Yaliyomkuta Ngasa, Ajibu, Domayo na sasa Fei na Mayele na uwepo wa Majini Yanga

Yaliyomkuta Ngasa, Ajibu, Domayo na sasa Fei na Mayele na uwepo wa Majini Yanga

Tuhuma za Yanga kutupia majini wachezaji wake imenikumbusha nyuma kidogo. Imenikumbusha nyakati kina Ngasa, Ajibu, Domayo, Niyonzima (orodha ni ndefu) wakati wanaondoka Yanga.

Wakiwa kwenye piki wakataka kwenda kwingine kutafuta maisha mazuri zaidi ya waliyopata Yanga. Wote hawa walitamani kuondoka kwa amani kwani waliisaidia Yanga kufikia mafanikio na walitamani kuondoka kwa heshima. Ajabu hali ilikiwa tofauti kwani uongozi haukuwa tayari kuwaacha kwa wema. Hata pale walipolazimisha hatimaye waliondoka kwa chuki na kisununu, wakilaaniwa na kauli za "tutaona kama utatoboa"

Haya yalifanyika nyakati za Ajib kuja Simba, kina Ngasa na Domayo kwenda Azam. Hali hiyo imejirudia kwa Feitoto na Mayele. Uondokaji wa watu hawa ulifichwa sana kwa sababu za husda tu huku viongozi wakiamini vitisho vitasaidia.

Kipindi Niyonzima anakuja Simba, wana Yanga mpaka wakachoma jezi kumlaani. Hiyo ni roho ya kawaida kweli. Si ujini huo. Kumbuka kina Bangala na Djuma walivyoondoka Yanga.

Kwa hali hii hata kama ni kweli hawafugi majini, lakini kumbania mtu maisha ni zaidi ya kumtupia majini. Tazama suala ya Fei mpaka Rais wa nchi anaingilia kati, Hiyo roho ni zaidi ya jini. Nafikiri hata jini lenyewe lilishangaa. Fei sio kichaa mpaka aseme ili abaki Yanga basi Hersi aondoke.

Hizi tabia za kishwahili zinatakiwa kukemewa sio tu na wanasoka bali kina mpenda maendeleo.
Upuuzi huu, ndio maana Africa haiendelei na kubaki kua bara la GIZA. Akili zenyewe ndio hizi.
 
Na hayo majini nani ni mtaalamu huko yanga wa kuyadizaini na kuyaunda?
 
Majini FC wameumbuka. Ushirikina umetawala katika maisha yao. Si unakumbuka hata mechi yao na Dodoma Jiji walivyopata goli baada ya kufanya vitendo vya kishirikina kwenye goli la wapinzani wao?
Na kwenye mechi ya mashujaa ilikua hivyo hivyo
 
Hii ishu nayo ukiiangalia kwa namna nyingine unaweza kupata maswali mengi.

Binafsi siamini kuwa Mayele ametupiwa majini, siamini kama mashabiki wa Yanga wanamuombea mabaya.

Kwasababu hata kwenye tuzo za mchezaji bora ambaoo Mayele alikuwa kwenye nominee, tuliona Yanga wakisimama naye bega kwa bega kujivunia pride yao.

Mashabiki wa Yanga wamekuwa wakifurahi kuona Mayele anaitwa kwenye timu yake ya Taifa, wanajivunia kuwa ni matunda ya Yanga na pale inapotokea anafunga basi wanakuwa very proud.

Hata wakati wa kupanga plot za makundi Mayele alipenda Pyramids ipangwe group moja na Simba, jambo ambalo watu wa Yanga walifurahia kuona bado Mayele anaipenda Yanga kwasababu ameonesha matamanio ya kutaka kuendelea kuifunga Simba.

Kile kipindi ambacho Mayele hakuruhusiwa kwenda Afrika Kusini kwasababu ya vibali, Mayele alikuja Tanzania na alipokelewa na viongozi wa Yanga tena peacefully.

