Yaliyomfika Rais Ali Hassan Mwinyi katika utawala wake 1985 - 1995

Yaliyomfika Rais Ali Hassan Mwinyi katika utawala wake 1985 - 1995

Sasa ww kwa kua umeandika kitabu ndio tuamini maneno yako na mtazamo wako wa kibnafsi....!!!
UDINI MZIGO.........hasa hizo dini za wakoloni wa kiarabu na kizungu
Huo ulionao wewe ni ganda la usufi ?? Kumbuka Yesu ana Mungu wake ambaye ni Mungu wetu , ameeleza hapa

John 20:17

Jesus said, “Do not hold on to me, for I have not yet ascended to the Father. Go instead to my brothers and tell them, ‘I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.’”
 
Mtikila Alipewa nafasi Kwa sababu alikuwa anaongea mambo yanayogusa watu isitoshe Mtikila aliokuwa anamshambulia hadi baba wa taifa na kumwita mtusi sijuik kama ulijitokeza kumtetea
Huyu Mzee hawezi kumtetea Mtu yeyote asiye Muislam kwasababu ni MNAFIKI na MZUSHI

Amekuwa akiandika vitu vya uongo na huwa tunamkosoa sana...ni MDINI sana
 
Mdukuzi...
Bahati mbaya kwako huna lugha ya kistaarabu.

Ungejiepusha na naneno kama haya "chawa," na ukataka mjadala wa kisomi ningeandika hapa mambo ambayo sote tungenufaika.

Lakini nitakudokeza kitu.
Walikuja watu kutuomba msaada na ilikuwa katika sakata la OIC mwaka wa 1993.

Bunge limekuja juu dhidi ya Rais Mwinyi.

Wahariri wa magazeti yote hadi magazeti ya CCM yako dhidi ya Rais.

Rais alikuwa mpweke hana msaada wa yeyote.

Hapo tukaingia katika mapambano.
Barua yetu ya kwanza tulimwandikia Speaker wa Bunge Pius Msekwa.

Sikiliza ndugu yangu.
Barua ile iliwashtua.

Wakauliza hawa ni Waislam kweli?
Hawakupata kusoma barua kama ile.

Angalia hiyo picha ya gazeti la African Events (London) Rais Mwinyi yuko kwenye meli inayoshambuliwa baharini na mabomu.

Katika miji mikubwa tukamwaga barua zinazoeleza kwa nini Rais anapigwa vita na chama chake na watendaji wa serikali.

Ukiwa mstaarabu na unataka kusoma.

In Shaa Allah nitakusomesha na mjadala huu utapendeza.
Yapi mafanikio ya hiyo barua sasa? Mbona hamuishi kulia lia kila siku kuwa mnadhulumiwa?
 
Anajua hana maisha marefu kwahio kazi yake ni kuhubiri chuki, kueneza uongo na ufitini kwene makundi ya watu ili kuwajaza watu jazba, kutengeneza utengano na kusababisha chuki dhidi ya jamii ya wakristu nchini. Mzee anataka atuachie vijana msala leo hii kikinuka na taifa kupalanganyika yeye hana cha kupoteza kwasababu hana nguvu za maisha marefu huko mbeleni kama sisi. Taifa hili limejengwa sana na umoja mpk hapa lilipo mwalimu hakufanya kazi ndogo ya kuunganisha jamii zote zene mamia ya imani tofauti afu gafla anatokea kikongwe mmoja kazi yake ni kuwasema vibaya watu hasa wa jamii tofauti kiimani na yeye. Tutaendelea kumwambia ukweli wala hatutasita kumkumbusha umuhimu wa umoja, amani na mshikamano.
Nafuu umemuelewa huyu Tapeli la kidini
 
Ukiachana na huu upuuzi wene nadharia chonganishi, ufitini na maudhui ya kusambaza chuki ndani yake. Hao waliomzunguka mwinyi ni wabantu, ww na mwinyi ndio wabantu. Maisha yako mpaka uzee huo kazi yako ni kuwasema vibaya maraisi wakristu, jamii kubwa ya wakristu kiujumla na kusambaza chuki dhidi ya kanisa na wakristu. Neno langu ni moja ulizaliwa kanisa ukalikuta na utakufa utaliacha likiendelea kunawili wewe sio wa kwanza walikuepo na sasa Hawapo ila kanisa lipo matendo yako yatakuhukumu. kwene uhalisia mtaani tunaishi kwa amani sana licha ya tofauti zetu kiimani na uwepo wa waovu wachache kama wewe mixa wale magaidi wa Zanzibar na ndugu zao ndio kundi lene chuki dhidi ya wengine afu kwisho wa siku haya ni maisha na watu tunaishi. Kila mkristu kwako ni mbaya, kanisa nalo mbaya ila muislam sawa, msikiti sawa. Utakufa na ghiriba rohini mwako mzee embu jisahihishe uzeeke vizuri.
Huyu ni sikio la kufa, lakini ukweli ni huo uliousema....amezaliwq amelikuta kanisa na atakufa ataliacha

