Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Nakubal unyama unyamani[emoji109]
 
We unachukua malaya alafu unalala aisee, kwani huyo malaya umemchukua ili akulinde ukilala ? Au huna kifanyio
Sindio hapo sasa, yani mimi sinaga muda huo ni kuchapa mwanzo mwisho nikipumzika kidogo tu kisteringi umakini asilimia mia napanda tena ivyo mpaka asubuhi.
 
Umasikini wa eneo unaelezea tabia za wahusika. Hiyo ni lodge na ndiyo maana ni wajinga wajinga na wezi. Siku nyigine kalale hotel kubwa, lipa gharama kubwa na chukua baby wenye kiwango kikubwa
Nilitaka niseme hili, kama mwanamke simjui!! Hotel lazima ijielewe sana kuanzia mazingira, ulinzi hadi wahudumu!

Mali zote, zinaachwa reception, mpaka simu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila nyiee matesoo makali sanaa...
 
Angeishia tu kuandika KOMA KUCHUKUA MALAYA. Kwani unawez kumjua malaya kwao wapi? Interest yako ni mbusus, kujua anakotoka inahusikaje hapa?
 
Unachukua malaya halafu unalala kama upo kwako!?

Ukiwwa na malaya unalala kisteling stelingi, jicho moja linalala moja liko macho, likilala hili, hili linaka macho, kikomando komando kama Arnold schwarznegger
Dawa ya yote haya ni kupiga mbususu kwa muda tu, sio mpaka asubuhi. Mkimaliza idadi ya mabao asepe, wewe unalala zako usingizi wa mtoto mchanga!
 
Unachukua malaya halafu unalala kama upo kwako!?

Ukiwwa na malaya unalala kisteling stelingi, jicho moja linalala moja liko macho, likilala hili, hili linaka macho, kikomando komando kama Arnold schwarznegger
Mnajitia Stress tu Zisizo na Maana. Ndio maana Mnakufa Haraka kwa Kuendekeza Pombe na Malaya.. Unalala mwili umechoka na Umeibiwa unategemea utatoboa 50 years kweli
 
Nzuri na salama kama pesa ipo kodi vyumba viwili moja tunza vitu chako vya thamani. Au piga shoo lakini Hakuna kulala yaani unamlipa chake mnaagana huku mnaonana na sio anakuaga upo usingizini. Unalala na kahaba eti akupe joto kwani mkeo huyo. Yeye yupo Kazi sinzia ulie.
 
Mnaogopa kuibiwa kuliko kuogopa magonjwa


Mnaogopa kuibiwa kuliko kumwogopa Mungu kwa dhambi ya uzinifu

Hakuna aliyekamilika ila mnajua kuwa ukilala na malaya unabeba maroho yake yote, imagine kashalala na wanaume wangapi? Ana maroho mangapi , unabeba mnapeleka kwenye ndoa zenu kwa mlio na ndoa na hapo ndo mwanzo wa mafarakano, familia magonjwa, mikosi, kukosa amani na furaha

Starehe ya muda mfupi inamadhara makubwa kama sio kimwili sababu mnasema mnatumia Kinga ila madhara ya Kiroho

Mungu aturehemu na hiki kizazi chetu aisee
 
Umeongea ukweli ila nawewe acha zinaa
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…