Yaliyomkuta Abdallah Zombe yawe fundisho kwa Polisi wa Tanzania

Yatawakuta akina Mambosasa. Inawezekana watakuwa wamestaafu wakati huo, lakini watakuja kujieleza na Itakuwa aibu ya karne.
Ukitenda uovu huna pa kukimbilia , ALIYEKUWA IGP OMARI MAHITA AMBAYE REKODI YAKE YA UKATILI NA KEJELI BADO HAIJAVUNJWA , BAADA YA KUSTAAFU ALIBURUZWA MAHAKAMANI KWA KESI YA AIBU YA KUMTIA MIMBA HOUSE GIRL WAKE NA KURUKA MATUNZO YA MTOTO , HAIJAFAHAMIKA KAMA ALIMBAKA AU WALIKUBALIANA ( tunaendelea kuchunguza )
 
Usifikirie kwa kutumia makalio kijana shirikisha ubongo wako
 
Atoe taarifa wapi?
 
Itolewe taarifa kwako???
Shubamit kabichi mbichi
Upo kama mzimu,hufikirii wala huelewi. Hata kama hujui kusoma hata picha huielewi? Au na wewe ndio Lumumba mavazi ya kijani wale wale tu.
Ptuuuu
 
Tetetete UVCCM lumumba



Swissme

Halafu hizi siku mbili tatu zilizopita yamejaa humu(nadhani na ma robot ndani yake au ID mbili mbili) yanajaza tu utumbo wao. Au mkuu unadhani Mange kawatia uchizi? Mi naona wao ndo wanampa Promo ya bure. Nimewaambia humu, wamwambie DU. He has one and only one way and that is to CHANGE!!!! before its too late.
 



Sisonje na slow slow naona wamelemewa yamebidi yafungue ID za kumwaga tu kutetea matumbo yao ..maintarahamwe



Swissme
 
Siku Polisi Akitenda Haki Nenda Katambikie Mizimu Ya Ukoo Kabisa Polisi Duniani Kote Wanachukiwa Hawapendwi Sababu Ya Ukatili Wao Kukupa Kesi Ni Kawaida Tu Kwanza Polisi Hana Rafiki
 
Astaghafillulah !
 

Polisi wa wapi hao ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…