Yaliyomkuta Abdallah Zombe yawe fundisho kwa Polisi wa Tanzania

Yaliyomkuta Abdallah Zombe yawe fundisho kwa Polisi wa Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu aliwahi kuwa ofisa wa Polisi wa ngazi ya juu , kwanza alikuwa MKUU WA UPELELEZI WA KANDA MAALUM na Baadaye akapanda hadi kuwa RPC , ni askari aliyekisaidia " chama chake " kama hawa wengine wanavyokisaidia.

Lakini hakika Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Zombe alikuja kunasa kwenye tundu bovu sana kutokana na mchezo wake wa miaka mingi wa kudhulumu haki za raia , huyu mtu kwa sasa hawezi kuheshimiwa hata na mifugo , amedharaulika moja kwa moja .

Natoa wito kwa Polisi waliosalia madarakani kwamba watende haki na waache kuhukumu raia kwa adhabu na vifungo bila kupita mahakamani , Hakuna ajuaye kesho , Hata Zombe naye alikisaidia "chama chake" kama mnavyofanya nyinyi , Lakini kwa vile Mungu hataniwi yaliyomkuta wote mnayajua.

naomba kuwasilisha
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.


Yaani wewe hata kuandika zero bado unakoment upuuzi



Go back to school Dude


Swissme
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Mjomba tema mate chini .
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Mku ni kweli lakini hiyo taarifa utampelekea na au ukumbuki majukumu waliyopewa ni makubwa mno kwani pale Biafra walipewa kazi
 
Huyu aliwahi kuwa ofisa wa Polisi wa ngazi ya juu , kwanza alikuwa MKUU WA UPELELEZI WA KANDA MAALUM na Baadaye akapanda hadi kuwa RPC , ni askari aliyekisaidia " chama chake " kama hawa wengine wanavyokisaidia.

Lakini hakika Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Zombe alikuja kunasa kwenye tundu bovu sana kutokana na mchezo wake wa miaka mingi wa kudhulumu haki za raia , huyu mtu kwa sasa hawezi kuheshimiwa hata na mifugo , amedharaulika moja kwa moja .

Natoa wito kwa Polisi waliosalia madarakani kwamba watende haki na waache kuhukumu raia kwa adhabu na vifungo bila kupita mahakamani , Hakuna ajuaye kesho , Hata Zombe naye alikisaidia "chama chake" kama mnavyofanya nyinyi , Lakini kwa vile Mungu hataniwi yaliyomkuta wote mnayajua.

naomba kuwasilisha
Kwani yamemkuta yepi?
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Hata zbe alikuwa anafanya haya haya uliyoyasema.

Ila badae akasimama mwenyewe.
 
pic+dpp.jpg

DPP: Zombe helped killers
 
Zombe muuaji dhuluma wa Mali za binadamu wenzanke ili yeye na familiake waishi kifahari.... Leo wale wapogoro wa watu familia zao zinateseka kwa kukosa wazazi, walezi kisa huyu mnyama yeye anafurahia maisha Na wake zake.
 
Zombe muuaji dhuluma wa Mali za binadamu wenzanke ili yeye na familiake waishi kifahari.... Leo wale wapogoro wa watu familia zao zinateseka kwa kukosa wazazi, walezi kisa huyu mnyama yeye anafurahia maisha Na wake zake.
 
Back
Top Bottom