Huu uzushi wake na Fitina huwa anazisambaza na ataendelea kusambaza ila zitaishia huko misikitini wala hazina effects zozote kwa Watanzania
 
1988 Kwny Halmshauri kuu Hayati Mchungaji Mtikila alitoa waraka wa matusi ya nguoni kabisa kwa Mzee Ally Hassan Mwinyi

tulishangaa kabisa tena alikuwa akiungwa mkono na wahafidhina
Hebu tuwekee hapa ushahidi wa hayo matusi kama ni kweli

Mimi ninajua wazi kuwa Christopher Mtikila alikuwa anamchana haswa hata Nyerere na kusema Nyerere ni Mkimbizi
 
Yes mi ni malaya kama marehemu muhammad tu alivyokuwa kicheche😂 Hadi akamwingilia binti wa miaka 9 (alikuwa mbakaji)
Mohammad hapo hakufanya tu Umalaya ila pia Ubakaji kwa Mtoto mdogo.

Child Abuse
 
Wewe mbuzi mzungu mweusi Uncle Tom View attachment 2928836
Leo hii umemsaliti shoga yesu aliyeshindwa kula mbususu ya mary magdalena, mpaka wazungu wenyewe wanamshangaa na kuafiki chimbuko la ushoga kwenye ugalatia
au huwajui saint bacchu na saint sergius waliopendana kishoga na leo papa anawabariki




View attachment 2928827
View attachment 2928830
Crips.......never lackin bro..........thts why big homiez smoke Malcom and other traitor,s in 1960,s......coz they sell out our race,while they hiding in shadow of black movement,s.!!!
We dont talk....we smoke traitor,s since 1957,s.....!!!!
 
Mdukuzi,
Ipo faida kubwa ukajizuia na kejeli tukafanya mjadala wa kuheshimiana.
Mathalan ungesema hivi, "Ilikuwaje Ofisi ya Rais ikawa dhaifu kiasi hiki?"

Hivi mimi nitakuchukua kama mtu muungwana anaetafuta ukweli.

Usidhani mimi nafanya maskhara.
Nakueleza mambo yaliyotokea kweli.

Nyaraka za siri na muhimu za serikali zilikuwa zinavuja zinawafikia wahariri wa magazeti.

Najizuia kukueleza mengi yaliyokuwa yakitendeka.
Lakini ikiwa wewe unadhani mimi ni mtu unaeweza kunikejeli si neno.
wewe mzee unamhitaji Mungu sana, unatakiwa kuokoka, umpe Yesu maisha yako ayaokoe, kwasababu bila hivyo moyo wako unahangaika mno na udini, huwa unatamani hii nchi yote ingekuwa ya dini yako, uzuri ni kwamba HAUTAKUJA KUFANIKIWA KWA LOLOTE KATIKA HILI. ushauri tu mrudie Mungu kwa Njia ya Yesu Kristo aliyetoa garama ya Damu yake kwa ajili yako, pengine utaokoa roho yako. Mungu akusaidie.
 
"Naomba nikuulize kuna nyumba ya kumbukumbu ya Nyerere ipo Magomeni Mikumi karibu na ofisi ya ACT Wazalendo tupe kidogo historia yake."

Jibu langu:

View attachment 2928950
Makala (Daily News) inasema kuwa nyumba hii ina historia ya kupigania uhuru.

Hii si kweli.

Nyerere kahamia nyumba hii mwaka wa 1958 na hata alipokuwa anaishi Maduka Sita nyumba ile hapakuwa na harakati zozote.

View attachment 2928954
Nyumba ya Nyerere Magomeni Maduka Sita na yeye ndiye huyo anaingia ndani.

Mipango yote na mikutano ya siri ya TANU kuanzia TAA ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes.

Nyumba hii ya Mtaa wa Ifunda Nyerere alinunua kiwanja kwa fedha zake mwenyewe na akasaidiwa kuijenga na rafiki zake wa karibu: John Rupia, Dossa Aziz na Abdul na Ally Sykes.

Haya maneno alisema Makongoro Nyerere siku ya uzinduzi wa nyumba hii baada ya ukarabati mkubwa.

Mimi na Abdulrahman Ali Msham, mtoto wa Ali Msham tulialikwa kwa kuwa maofisa wa nyumba ile ya kumbukizi walifika kutuhoji historia ya Mwalimu.

Ali Msham alifungua tawi la TANU nyumbani kwake Mtaa wa Jaribu, Magomeni Mapipa na akampa Mama Maria sehemu ndogo hapo nyumbani kwake kwenye tawi la TANU kufanya biashara ya kuuza mafuta ya taa.

