Yaliyomkuta Abdallah Zombe yawe fundisho kwa Polisi wa Tanzania

Yaliyomkuta Abdallah Zombe yawe fundisho kwa Polisi wa Tanzania

Screenshot_20180315-190719.png
 
Yatawakuta akina Mambosasa. Inawezekana watakuwa wamestaafu wakati huo, lakini watakuja kujieleza na Itakuwa aibu ya karne.
Ukitenda uovu huna pa kukimbilia , ALIYEKUWA IGP OMARI MAHITA AMBAYE REKODI YAKE YA UKATILI NA KEJELI BADO HAIJAVUNJWA , BAADA YA KUSTAAFU ALIBURUZWA MAHAKAMANI KWA KESI YA AIBU YA KUMTIA MIMBA HOUSE GIRL WAKE NA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , HAIJAFAHAMIKA KAMA ALIMBAKA AU WALIKUBALIANA ( tunaendelea kuchunguza )
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Usifikirie kwa kutumia makalio kijana shirikisha ubongo wako
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Atoe taarifa wapi?
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Itolewe taarifa kwako???
Shubamit kabichi mbichi
Upo kama mzimu,hufikirii wala huelewi. Hata kama hujui kusoma hata picha huielewi? Au na wewe ndio Lumumba mavazi ya kijani wale wale tu.
Ptuuuu
 
Tetetete UVCCM lumumba



Swissme

Halafu hizi siku mbili tatu zilizopita yamejaa humu(nadhani na ma robot ndani yake au ID mbili mbili) yanajaza tu utumbo wao. Au mkuu unadhani Mange kawatia uchizi? Mi naona wao ndo wanampa Promo ya bure. Nimewaambia humu, wamwambie DU. He has one and only one way and that is to CHANGE!!!! before its too late.
 
Halafu hizi siku mbili tatu zilizopita yamejaa humu(nadhani na ma robot ndani yake au ID mbili mbili) yanajaza tu utumbo wao. Au mkuu unadhani Mange kawatia uchizi? Mi naona wao ndo wanampa Promo ya bure. Nimewaambia humu, wamwambie DU. He has one and only one way and that is to CHANGE!!!! before its too late.



Sisonje na slow slow naona wamelemewa yamebidi yafungue ID za kumwaga tu kutetea matumbo yao ..maintarahamwe



Swissme
 
Siku Polisi Akitenda Haki Nenda Katambikie Mizimu Ya Ukoo Kabisa Polisi Duniani Kote Wanachukiwa Hawapendwi Sababu Ya Ukatili Wao Kukupa Kesi Ni Kawaida Tu Kwanza Polisi Hana Rafiki
 
Huyo Dada alikuwa House girl wake akiwa RPC Kilimanjaro hivyo mzee alikuwa akijipoza kila alipopata fursa ya kufanya hivyo na tena wakati wa ile kesi yake mzee aliumbuka sana maana yule Dada alidai wakati wa uhusiano wao mzee alikuwa akirudi mchana kupata chakula alikuwa akipiga mechi sehemu yoyote ikiwemo jikoni,siting room hata chooni
Astaghafillulah !
 
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.

Polisi wa wapi hao ?
 
Back
Top Bottom