Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #241
Kabisa huyu hajui kuwa kila kifo mungu amepanga ufe hivyo kabla hata yakuja dunianiWapo wanaojilinda wanagongwa na magari wanakufa.
Kifo hakina kinga.
Tupambanie AFYA na si UHAI.
Wewe hutakufa??Mnajitia Stress tu Zisizo na Maana. Ndio maana Mnakufa Haraka kwa Kuendekeza Pombe na Malaya.. Unalala mwili umechoka na Umeibiwa unategemea utatoboa 50 years kweli
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huu ujumbe ulinitia hasira mpaka basiAngeishia tu kuandika KOMA KUCHUKUA MALAYA. Kwani unawez kumjua malaya kwao wapi? Interest yako ni mbusus, kujua anakotoka inahusikaje hapa?
Hata mm nimemwambia ni risk sanaHii technique ni high risk ila nimeikubali, smart move
Yote hayo kisa kuogopa kuibiwa tu, bora usiwe unalala na Malaya tuNilitaka niseme hili, kama mwanamke simjui!! Hotel lazima ijielewe sana kuanzia mazingira, ulinzi hadi wahudumu!
Mali zote, zinaachwa reception, mpaka simu!
🤣 🤣 🤣 🤣akasema niende Oxygen gas
Utakufa tu hamna namnaHiyo ya kufungiwa nje kukitokea na ajali ya moto[emoji23]
Sitakaa ninunue hayo makitu.Unachukua malaya halafu unalala kama upo kwako!?
Ukiwwa na malaya unalala kisteling stelingi, jicho moja linalala moja liko macho, likilala hili, hili linaka macho, kikomando komando kama Arnold schwarznegger
Naona bado mgeni kwenye hii tasnia ya gest..hivyo vitanda ni vingi sana kwenye gesti za bei rahisi.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hakuna kitanda hicho
😂 😂 Hapa sasa ndio unapata sababu ya kunipiga chini.. 😂You're speaking from experience mkuu duh😂😂
mwizukulu mgikuru babuEnaseketeshaa
Hii nayo mzee nimeikubali sana inaitwa mchawi mchomeke tunguli la kulogea bila kujuaDawa unafunga mlando funguo unaficha kwenye mkoba wake, hata ukilala fofofo ufunguo haupati kwani yeye atakuwa anatafuta kwenye vitu vyako bila kusachi mkoba wake
Hahaha lakini kuna malaya wazuri mazee basi tu shetani huwa anajipakulia vitu vizuri kwanza hala vibovu anawaachia wanadamu😂😂😂😂Pole saana mkuuu
Utakuwa kahaba mzoefu wewe sip kwa mambinu haya🤣🤣🤣Dawa unafunga mlando funguo unaficha kwenye mkoba wake, hata ukilala fofofo ufunguo haupati kwani yeye atakuwa anatafuta kwenye vitu vyako bila kusachi mkoba wake
Sasa unacheka nini[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]