Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Choka,Basi historia hiyo irekebishwe bila kuhusisha udini. Tunayomengi sana kujifunza kutoka kwako ila sasa kila historia hiyo inapohusisha sana uislam inatutoa kwenye mood ya kufuatilia mafunzo unayoyatoa. Inakuwa kama vile unaugomvi na ukristo. Shida ndiyo inakuwa hapo mzee wangu
Nelson...Mzee saidi.....wewe ni mzee wangu ila najua ulihusika na kuchochea vurugu zile za mwembechai......kipindi kile ww ulikua kkoo
Na uliwaponza wajomba zangu wa Nyaishozi akina ustaadhi mugisha na alhaji kairuki wakateguka miguu wakati wanakimbia vurugu za vijana barubaru.
Usikatae
Mzee Said Mohammed......wew mtu maarufu kkoo nzima tunakujua bhana.Nelson...
Hunijui.
Nelson...Mzee Said Mohammed......wew mtu maarufu kkoo nzima tunakujua bhana.
Hata mzee wako anafahamika.
Hata babu yako anafahamika pia.
Wewe ni mzee wetu maarufu na tuna mpango tukufanyie mahojiano makubwa sana......nyie ndio wakongwe wachache mliobakia......pamoja na mitazamo yako ya kidini ila wewe ni mzee wetu unaewakilisha kwa usahii vizazi vya jamii ya wabantu wa MBWA MAJI......kabla hapajaitwa MZIZIMA.Nelson...
Katika mjadala huu tujiepushe na maneno ''bhana.''
Hili ni darsa la kusoma elimu si mahali pa maneno ya mitaani.
Soma post zangu hili utaligundua.
Mimi sifahamiki hivyo Dar es Salaam ya leo.
Wale waliokuwa wanawajua wazee wangu leo hawapo halikadhalika wale wenye kunijua mimi wengi hawapo tena Kariakoo.
Nelson...Wewe ni mzee wetu maarufu na tuna mpango tukufanyie mahojiano makubwa sana......nyie ndio wakongwe wachache mliobakia......pamoja na mitazamo yako ya kidini ila wewe ni mzee wetu unaewakilisha kwa usahii vizazi vya jamii ya wabantu wa MBWA MAJI......kabla hapajaitwa MZIZIMA.
Na kabla hata hawa waarabu wa Oman akina Juma bin Muhammed el Nebhan......babu yake na yule chotara wa kiarabu,muuza binadamu na pembe za ndovu TIP TIP aliyetawala Kasongo na baadae kua kibaraka wa wabelgiji kabla mwanae Seif hajawageuka wabelgiji ambao walimuua...!!!
Kuzungumzia wakoloni wa kiarabu ndio uislamu unanikera???Nelson...
Mbona Uislam unakukera sana?
Hivi unajua kuwa Waislam hawakumbagua Nyerere?
Unaijua historia hii?
Mbona unaandika kwa kejeli na jeuri?
Unawajua hao hapo chini na Mwalimu?
View attachment 2928775
Walimpenda kinafiki.....walikua wanawapenda wakoloni wa kiarabu....mfano mzuri wazee wako.Nelson...
Mbona Uislam unakukera sana?
Hivi unajua kuwa Waislam hawakumbagua Nyerere?
Unaijua historia hii?
Mbona unaandika kwa kejeli na jeuri?
Unawajua hao hapo chini na Mwalimu?
View attachment 2928775
Ule msikiti uliojengwa na majini maislamu unaitwaje?Nelson...
Ahsante.
Wewe mbuzi mzungu mweusi Uncle TomNdio ukweli.....ww ni kibaraka wa waarabu kama alivyokua Malcom x
Wewe mbuzi katoliki ingia ligi na mimi nikupelekeshe, muache mzee saidi ni ni muungwana mnoMm nadhani unajifariji kwa kudhani watu wanaokataa hoja zako kua wanaumia!!!!!
"Naomba nikuulize kuna nyumba ya kumbukumbu ya Nyerere ipo Magomeni Mikumi karibu na ofisi ya ACT Wazalendo tupe kidogo historia yake."Walimpenda kinafiki.....walikua wanawapenda wakoloni wa kiarabu....mfano mzuri wazee wako.
