Hao madada wakoje? Wana chura? Ntumie picha zao pm nikijiridhisha ntawasaidia kulipaDah,wewe umenifungua macho, Kuna wadada wawili nawafahamu wote wamekimbilia Rukwa kwenye mabwawa ya samaki baada ya kuzidiwa na madeni ya vikoba ,na Benji japo kila mmoja kaenda kimpango wake...kumbe uchaka wa wanyang'anyi
Da JF idumu... Nimecheka Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2] THE HARD WAY mniga analiwa na mamba by Mkandala Lufufu.
Flomu Wey baki
Ng'ambo ya zote ziwa Rukwa huko ni banana republic hakuna Cha sheria,askari Wala bibi yake,
Wagumu tu ndo wanaweza kuishi huko.
Tulia wewe msweden wa buza.Tangu Chelsea iyumbe imepelekea mpaka dish lako liyumbe
๐๐๐๐๐Hao madada wakoje? Wana chura? Ntumie picha zao pm nikijiridhisha ntawasaidia kulipa
๐๐๐kwani yeye ndio amesababisha Fred afe? Wakulaumiwa ni Fred kwa sababu yeye ndiye alitaka kusababisha kifo cha mleta threadMkuu damu ya Fred itakuwa mikononi mwako milele. Wewe ndio chanzo Cha kifo chake kibaya hicho.
Aina ya usimuliaji ni ile ile. Kwa nini unapenda sana kubadili ID? Unajitihidi ila bado kiwango chako cha uandishi hakiwezi kuteka mtu kama mimi. Kuna mambo mengi sana hayana uhasilia kwenye simulizi zako.Ilikuwa mwanzoni kabisa mwa mwaka 2000 nikiwa nyumbani pamoja na wazazi wangu katika mji mdogo wa tunduma karibu kabisa na shule ya msingi maporomoko.
Sitasahau wakati huo nilikuwa nikiishi na mama wa kambo baada ya kumpoteza mama yangu mzazi .maisha nyumbani yalibadilika ghafla na baba akawa ni mtu wa kulewa na kurudi usiku wa manane.
Ilikuwa akifika tu basi wote mtaamshwa kupigiwa makelele usiku kucha ,Mimi na wadogo zangu ambao wengine walikuwa wadogo kabisa, ilifika mahari tunalala njaa.
Yule mama wa kambo alibadilisha kabisa maisha na tabia za baba akawa ni mtu wa hovyo sana. Wanakula kilabuni wanarudi usiku Mimi nabaki napambana na wadogo wazangu na nilikuwa nataka kwenda chuo lakini Mzee kasema hawezi kupoteza pesa yake kunisomesha natakiwa nipambane mwenyewe.
Niliamua kujiongeza kufanya vibarua mchana jioni nikipata kitu napelekea wadogo zangu ndio hapo nilikutana na jamaa Mmoja anaitwa Alfred akanipa mchongo wa kwenda kuvua samaki ziwa rukwa.
Nilijichangachanga nikapata nauli nikawaaga wadogo zangu Kwa uchungu sana ilikuwa hakuna namna lazima nikapambane na Kwa vile jamaa alinipa matumaini ya kupata pesa nyingi Kwa muda mfupi nikaamini kabisa naenda kutoboa, tuliondoka Tunduma Kwa usafiri wa fuso kuelekea bonde la ziwa rukwa kupitia laela, Kalambanzite na usiku karibia Saa nne tukafanikiwa kufika Kijiji Cha Ilemba ambapo ndio mwisho wa gari.
Tukalala asubuhi mapema tukaanza kutembea Kwa mguu nakumbuka tuliamka Saa 12 mapema.
Kuendelea bonyeza kiungo hapo chini
Sehemu ya pili
Sehemu ya tatu
Lakini wakati anakufa alishindwa kumsaidia. Hivyo damu yake atailipia tu.๐๐๐kwani yeye ndio amesababisha Fred afe? Wakulaumiwa ni Fred kwa sababu yeye ndiye alitaka kusababisha kifo cha mleta thread
Kitambo tu mbona,Nilienda kutalii tu kwa mda mfupi,Umefufuka lini?
Nyinyi mnapaswa kupewa zile story za kukatikia njianiMkuu hujatoa hatma ya nini kiliendelea baada ya msiba wa baba
ahVp kwani unataka kumtunuku tunda kimasihara?๐
khah!Hzo milion wala hazinipi wenge..ye mwenyew ndo kasema zilivutwa akahisi atapoteza uanaume,sasa kupoteza ni hasara kubwaa kuliko hata makovu aliyo nayo,nd mana nimetaka kujua kama hicho kikombe kilimuepuka.Mmmmmgh Ile million ilishaisha kama ndio unaipigia hesabu
Hahahaha ๐คฃah
khah!Hzo milion wala hazinipi wenge..ye mwenyew ndo kasema zilivutwa akahisi atapoteza uanaume,sasa kupoteza ni hasara kubwaa kuliko hata makovu aliyo nayo,nd mana nimetaka kujua kama hicho kikombe kilimuepuka.
ah wapi!Nilitaka kumfanyia repair and maintenance.Vp kwani unataka kumtunuku tunda kimasihara?๐
Kutoa maoni au hoja hakutokani na ujuzi wa kuandika Bali Nia ya kukifikisha kile unachokusudiwa .huenda wew unajua kuandika Kwa mpangilio sio lazima na mm nijue na hii sijaiandika kumlazimisha mtu aisome ni hiariAina ya usimuliaji ni ile ile. Kwa nini unapenda sana kubadili ID? Unajitihidi ila bado kiwango chako cha uandishi hakiwezi kuteka mtu kama mimi. Kuna mambo mengi sana hayana uhasilia kwenye simulizi zako.