Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kesho natia timu ugogoni.Kaa mkao wa kubugia kindi na mtukuru hapo mitaa ya Bunge.Ooh kesho kutwa naweza enda bujumbura nitakushtua ulale Bata tupunguze machungu ya tozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho natia timu ugogoni.Kaa mkao wa kubugia kindi na mtukuru hapo mitaa ya Bunge.Ooh kesho kutwa naweza enda bujumbura nitakushtua ulale Bata tupunguze machungu ya tozo
Hata mimi siwezi kuvumilia [emoji23][emoji23][emoji23]Kama mi ndo ningekuwa bosi wa huyo jamaa,ningemsamehe tu,wee chuchu konzi bila kuinyonyanyonya mbona hasara kubwa
Sipo mjini. Nipo huku sambracholeKesho natia timu ugogoni.Kaa mkao wa kubugia kindi na mtukuru hapo mitaa ya Bunge.
Acha kujidai unaenenda kwa maandiko kijana.Uhuni tu.😂😂😂😂Sina hiyo tabia. Kisheria ukifanya tendo la ndoa na mwanamke uliyempa dawa za usingizi au kilevi chochote kwenye pombe huo ni ubakaji
Nitakupigia radio-call aka walkie bin talkie!Sipo mjini. Nipo huku sambrachole
We mpatie,ila akienda kuoga,hakikisha umeweka pesa zako kwake,sijawahi kuibia toka nianze kuwafanyia hivyo.Maana hawezi kuvaa Nguo,kabla hajachukua funguo,na funguo zimo kwake.Wengine huw a wanataka pesa kabla ya mchezo
Akianza kuondoka atajisachi pesa zake ataziona na funguo. Anyway mimi hii njia siwezi ni risk sanaWe mpatie,ila akienda kuoga,hakikisha umeweka pesa zako kwake,sijawahi kuibia toka nianze kuwafanyia hivyo.Maana hawezi kuvaa Nguo,kabla hajachukua funguo,na funguo zimo kwake.
Haya mambo usiombe yakakukutaPana mtu alienda seminar mkoani akaopoa fish fish chuchu msumari akajifanya fundi wa kunyonya embe sindano akajikuta kaamka Saa nne kwa kuamshwa na muhudumu kaachiwa bastola pekee yake,malaya kakomba KILA kitu kuanzia pochi,begi la nguo, laptop na flash yake ya kuprezent kwenye kikao ofisini kesho.
Mjomba hii kali. Sasa zile lodge zenye vitanda makaburi itakuwaje?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unalala na malaya funguo unaacha mlangoni kweli we mjini bado sana,ukilala na malaya kitanda unakisogeza mlangoni hatoki mtu
Kwa saikolojia ya kawaida,anatafuta funguo iliko,akiipata ndiyo anaenda kwenye nguo zake,akavae asepe,hawezi kuwaza kua funguo kawekewa kwenye nguo zake.Hiyo ya yeye kujisachi kuangalia kama pesa zake zipo,hiyo ni kama amelala na mwanaume mwizi.Anyway kila mtu na mbinu zake,lakini yangu hii sijawahi kuibiwa.Akianza kuondoka atajisachi pesa zake ataziona na funguo. Anyway mimi hii njia siwezi ni risk sana
Hii nizaid ya gereza dah [emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]Kwa saikolojia ya kawaida,anatafuta funguo iliko,akiipata ndiyo anaenda kwenye nguo zake,akavae asepe,hawezi kuwaza kua funguo kawekewa kwenye nguo zake.Hiyo ya yeye kujisachi kuangalia kama pesa zake zipo,hiyo ni kama amelala na mwanaume mwizi.Anyway kila mtu na mbinu zake,lakini yangu hii sijawahi kuibiwa.
Kabla ya hii nilikuaga nachukua pesa,nazitoa kwenye wallet, naziweka kwenye miguu ya kitanda,yote minne,nazikandamiza,yaani nazigawagawa,halafu tunalala.
Hivyo hivyoUnaibiwaje kiboya hivyo
[emoji16][emoji16] [emoji119]mbinu za kijasusi hiziKuna mmoja nilikutana nae, analalamika nimnyonye maziwa huko ndiko ugonjwa wake, wakati huo nishhasikia saana wale waduwanzi wanapaka madawa kwenye ziwa, nikaona liwalo na liwe, nikalamba ziwa, bila kumeza ulimi, nikampa ulimi, nikamla mate, nikalamba tena na jingine nikamla mate, nikawa nanyonya ziwa kidogo namla na mate, kama kaweka dawa tuzime woote. [emoji23] [emoji23], kuzinduka kutategemea na resistance ya mtu, Tukapiga show fresh hakuna aliyezima.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] [emoji119]mbinu za kijasusi hizi
Halafu ripoti ya muhimu umejipinda miezi changu anaenda uza buku flashHaya mambo usiombe yakakukuta
Dunia ni kijiji kaka, hata wakienda kwa putin utawadaka tu.Kwani wezi wote wa natokea maeneo uliyowakuta? Malaya huwa wanazunguka Leo unamkuta tabora kesho kahama kesho kutwa Dar mwezi ujao Capetown
Kwani shida iko wapi, sema kinachohitajika ni careness tuDuuuh hivi mnapata ujasili gani wa kulala ukiwa na malaya
Nakubali malaya sio wa kumuachia achia show mwanzo mwisho uwa wanasimuliana huko wakiwa wanapiga story utasikia anawambia wenzake "duh jana sikulala kabisa nilipata mtu anakamua usiku mzima"[emoji41]