Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu huwez amin nmesoma sentensi moja tu uliosema polisi wanafanya kazi ya serikali wala sio ya chama....chaendelea maana nmeona haupo nchi hii pengne!!! Kwan wameanza Leo kujiusisha na chama? Hukumbuki kauli ya IGP mahita aliwai kusema hadharan chama cha CUF hakiwez kutawala Zanzibar yy akiwepo? Huoni haphrey pole pole akizunguka nchi nzima kweny kampein na hakamatwi ,? Ila kla zitto na chama vingne c vimezuiwa kufanya mikutano?Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Najiuliza je kuna uwezekano mtu akivaa nguo za rangi flan uwezo wa kufkiri hupungua na kuwa mdog nn?Nilitaka kumjibu, kumbe sio mimi tu nashangaa... Hivi hawa jamaa wana kiwewe gani? Haiwezekani wote wakawa kwenye level moja ya ujinga... Kuna kitu hakiko sawa.
Mbavu zanguAstaghafillulah !
Kwi! Kwi! Kwi!Polisi wa wapi hao ?
Si kweli kuna baadhi ya nchi shrria zaniawabana hivyo wapo lakini siyo nje nje kama Tanzania ama marekani mfano UK polisi anakushika na kubembeleza kama unataka chai ama kahawa. Hata kama wabaguzi hawaonyeshi wazi wazi kwa kuhofia sheria zao maana hata afisa mkubwa anaweza kuadhibiwa ama kuombwa ajiuzuruSiku Polisi Akitenda Haki Nenda Katambikie Mizimu Ya Ukoo Kabisa Polisi Duniani Kote Wanachukiwa Hawapendwi Sababu Ya Ukatili Wao Kukupa Kesi Ni Kawaida Tu Kwanza Polisi Hana Rafiki
Dah!!! Unatafuta laana wewePolisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
unafiki ni hatari sana ! hata hueleweki ulichoandika .Si kweli kuna baadhi ya nchi shrria zaniawabana hivyo wapo lakini siyo nje nje kama Tanzania ama marekani mfano UK polisi anakushika na kubembeleza kama unataka chai ama kahawa. Hata kama wabaguzi hawaonyeshi wazi wazi kwa kuhofia sheria zao maana hata afisa mkubwa anaweza kuadhibiwa ama kuombwa ajiuzuru
Hahaha. Wape za uso lumumba hao...Itolewe taarifa kwako???
Shubamit kabichi mbichi
Upo kama mzimu,hufikirii wala huelewi. Hata kama hujui kusoma hata picha huielewi? Au na wewe ndio Lumumba mavazi ya kijani wale wale tu.
Ptuuuu
wewe unauona mzimu wake .Mbona zombe yupo uraiani anadundika tu
shubaamitPolisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
Polisi wanafanya kazi ya serikali na wala sio chama.
Kama alikuwa na tabia ambazo zinakiuka sheria ya nchi ni yeye mwemyewe na antakiwa kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria zetu.
Usiwangize wana usalama wetu wote katika lawama ambazo haziwahusu ispokuwa kama kuna sehemu unaona mwa usalma natenda kinyume toa taarifa ni jambo nzuri.
shubaamit thriceshubaamit
Zombe alikuwa jambazi na jambazi hana nafasi ndani ya CCM kama ilivyokuwa kwa nyeupe