wa Nyaishozi akina ustaadhi mugisha na alhaji kairuki wakateguka miguu wakati wanakimbia vurugu za vijana barubaru.
Usikatae
Nelson...
Hunijui.
 
Mzee Said Mohammed......wew mtu maarufu kkoo nzima tunakujua bhana.
Hata mzee wako anafahamika.
Hata babu yako anafahamika pia.
Nelson...
Katika mjadala huu tujiepushe na maneno ''bhana.''
Hili ni darsa la kusoma elimu si mahali pa maneno ya mitaani.

Soma post zangu hili utaligundua.
Mimi sifahamiki hivyo Dar es Salaam ya leo.

Wale waliokuwa wanawajua wazee wangu leo hawapo halikadhalika wale wenye kunijua mimi wengi hawapo tena Kariakoo.
 
Nelson...
Katika mjadala huu tujiepushe na maneno ''bhana.''
Hili ni darsa la kusoma elimu si mahali pa maneno ya mitaani.

Soma post zangu hili utaligundua.
Mimi sifahamiki hivyo Dar es Salaam ya leo.

Wale waliokuwa wanawajua wazee wangu leo hawapo halikadhalika wale wenye kunijua mimi wengi hawapo tena Kariakoo.
Wewe ni mzee wetu maarufu na tuna mpango tukufanyie mahojiano makubwa sana......nyie ndio wakongwe wachache mliobakia......pamoja na mitazamo yako ya kidini ila wewe ni mzee wetu unaewakilisha kwa usahii vizazi vya jamii ya wabantu wa MBWA MAJI......kabla hapajaitwa MZIZIMA.
Na kabla hata hawa waarabu wa Oman akina Juma bin Muhammed el Nebhan......babu yake na yule chotara wa kiarabu,muuza binadamu na pembe za ndovu TIP TIP aliyetawala Kasongo na baadae kua kibaraka wa wabelgiji kabla mwanae Seif hajawageuka wabelgiji ambao walimuua...!!!
 
Wewe ni mzee wetu maarufu na tuna mpango tukufanyie mahojiano makubwa sana......nyie ndio wakongwe wachache mliobakia......pamoja na mitazamo yako ya kidini ila wewe ni mzee wetu unaewakilisha kwa usahii vizazi vya jamii ya wabantu wa MBWA MAJI......kabla hapajaitwa MZIZIMA.
Na kabla hata hawa waarabu wa Oman akina Juma bin Muhammed el Nebhan......babu yake na yule chotara wa kiarabu,muuza binadamu na pembe za ndovu TIP TIP aliyetawala Kasongo na baadae kua kibaraka wa wabelgiji kabla mwanae Seif hajawageuka wabelgiji ambao walimuua...!!!
Nelson...
Mbona Uislam unakukera sana?
Hivi unajua kuwa Waislam hawakumbagua Nyerere?

Unaijua historia hii?
Mbona unaandika kwa kejeli na jeuri?

Unawajua hao hapo chini na Mwalimu?

1709928304605.png
 
Nelson...
Mbona Uislam unakukera sana?
Hivi unajua kuwa Waislam hawakumbagua Nyerere?

Unaijua historia hii?
Mbona unaandika kwa kejeli na jeuri?

Unawajua hao hapo chini na Mwalimu?

View attachment 2928775
Walimpenda kinafiki.....walikua wanawapenda wakoloni wa kiarabu....mfano mzuri wazee wako.
Mm naijua historia kuanzia mji wa kale MBWA MAJI.....kabla ya dar es salaam.
 
Mm nadhani unajifariji kwa kudhani watu wanaokataa hoja zako kua wanaumia!!!!!
Wewe mbuzi katoliki ingia ligi na mimi nikupelekeshe, muache mzee saidi ni ni muungwana mno
Ingia anga zangu kenge wewe wa kihutu na pia nikupe salaam za muslimah in heart General Kagame anavyowasumkumia za mtaro
By the way, tuaichukua Goma muda sio mrefu.................
 
Walimpenda kinafiki.....walikua wanawapenda wakoloni wa kiarabu....mfano mzuri wazee wako.
Mm naijua historia kuanzia mji wa kale MBWA MAJI.....kabla ya dar es salaam.
"Naomba nikuulize kuna nyumba ya kumbukumbu ya Nyerere ipo Magomeni Mikumi karibu na ofisi ya ACT Wazalendo tupe kidogo historia yake."

Jibu langu:

1709954969014.jpeg

Makala (Daily News) inasema kuwa nyumba hii ina historia ya kupigania uhuru.

Hii si kweli.

Nyerere kahamia nyumba hii mwaka wa 1958 na hata alipokuwa anaishi Maduka Sita nyumba ile hapakuwa na harakati zozote.

1709955545585.jpeg

Nyumba ya Nyerere Magomeni Maduka Sita na yeye ndiye huyo anaingia ndani.

Mipango yote na mikutano ya siri ya TANU kuanzia TAA ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes.

Nyumba hii ya Mtaa wa Ifunda Nyerere alinunua kiwanja kwa fedha zake mwenyewe na akasaidiwa kuijenga na rafiki zake wa karibu: John Rupia, Dossa Aziz na Abdul na Ally Sykes.

Haya maneno alisema Makongoro Nyerere siku ya uzinduzi wa nyumba hii baada ya ukarabati mkubwa.

Mimi na Abdulrahman Ali Msham, mtoto wa Ali Msham tulialikwa kwa kuwa maofisa wa nyumba ile ya kumbukizi walifika kutuhoji historia ya Mwalimu.