Mwalimu alihamia nyumba ile ya Mtaa wa Ifunda mwaka wa 1958 akitokea nyumba iliyokuwa Morogoro Road Maduka Sita ambayo alitafutiwa na TANU.

TANU walimweka Mwalimu hapo kwa kuwa walitaka awe jirani na Ramadhani Aziz mdogo wake Dossa Aziz.

Ramadhani Aziz alikuwa na duka hapo na akiishi hapo hapo.

Nyerere alihamia hapo mwaka wa 1955 akitokea nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu.

Nyumba hii Nyerere hakukaa muda mrefu akapewa nyumba na serikali ya kikoloni Sea View.

View attachment 2928951
Nyumba ya Abdu Sykes ambayo Nyerere aliishi baada ya kuacha kazi.

Muonekano huu ni baada ya kufanyiwa ukarabati nyumba ya zamani katika miaka ya 1970 lakini zile nyumba mbili kubwa na ndogo aliyoishi Nyerere zilibakia kama zilivyo na ni huu upande wa kulia.

View attachment 2928953
Nyumba ya Abdul Sykes kama ilivyo hivi sasa.

Kwa kuhitimisha ningependa kusema kuwa hii ndiyo historia ambayo haikuwa inafahamika na wengi.
Wew mwenyewe mjomba wangu unanipenda kinafiki......sababu nimekataa kua mtumwa wa fikira na kitamaduni na kiimani kwa wakoloni wa kiarabu.
 
Choka,
Vipi tutaibadilisha historia na hivyo ndivyo ilivyokuwa?

View attachment 2928503
Kulia Bi. Chiku bint Said Kisusa (mke wa Shariff Abdallah Attas) Bibi Titi Mohamed. Kushoto Bi. Tatu Bint Mzee na Julius Nyerere wanamsindikiza uwanja wa ndege Dar es Salaam safari ya kwanza UNO 1955
View attachment 2928504
Kulia Haruna Iddi Taratibu, Saadan Abdu Kandoro, Julius Nyerere, Sheikh Mohamed Ramia na Iddi Faiz Mafungo, Dodoma Train Station 1955/56
View attachment 2928507
Hii katika picha ndiyo historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sasa ikiwa kuna wasiopenda historia hii kuwa hivi ilivyo tunafanya nini?

Kwanza ilidhaniwa inawezekana kuifuta kwa kuizuia.
Mohamed Said akaitafiti na akaandika kitabu.

Historia hii sasa ipo na inasomwa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
Huwa unashangaza sana wewe Mzee Mdini

Hivi unafikiri Wakristo wanapungukiwa nini kujua kama Babu zako walipigania Uhuru?

Kama walipigania inatucost nini sisi watu wa Msalaba?

Dunia nzima inajua kuwa Watanganyika walipigania uhuru wao chini ya Uongozi shupavu wa Mwalimu Msomi Julius K. Nyerere

Tunajua wazi kinachokuumizeni ninyi Waislam ni kuwa Nyerere Mkristo ndiye aliyeonekana muhimu zaidi katika kupambania Uhuru na inafahamika hivyo All over the World

Mnamchukia sana Nyerere na Dini yake yaani Ukristo

Huu ndio Ukweli
 
Huna jipya Mgalatia wewe zaidi ya matusi uliyofundishwa na Padri wako
Mimi ni Mgalatia, ila tatizo la Wafuga majini huwa wana wenge sana...hawana tofauti na Mudy

Wamezoea kulialia kuwa wanadhulumiwa bila hata ya kutumia akili
 
Wewe mbuzi katoliki ingia ligi na mimi nikupelekeshe, muache mzee saidi ni ni muungwana mno
Ingia anga zangu kenge wewe wa kihutu na pia nikupe salaam za muslimah in heart General Kagame anavyowasumkumia za mtaro
By the way, tuaichukua Goma muda sio mrefu.................
Mkuu huyo mzee Said ni mjomba wangu nipo nae kariakoo.....naona unakwazika kwa sisi wakazi wa kariakoo tukijadiliana............tunajuana............!!!
 
Nelson...
Mimi sikai Kariakoo wala sikufahamu.
Yeye anakufahamu, hata mimi ninakufahamu, wewe na Wazee wako ndio Wazee hasa wa Dar es salaam tangu enzi hizo ikiitwa Mzizima

Ninyi ndio Waasisi wa Dar es salaam

Hata Ikulu ilikuwa msikiti uliojengwa na Baba zako
 
Yeye anakufahamu, hata mimi ninakufahamu, wewe na Wazee wako ndio Wazee hasa wa Dar es salaam tangu enzi hizo ikiitwa Mzizima

Ninyi ndio Waasisi wa Dar es salaam

Hata Ikulu ilikuwa msikiti uliojengwa na Baba zako
Umekimbia mirembe mapema hii
 
Back
Top Bottom