Why leo hii aje na tuhuma mbaya kama zile kwa viongozi na mashabiki wa Yanga???

Na sehemu inayoniacha na bumbuazi ni pale aliposema viongozi wa Yanga wanamtumia meseji ambazo yeye hazijamfurahisha.

Ukija kusikiliza na ile kauli ya Afisa Habari wa Yanga kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa Mayele inaweza kuongeza utata kabisa.

Afisa Habari wa Yanga alinukuliwa akisema "wazee wamekuja kwa ajili ya birthday yako, hawajawahi kusherehekea hata birthday zao lakini wamekuja leo hapa kwasababu wanakupenda"

"Sasa siku inatokea unaondoka Yanga hawa wazee watakupa laana"

Japo Afisa Habari aliongea katika tone ya utani lakini katika hili sakata lilipofikia kila neno lililowahi kutamkwa huko nyuma lenye elements zinazofanana na shutuma hii lazima lifikiriwe kama ndio sababu.
Unawatetea sana hawa jamaa ila sio watu wazuri hawa wamewaahidi ihefu kushuka daraja baada ya kunyanduliwa ×2 na tunaliona hili likienda kutimia, sawa unaweza kusema mbili za mwanzo zilikuwa na maumivu kutokana na mazingira ya njia lkn vjna walirudia kuongeza njia ili usipate tabu mpka kufikia hatua kwenda na misuli dhidi ya waarabu na bado ukawatupia vijana wa mbeya majini
 
Unawatetea sana hawa jamaa ila sio watu wazuri hawa wamewaahidi ihefu kushuka daraja baada ya kunyanduliwa ×2 na tunaliona hili likienda kutimia, sawa unaweza kusema mbili za mwanzo zilikuwa na maumivu kutokana na mazingira ya njia lkn vjna walirudia kuongeza njia ili usipate tabu mpka kufikia hatua kwenda na misuli dhidi ya waarabu na bado ukawatupia vijana wa mbeya majini
Baadae msije kulaumu viongozi wenu mkikosa ubingwa mkiambiwa wamelogwa na Yanga
 
Hii ishu nayo ukiiangalia kwa namna nyingine unaweza kupata maswali mengi.

Binafsi siamini kuwa Mayele ametupiwa majini, siamini kama mashabiki wa Yanga wanamuombea mabaya.

Kwasababu hata kwenye tuzo za mchezaji bora ambaoo Mayele alikuwa kwenye nominee, tuliona Yanga wakisimama naye bega kwa bega kujivunia pride yao.

Mashabiki wa Yanga wamekuwa wakifurahi kuona Mayele anaitwa kwenye timu yake ya Taifa, wanajivunia kuwa ni matunda ya Yanga na pale inapotokea anafunga basi wanakuwa very proud.

Hata wakati wa kupanga plot za makundi Mayele alipenda Pyramids ipangwe group moja na Simba, jambo ambalo watu wa Yanga walifurahia kuona bado Mayele anaipenda Yanga kwasababu ameonesha matamanio ya kutaka kuendelea kuifunga Simba.

Kile kipindi ambacho Mayele hakuruhusiwa kwenda Afrika Kusini kwasababu ya vibali, Mayele alikuja Tanzania na alipokelewa na viongozi wa Yanga tena peacefully.

Why leo hii aje na tuhuma mbaya kama zile kwa viongozi na mashabiki wa Yanga???

Na sehemu inayoniacha na bumbuazi ni pale aliposema viongozi wa Yanga wanamtumia meseji ambazo yeye hazijamfurahisha.

Ukija kusikiliza na ile kauli ya Afisa Habari wa Yanga kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa Mayele inaweza kuongeza utata kabisa.