Ali Msham alifungua tawi la TANU nyumbani kwake Mtaa wa Jaribu, Magomeni Mapipa na akampa Mama Maria sehemu ndogo hapo nyumbani kwake kwenye tawi la TANU kufanya biashara ya kuuza mafuta ya taa.

Mwalimu alihamia nyumba ile ya Mtaa wa Ifunda mwaka wa 1958 akitokea nyumba iliyokuwa Morogoro Road Maduka Sita ambayo alitafutiwa na TANU.

TANU walimweka Mwalimu hapo kwa kuwa walitaka awe jirani na Ramadhani Aziz mdogo wake Dossa Aziz.

Ramadhani Aziz alikuwa na duka hapo na akiishi hapo hapo.

Nyerere alihamia hapo mwaka wa 1955 akitokea nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu.

Nyumba hii Nyerere hakukaa muda mrefu akapewa nyumba na serikali ya kikoloni Sea View.

1709955311096.jpeg

Nyumba ya Abdu Sykes ambayo Nyerere aliishi baada ya kuacha kazi.

Muonekano huu ni baada ya kufanyiwa ukarabati nyumba ya zamani katika miaka ya 1970 lakini zile nyumba mbili kubwa na ndogo aliyoishi Nyerere zilibakia kama zilivyo na ni huu upande wa kulia.

1709955469223.jpeg

Nyumba ya Abdul Sykes kama ilivyo hivi sasa.

Kwa kuhitimisha ningependa kusema kuwa hii ndiyo historia ambayo haikuwa inafahamika na wengi.
 
Ukiachana na huu upuuzi wene nadharia chonganishi, ufitini na maudhui ya kusambaza chuki ndani yake. Hao waliomzunguka mwinyi ni wabantu, ww na mwinyi ndio wabantu. Maisha yako mpaka uzee huo kazi yako ni kuwasema vibaya maraisi wakristu, jamii kubwa ya wakristu kiujumla na kusambaza chuki dhidi ya kanisa na wakristu. Neno langu ni moja ulizaliwa kanisa ukalikuta na utakufa utaliacha likiendelea kunawili wewe sio wa kwanza walikuepo na sasa Hawapo ila kanisa lipo matendo yako yatakuhukumu. kwene uhalisia mtaani tunaishi kwa amani sana licha ya tofauti zetu kiimani na uwepo wa waovu wachache kama wewe mixa wale magaidi wa Zanzibar na ndugu zao ndio kundi lene chuki dhidi ya wengine afu kwisho wa siku haya ni maisha na watu tunaishi. Kila mkristu kwako ni mbaya, kanisa nalo mbaya ila muislam sawa, msikiti sawa. Utakufa na ghiriba rohini mwako mzee embu jisahihishe uzeeke vizuri.
hata wezi, malaya , waongo, walevi na wanaomuasi mungu utakufa na utawawacha , sasa ndio wasisemwe ??

Hivi hii hali tuliyonayo ni amani ?? kila uchaguzi mnakuja kuuwa watu Zanzibar na kulazimisha kuweka viongozi wanaokubalika na kanisa ni amani ??
 
Anajua hana maisha marefu kwahio kazi yake ni kuhubiri chuki, kueneza uongo na ufitini kwene makundi ya watu ili kuwajaza watu jazba, kutengeneza utengano na kusababisha chuki dhidi ya jamii ya wakristu nchini. Mzee anataka atuachie vijana msala leo hii kikinuka na taifa kupalanganyika yeye hana cha kupoteza kwasababu hana nguvu za maisha marefu huko mbeleni kama sisi. Taifa hili limejengwa sana na umoja mpk hapa lilipo mwalimu hakufanya kazi ndogo ya kuunganisha jamii zote zene mamia ya imani tofauti afu gafla anatokea kikongwe mmoja kazi yake ni kuwasema vibaya watu hasa wa jamii tofauti kiimani na yeye. Tutaendelea kumwambia ukweli wala hatutasita kumkumbusha umuhimu wa umoja, amani na mshikamano.
Kwani wewe una hakika walau ya saa moja mbele ??
Taifa limejengwa na umoja gani , Msingalimpinga Mchaga kuwa Raisi
 
Hivi we baba huwa una Nini kikusumbuacho kichwani? Hakuna mada humu ambayo hujazungumzia ama hujaiunganisha na dini!
Ni kwanini we'we Ni mdini Sana?
Mda wote unawaza na kuandika kuhusu dini hat kwenye mada zisohusu Hili.
Jibu...

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kwani wewe humwazi Padri wako wakati wote ??
 
Wewe mzee mpumbafu..kwahiyo hapa tupo kujenga nchi au kupambania nguvu ya imani fulani ndani ya kanisa..nendeni shule ndio mje kulalamika...upuuzi mtupu unaongea.

#MaendeleoHayanaChama
Huna jipya Mgalatia wewe zaidi ya matusi uliyofundishwa na Padri wako
 
Mbaya zaidi huyo mzee..kanisa ndio limempa elimu na akili ya kuanza kulitukana..bila elimu kupitia kanisa probably angekua amekuafa kwa maradhi na umasikini..wakupuuza hiyo.

Bora kanisa lingesomesha mbuzi kuliko huyo kilaza...mafanikio yote aliyoyapata ni kupitia elimu ya kanisa.

#MaendeleoHayanaChama

Hii ndiyo elimu anayokufundisha Padri wako kanisani inaeleweka
 
Ahahahahaha! Umeeudi tena. Kwakuwa Laigwanan Mzee Lowassa sio Mwislamu hata kutoa pole hapana, bali unamzunguzia Mzee Sykes wa miaka dahali! Haya bwana!
Unaongelea lile fisadi la kimataifa ??
 
Back
Top Bottom