Yaliyonikuta jana!!

Yaliyonikuta jana!!

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
Na makonda wanamioyo khaaa!!
[emoji16][emoji16][emoji16].Kuna siku walikuwa wanasimuliana wenzao waliamka usiku jaza abilia mpaka mlango ukashindwa kufunga, dereva kaendesha muda mrefu hasikii shuka kimya tu, ile kugeuka nyuma kakuta konda anakoroma pekeyake hakuna abilia hata 1[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Habari zenu wana Jf

Nianze na mkasa ulionikuta jana..mida flani hivi nilienda kariakoo na Dada yangu..katika mizunguko yetu yeye alikua mbele mimi nyuma

Sasa si mwajua kariakoo ilivyo na watu wengi..nikiwa katika mshangao wa kushangashangaa nguo ghafla nikapigana kikumbo na mdada amevaa baibui ameziba macho kama avatar ya madame s

Yani nikaganda ghafla uku nikimuangalia tu..akafika mbele akageuka..lahaullah!! Macho ya yule dada sikuyaelewa hata kidogo alafu yalikua hayatulii kile kiini cheusi kinafanana na kiini cha paka

Nikasema hapana sikuamini nilichokiona nikageuka kuangalia mbele huku nikijiuliza kama yule ni mtu

Nikageuka tena nyuma alikua amefika mbali lakini bado aliponiangalia macho yalikua vilevile...ghafla Dada akaniita jina langu nikaitikia "aliniuliza vipi mbona umesimama tu hapo" sikumjibu kitu

Nikageuka kwa mara ya mwisho sikumuona tena yule dada

Yani nilinyon'gonyea hadi tunatoka kariakoo bado najiuliza..hivi nilikutana na jini ama kuna binadamu wenye macho ya vile!!!

Hayo ndio yaliyonikuta siku ya jana mwenzenu
Acha uoga ww sibora ww mm juzi kati tulikumbana hivohivo nikampiga kikumbo nilishikwa mkono kwa kulazimishwa nisalimie namuangalia vizuri mwanamke kavaa nikabu nataka nimuongeleshe kashautoa mkono anaondoka sijakaa vyema nikaona haiwezakani nataka nimfate nikashikwa na Ganzi sio ganzi misuli imefel nikabaki namuangalia ninani haswa nikaishia kumuona kwa mbali hata habari hana Jini hilo lunakusabahi
 
Jini ana uwezo wa kujibadilisha kuwa binadam lakin kamwe hawezi akabadilsha macho yake yakawa na kiini cheusi kama macho yetu. Mim pia nilikutana nae lakin kabla sijakaribiana nae mwili ulisisimka, nikajua tu hapa kutakuwa na kitu kibaya. Na kweli nilipomuona na akagundua kuwa nimemuona macho yake alitoweka ghafla sijui hata huwa wanayeyukia wapi. Utachangaa tu anaanza kupotea taratib Mara ghafla humuoni. Sehem zenye watu wengi huwa wanapenda sana kujumuika na binadamu
Kwanini wanapenda kujichanganya sehemu zenye mikusanyiko ya watu wengi?, huwa wanakuwa wanatafuta nini?
 
Ila alipona kwa nguvu za mkewe baada ya maombi kwa sana yeye alibaki anabembea kama kinyonga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahisi alikoma na hakurudia tena
 
[emoji16][emoji16][emoji16].Kuna siku walikuwa wanasimuliana wenzao waliamka usiku jaza abilia mpaka mlango ukashindwa kufunga, dereva kaendesha muda mrefu hasikii shuka kimya tu, ile kugeuka nyuma kakuta konda anakoroma pekeyake hakuna abilia hata 1[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ningekua dereva ningeacha gari...ndrukiiii zangu..nani anapenda kifo!!
 
Sasa babuu atembee vipi au afumbe macho hilo haliwezi kuwepo kama kuna chura hapa karibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa kwanini hakukaa mbele yeye? Ana tabia mbaya... iko siku ataachiwa ushuzi mpk akome
 
Unachosimulia kinaendana na kisa kilichomkumba 'mtu wangu mmoja'. Yeye tulikua naye mjink, mimi nikawa nimekaa grocery, nakunywa huko mwanza, mtaa wa ghana. Yeye akaniambia kuna nguo anahitaji kununua. Akaenda duka la nguo lipo jirani na hiyo grocery, kuingia akamkuta dada amevaa dizaini kama huyo na macho kama hayo unayoyasema na yanang'aa sana. Akaogopa akaondoka dukani kwa woga, alipotoka tu akakutana na muuzaji mwingine wa hilo hilo duka, lakini huyu ni wanaume. Akamsihi arudi anunue wala asiogope. Basi kiuoga akanunua hiyo nguo. Huku huyo mwanamke mwenye macho paka ndio muuzaji. Aliporudi nilipo, kunisimulia nikamwambia hiyo nguo itupe.

Nadhani ni 'utaalamu' wa kibiashara.
 
Back
Top Bottom