Mm naijua historia kuanzia mji wa kale MBWA MAJI.....kabla ya dar es salaam.
hata wezi, malaya , waongo, walevi na wanaomuasi mungu utakufa na utawawacha , sasa ndio wasisemwe ??Ukiachana na huu upuuzi wene nadharia chonganishi, ufitini na maudhui ya kusambaza chuki ndani yake. Hao waliomzunguka mwinyi ni wabantu, ww na mwinyi ndio wabantu. Maisha yako mpaka uzee huo kazi yako ni kuwasema vibaya maraisi wakristu, jamii kubwa ya wakristu kiujumla na kusambaza chuki dhidi ya kanisa na wakristu. Neno langu ni moja ulizaliwa kanisa ukalikuta na utakufa utaliacha likiendelea kunawili wewe sio wa kwanza walikuepo na sasa Hawapo ila kanisa lipo matendo yako yatakuhukumu. kwene uhalisia mtaani tunaishi kwa amani sana licha ya tofauti zetu kiimani na uwepo wa waovu wachache kama wewe mixa wale magaidi wa Zanzibar na ndugu zao ndio kundi lene chuki dhidi ya wengine afu kwisho wa siku haya ni maisha na watu tunaishi. Kila mkristu kwako ni mbaya, kanisa nalo mbaya ila muislam sawa, msikiti sawa. Utakufa na ghiriba rohini mwako mzee embu jisahihishe uzeeke vizuri.
Kwani wewe una hakika walau ya saa moja mbele ??Anajua hana maisha marefu kwahio kazi yake ni kuhubiri chuki, kueneza uongo na ufitini kwene makundi ya watu ili kuwajaza watu jazba, kutengeneza utengano na kusababisha chuki dhidi ya jamii ya wakristu nchini. Mzee anataka atuachie vijana msala leo hii kikinuka na taifa kupalanganyika yeye hana cha kupoteza kwasababu hana nguvu za maisha marefu huko mbeleni kama sisi. Taifa hili limejengwa sana na umoja mpk hapa lilipo mwalimu hakufanya kazi ndogo ya kuunganisha jamii zote zene mamia ya imani tofauti afu gafla anatokea kikongwe mmoja kazi yake ni kuwasema vibaya watu hasa wa jamii tofauti kiimani na yeye. Tutaendelea kumwambia ukweli wala hatutasita kumkumbusha umuhimu wa umoja, amani na mshikamano.
Haya ndiyo mnayofundishwa makanisani , hatushangaiYes mi ni malaya kama marehemu muhammad tu alivyokuwa kicheche😂 Hadi akamwingilia binti wa miaka 9 (alikuwa mbakaji)
Kwani wewe humwazi Padri wako wakati wote ??Hivi we baba huwa una Nini kikusumbuacho kichwani? Hakuna mada humu ambayo hujazungumzia ama hujaiunganisha na dini!
Ni kwanini we'we Ni mdini Sana?
Mda wote unawaza na kuandika kuhusu dini hat kwenye mada zisohusu Hili.
Jibu...
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Huna jipya Mgalatia wewe zaidi ya matusi uliyofundishwa na Padri wakoWewe mzee mpumbafu..kwahiyo hapa tupo kujenga nchi au kupambania nguvu ya imani fulani ndani ya kanisa..nendeni shule ndio mje kulalamika...upuuzi mtupu unaongea.
#MaendeleoHayanaChama
Mbaya zaidi huyo mzee..kanisa ndio limempa elimu na akili ya kuanza kulitukana..bila elimu kupitia kanisa probably angekua amekuafa kwa maradhi na umasikini..wakupuuza hiyo.
Bora kanisa lingesomesha mbuzi kuliko huyo kilaza...mafanikio yote aliyoyapata ni kupitia elimu ya kanisa.
#MaendeleoHayanaChama
Unaongelea lile fisadi la kimataifa ??Ahahahahaha! Umeeudi tena. Kwakuwa Laigwanan Mzee Lowassa sio Mwislamu hata kutoa pole hapana, bali unamzunguzia Mzee Sykes wa miaka dahali! Haya bwana!