Yaliyonikuta Ziwa Rukwa sitokaa niyasahau

Dah,wewe umenifungua macho, Kuna wadada wawili nawafahamu wote wamekimbilia Rukwa kwenye mabwawa ya samaki baada ya kuzidiwa na madeni ya vikoba ,na Benji japo kila mmoja kaenda kimpango wake...kumbe uchaka wa wanyang'anyi
Hao madada wakoje? Wana chura? Ntumie picha zao pm nikijiridhisha ntawasaidia kulipa
 
Ni kwa vile hii nchi ina uongozi wa hovyo, lakini mtu kama huyu alitakiwa asaidiwe na kodi zetu, bahati mbaya tukishalipa akina Mwigulu wanakwapua na kujinunulia posh cars moja shilingi 500m. Hii 500m ingesomesha wangapi. Rubbish.
Story yako imenigusa sanaaa. Pole
 
Aina ya usimuliaji ni ile ile. Kwa nini unapenda sana kubadili ID? Unajitihidi ila bado kiwango chako cha uandishi hakiwezi kuteka mtu kama mimi. Kuna mambo mengi sana hayana uhasilia kwenye simulizi zako.
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒkwani yeye ndio amesababisha Fred afe? Wakulaumiwa ni Fred kwa sababu yeye ndiye alitaka kusababisha kifo cha mleta thread
Lakini wakati anakufa alishindwa kumsaidia. Hivyo damu yake atailipia tu.
 
Ni stoli tu. Huyu ndiyo aliyetunga stori ya msitu wa Shengena
 
Vp kwani unataka kumtunuku tunda kimasihara?๐Ÿ˜€
ah
Mmmmmgh Ile million ilishaisha kama ndio unaipigia hesabu
khah!Hzo milion wala hazinipi wenge..ye mwenyew ndo kasema zilivutwa akahisi atapoteza uanaume,sasa kupoteza ni hasara kubwaa kuliko hata makovu aliyo nayo,nd mana nimetaka kujua kama hicho kikombe kilimuepuka.
 
Duu!๐ŸŽถ๐ŸŽถ Nduu!!!๐ŸŽถ nduuu!!๐ŸŽถ๐ŸŽถ nduuuu!!๐ŸŽถ๐ŸŽถ ๐Ÿ—ฃYeaah!!.... Ebwana eee!!! Yap!! Yap!! Tigo live it love it๐Ÿ˜
 
Aina ya usimuliaji ni ile ile. Kwa nini unapenda sana kubadili ID? Unajitihidi ila bado kiwango chako cha uandishi hakiwezi kuteka mtu kama mimi. Kuna mambo mengi sana hayana uhasilia kwenye simulizi zako.
Kutoa maoni au hoja hakutokani na ujuzi wa kuandika Bali Nia ya kukifikisha kile unachokusudiwa .huenda wew unajua kuandika Kwa mpangilio sio lazima na mm nijue na hii sijaiandika kumlazimisha mtu aisome ni hiari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