Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana ZombeAmechukua form kugombea ubunge huko Songea.
HUO NI UNAFIKI WA KIWANGO CHA RAMI KWANI YAMEMKUTA YEPI NA YUPO URAIANI HANA KSAZOMBE WALIOTENDA MAKOSA WALISHAHUKUMIWAHuyu aliwahi kuwa ofisa wa Polisi wa ngazi ya juu , kwanza alikuwa MKUU WA UPELELEZI WA KANDA MAALUM na Baadaye akapanda hadi kuwa RPC , ni askari aliyekisaidia " chama chake " kama hawa wengine wanavyokisaidia.
Lakini hakika Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Zombe alikuja kunasa kwenye tundu bovu sana kutokana na mchezo wake wa miaka mingi wa kudhulumu haki za raia , huyu mtu kwa sasa hawezi kuheshimiwa hata na mifugo , amedharaulika moja kwa moja .
Natoa wito kwa Polisi waliosalia madarakani kwamba watende haki na waache kuhukumu raia kwa adhabu na vifungo bila kupita mahakamani , Hakuna ajuaye kesho , Hata Zombe naye alikisaidia "chama chake" kama mnavyofanya nyinyi , Lakini kwa vile Mungu hataniwi yaliyomkuta wote mnayajua.
naomba kuwasilisha
Nasikia "dishi" limeyumba mazimaHUO NI UNAFIKI WA KIWANGO CHA RAMI KWANI YAMEMKUTA YEPI NA YUPO URAIANI HANA KSAZOMBE WALIOTENDA MAKOSA WALISHAHUKUMIWA
KUKAA KOTE NDANI DISHILAZIMA LIYUMBE TUNasikia "dishi" limeyumba mazima
Nyeupe yupi ulikuwa unamzingumzia wewe? Sasa mwenye chama anasema nyeupe karibu nyumbani wewe kapuku unasema hana nafasi?Zombe alikuwa jambazi na jambazi hana nafasi ndani ya CCM kama ilivyokuwa kwa nyeupe
Sometimes huwa una busara.Huyu aliwahi kuwa ofisa wa Polisi wa ngazi ya juu , kwanza alikuwa MKUU WA UPELELEZI WA KANDA MAALUM na Baadaye akapanda hadi kuwa RPC , ni askari aliyekisaidia " chama chake " kama hawa wengine wanavyokisaidia.
Lakini hakika Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Zombe alikuja kunasa kwenye tundu bovu sana kutokana na mchezo wake wa miaka mingi wa kudhulumu haki za raia , huyu mtu kwa sasa hawezi kuheshimiwa hata na mifugo , amedharaulika moja kwa moja .
Natoa wito kwa Polisi waliosalia madarakani kwamba watende haki na waache kuhukumu raia kwa adhabu na vifungo bila kupita mahakamani , Hakuna ajuaye kesho , Hata Zombe naye alikisaidia "chama chake" kama mnavyofanya nyinyi , Lakini kwa vile Mungu hataniwi yaliyomkuta wote mnayajua.
naomba kuwasilisha
sisi siku zote tuna busaraSometimes huwa una busara.
Sio siku zote.sisi siku zote tuna busara
Damu Za WatuYuko Moro pale kawa kama mjinga tu
Tuwapege watoto Wetu majjna mazuri...Zombe muuaji dhuluma wa Mali za binadamu wenzanke ili yeye na familiake waishi kifahari.... Leo wale wapogoro wa watu familia zao zinateseka kwa kukosa wazazi, walezi kisa huyu mnyama yeye anafurahia maisha Na wake zake.