Afisa Habari wa Yanga alinukuliwa akisema "wazee wamekuja kwa ajili ya birthday yako, hawajawahi kusherehekea hata birthday zao lakini wamekuja leo hapa kwasababu wanakupenda"

"Sasa siku inatokea unaondoka Yanga hawa wazee watakupa laana"

Japo Afisa Habari aliongea katika tone ya utani lakini katika hili sakata lilipofikia kila neno lililowahi kutamkwa huko nyuma lenye elements zinazofanana na shutuma hii lazima lifikiriwe kama ndio sababu.
Leo umeongea KIZARENDO sana umeweka pembeni USIMBA na YANGA hongera sana umezungumza sahihi kabisa
 
Tuhuma za Yanga kutupia majini wachezaji wake imenikumbusha nyuma kidogo. Imenikumbusha nyakati kina Ngasa, Ajibu, Domayo, Niyonzima (orodha ni ndefu) wakati wanaondoka Yanga.

Wakiwa kwenye piki wakataka kwenda kwingine kutafuta maisha mazuri zaidi ya waliyopata Yanga. Wote hawa walitamani kuondoka kwa amani kwani waliisaidia Yanga kufikia mafanikio na walitamani kuondoka kwa heshima. Ajabu hali ilikiwa tofauti kwani uongozi haukuwa tayari kuwaacha kwa wema. Hata pale walipolazimisha hatimaye waliondoka kwa chuki na kisununu, wakilaaniwa na kauli za "tutaona kama utatoboa"

Haya yalifanyika nyakati za Ajib kuja Simba, kina Ngasa na Domayo kwenda Azam. Hali hiyo imejirudia kwa Feitoto na Mayele. Uondokaji wa watu hawa ulifichwa sana kwa sababu za husda tu huku viongozi wakiamini vitisho vitasaidia.

Kipindi Niyonzima anakuja Simba, wana Yanga mpaka wakachoma jezi kumlaani. Hiyo ni roho ya kawaida kweli. Si ujini huo. Kumbuka kina Bangala na Djuma walivyoondoka Yanga.

Kwa hali hii hata kama ni kweli hawafugi majini, lakini kumbania mtu maisha ni zaidi ya kumtupia majini. Tazama suala ya Fei mpaka Rais wa nchi anaingilia kati, Hiyo roho ni zaidi ya jini. Nafikiri hata jini lenyewe lilishangaa. Fei sio kichaa mpaka aseme ili abaki Yanga basi Hersi aondoke.

Hizi tabia za kishwahili zinatakiwa kukemewa sio tu na wanasoka bali kina mpenda maendeleo.
Sema yoteee, lakini huyu wa ugari na sukari mtoe kwenye hiyo orodha..!!
Anayeamini katika majini yeye ndo mshirikina
 
Unawatetea sana hawa jamaa ila sio watu wazuri hawa wamewaahidi ihefu kushuka daraja baada ya kunyanduliwa ×2 na tunaliona hili likienda kutimia, sawa unaweza kusema mbili za mwanzo zilikuwa na maumivu kutokana na mazingira ya njia lkn vjna walirudia kuongeza njia ili usipate tabu mpka kufikia hatua kwenda na misuli dhidi ya waarabu na bado ukawatupia vijana wa mbeya majini
Hivi kwanini mbumbumbu FC na mashabiki wao ndo mnaamini sana majini?
 
Ni mambo ya kawaida kwa mashabiki na wapenzi wa timu kuwa na hicho umeita kisununu...

Nitakupa mifano ya huko duniani ambapo wachezaji waliocheza kwa mafanikio katika klabu moja, walipotangaza kuondoka walikutana na wakati mgumu...

1. Giuseppe Meazza, Inter to AC Milan

2. Carlos Tevez, Man U to Man City

3. Luis Figo kutoka Barca kwenda Real Madrid

4. Cristiano Ronaldo kutoka Man U kwenda Real Madrid

5. Neymar kutoka Barca kwenda PSG
.
.
.
.
Muongezee Torres kutoka Liverpool kwenda chelsea
 
Mayele Amejichanganya.

Kila La Kheri Dar Young Africans Kwa Ushindi Mwingine Wa Ligi Kuu NBC 2023/2024
 
Back
Top Bottom