Na ukiingia chooni pia soma dua mana huko ndo makazi yao. Wanaweza wakakuangusha chini chooni hawa,na wakiamua kukudhuru wanakudhuruKwakweli ndiyo maana tunaambiwa kabla ya kutoka nyumbani omba kwanza duu, Mungu atusaidiye sana
[emoji16][emoji16][emoji16].Kuna siku walikuwa wanasimuliana wenzao waliamka usiku jaza abilia mpaka mlango ukashindwa kufunga, dereva kaendesha muda mrefu hasikii shuka kimya tu, ile kugeuka nyuma kakuta konda anakoroma pekeyake hakuna abilia hata 1[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Na makonda wanamioyo khaaa!!
Acha uoga ww sibora ww mm juzi kati tulikumbana hivohivo nikampiga kikumbo nilishikwa mkono kwa kulazimishwa nisalimie namuangalia vizuri mwanamke kavaa nikabu nataka nimuongeleshe kashautoa mkono anaondoka sijakaa vyema nikaona haiwezakani nataka nimfate nikashikwa na Ganzi sio ganzi misuli imefel nikabaki namuangalia ninani haswa nikaishia kumuona kwa mbali hata habari hana Jini hilo lunakusabahiHabari zenu wana Jf
Nianze na mkasa ulionikuta jana..mida flani hivi nilienda kariakoo na Dada yangu..katika mizunguko yetu yeye alikua mbele mimi nyuma
Sasa si mwajua kariakoo ilivyo na watu wengi..nikiwa katika mshangao wa kushangashangaa nguo ghafla nikapigana kikumbo na mdada amevaa baibui ameziba macho kama avatar ya madame s
Yani nikaganda ghafla uku nikimuangalia tu..akafika mbele akageuka..lahaullah!! Macho ya yule dada sikuyaelewa hata kidogo alafu yalikua hayatulii kile kiini cheusi kinafanana na kiini cha paka
Nikasema hapana sikuamini nilichokiona nikageuka kuangalia mbele huku nikijiuliza kama yule ni mtu
Nikageuka tena nyuma alikua amefika mbali lakini bado aliponiangalia macho yalikua vilevile...ghafla Dada akaniita jina langu nikaitikia "aliniuliza vipi mbona umesimama tu hapo" sikumjibu kitu
Nikageuka kwa mara ya mwisho sikumuona tena yule dada
Yani nilinyon'gonyea hadi tunatoka kariakoo bado najiuliza..hivi nilikutana na jini ama kuna binadamu wenye macho ya vile!!!
Hayo ndio yaliyonikuta siku ya jana mwenzenu
Amina nawe pia usiku mwema, lala unonoAya usiku mwema
Mungu wangu, washindwe tu na walegeeNa ukiingia chooni pia soma dua mana huko ndo makazi yao. Wanaweza wakakuangusha chini chooni hawa,na wakiamua kukudhuru wanakudhuru
SanaKweli bana dua muhimu...
Kwanini wanapenda kujichanganya sehemu zenye mikusanyiko ya watu wengi?, huwa wanakuwa wanatafuta nini?Jini ana uwezo wa kujibadilisha kuwa binadam lakin kamwe hawezi akabadilsha macho yake yakawa na kiini cheusi kama macho yetu. Mim pia nilikutana nae lakin kabla sijakaribiana nae mwili ulisisimka, nikajua tu hapa kutakuwa na kitu kibaya. Na kweli nilipomuona na akagundua kuwa nimemuona macho yake alitoweka ghafla sijui hata huwa wanayeyukia wapi. Utachangaa tu anaanza kupotea taratib Mara ghafla humuoni. Sehem zenye watu wengi huwa wanapenda sana kujumuika na binadamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahisi alikoma na hakurudia tenaIla alipona kwa nguvu za mkewe baada ya maombi kwa sana yeye alibaki anabembea kama kinyonga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ningekua dereva ningeacha gari...ndrukiiii zangu..nani anapenda kifo!![emoji16][emoji16][emoji16].Kuna siku walikuwa wanasimuliana wenzao waliamka usiku jaza abilia mpaka mlango ukashindwa kufunga, dereva kaendesha muda mrefu hasikii shuka kimya tu, ile kugeuka nyuma kakuta konda anakoroma pekeyake hakuna abilia hata 1[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mwenyezi Mungu atunusuruNa ukiingia chooni pia soma dua mana huko ndo makazi yao. Wanaweza wakakuangusha chini chooni hawa,na wakiamua kukudhuru wanakudhuru
Sasa huoni anafanya vibaya kuangalia chura wa dada yake akirukaruka??Unamwambia aache kukaa nyuma ya dada yake, ili asiangalie nanilihii vile......[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji241]
Hivi hommie hapa unafanya nini?Sasa huoni anafanya vibaya kuangalia chura wa dada yake akirukaruka??
Sasa babuu atembee vipi au afumbe macho hilo haliwezi kuwepo kama kuna chura hapa karibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa huoni anafanya vibaya kuangalia chura wa dada yake akirukaruka??
Sasa kwanini hakukaa mbele yeye? Ana tabia mbaya... iko siku ataachiwa ushuzi mpk akomeSasa babuu atembee vipi au afumbe macho hilo haliwezi kuwepo kama kuna chura hapa karibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ushuzi tena atazuga hajasikia.Sasa kwanini hakukaa mbele yeye? Ana tabia mbaya... iko siku ataachiwa ushuzi mpk akome