Yaliyotokea UDA ndiyo yatakayoipata Simba.

Yaliyotokea UDA ndiyo yatakayoipata Simba.

hati za Simba zinatakiwa ziwepo ofisini. Sio kwa mtu binafsi.
kwanza simba ina Mali gani mpaka uje useme moo anazitaka?
Kujua thamani ya club ndio ushinikize kupewa hati?

Kwa nn usiombe hesabu za club kwa maana ya balance sheets za nyuma ili uone zimekaaje kuliko kushinikiza upewe hati na wewe hujatoa hata hiyo fedha uliyoahidi kuiwekeza kama hisa??
 
hati za Simba zinatakiwa ziwepo ofisini. Sio kwa mtu binafsi.
kwanza simba ina Mali gani mpaka uje useme moo anazitaka?

Yeye alivyozitaka?

Kwa nn asingeshauri ziwekwe benki??

Huyo ni mpigaji tu hakuna muhindi mwenye nia nzuri hata siku moja
 
Binafsi mm nipo yanga ila simba mkifail kwenye ili nitaumia sana maana mlikuwa mmeanza kutuonyesha njia ya kupita japo kuwa mfumo wenu wa uwekezaji sijawai kuuona sehemu yoyote ile. But kama Mo ana hisa 49% kwa ghalama ya bilioni 20 hizo 51% za wanasimba ambazo ni sawa na bilioni 24 ziko wapi? Wekeni benki nyie kwanza hzo Bilioni 24 alafu Mo ataweka zake pia. Alafu hivi ninani alifanya valuation ya timu ya simba? Hv simba na yanga ambao wameshika roho ya nchi wanaweza kuwa na thamani ya biliini 40? Timu inafungwa washabiki wanajinyonga iwe na thamani ya bilioni 40? Emu kuweni serious kwenye mambo serious bwana.
 
Binafsi mm nipo yanga ila simba mkifail kwenye ili nitaumia sana maana mlikuwa mmeanza kutuonyesha njia ya kupita japo kuwa mfumo wenu wa uwekezaji sijawai kuuona sehemu yoyote ile. But kama Mo ana hisa 49% kwa ghalama ya bilioni 20 hizo 51% za wanasimba ambazo ni sawa na bilioni 24 ziko wapi? Wekeni benki nyie kwanza hzo Bilioni 24 alafu Mo ataweka zake pia. Alafu hivi ninani alifanya valuation ya timu ya simba? Hv simba na yanga ambao wameshika roho ya nchi wanaweza kuwa na thamani ya biliini 40? Timu inafungwa washabiki wanajinyonga iwe na thamani ya bilioni 40? Emu kuweni serious kwenye mambo serious bwana.

Kwani yeye hizo zake ziko wapi??
 
unafanyaje mipango ya maendeleo wakati haujui klabu ina kitu gani?
Mzee kilomoni Ana cheo gani pale simba?
moo hajafikia njaa ya kutaka kugombea Yale mabanda pale msimbazi.
Ambayo thamani yake hata billion 5 haifiki.
Tukitaka kuuza mtu HANUNUI.
Kama hakuna mali anang'ang'ania hati za majengo za nn kama hana maslahi nazo,si azikaushie tu afanye aliyokuwa anayafanya?
 
unafanyaje mipango ya maendeleo wakati haujui klabu ina kitu gani?
Mzee kilomoni Ana cheo gani pale simba?
moo hajafikia njaa ya kutaka kugombea Yale mabanda pale msimbazi.
Ambayo thamani yake hata billion 5 haifiki.
Tukitaka kuuza mtu HANUNUI.

Kufanya Mipango ya maendeleo ndio ushinikize kupewa hati,hesabu za club zilizokaguliwa zina kazi gani???

Huyo ni tapeli kama matapeli wengine tu.

Kama unaona yale majengo ni mabanda na hayana thamani anataka hati zake akabidhiwe yeye kwa nini??
 
Kufanya Mipango ya maendeleo ndio ushinikize kupewa hati,hesabu za club zilizokaguliwa zina kazi gani???

Huyo ni tapeli kama matapeli wengine tu.

Kama unaona yale majengo ni mabanda na hayana thamani anataka hati zake akabidhiwe yeye kwa nini??
Jitokeze wewe sasa ununue hzo hisa 51% za wanachama ili uweke bilioni 24 mezani tuone kama utaoji finacila statements za club pamoja na hati.
 
Kama unalijua Hilo kwanini mna lazimisha MOO ATOE BILION 20.?
Sasa yy kiburi Cha kusema apewe hati ni kipi? Kwa sababu anatoa hizo fedha ambazo anaandika mwisho aje kusema zimefika 20Billion?

Neno hisa linatajwa tajwa tu.
Aliahidi yy mwenyewe 20B. Akaahidi uwanja ambao haujakamilika. Uwanja wa Mazoezi ni kitu kidogo Sana. Boko Veterani wanao. Ni swala la vipaumbele tu.
Mo Ana hela lakini ni mjanja mjanja.

Hizo hisa ziwekwe sokoni. Muwekezaji apatikane. Inawezekana akapatikana hata kwa 50B. Simba yanga Zina followers ambao ni mtaji mkubwa.
 
Nani amekwambia Ana taka apewe yeye?
moo Ana viwanda vingapi?
Moo Ana biashara ngapi?
Moo Ana magari mingapi semi trailer?
Na madogo mangapi?
Hatakuja kuhangaika na Yale mabanda?
Kufanya Mipango ya maendeleo ndio ushinikize kupewa hati,hesabu za club zilizokaguliwa zina kazi gani???

Huyo ni tapeli kama matapeli wengine tu.

Kama unaona yale majengo ni mabanda na hayana thamani anataka hati zake akabidhiwe yeye kwa nini??
 
Nimekuuliza club ya Simba na mzee kilomoni wametoa shilingi ngapi?
Maana moo sio mmiliki wa SIMBA.
Ana shareholder na simba sports club.
Sasa yy kiburi Cha kusema apewe hati ni kipi? Kwa sababu anatoa hizo fedha ambazo anaandika mwisho aje kusema zimefika 20Billion?

Neno hisa linatajwa tajwa tu.
Aliahidi yy mwenyewe 20B. Akaahidi uwanja ambao haujakamilika. Uwanja wa Mazoezi ni kitu kidogo Sana. Boko Veterani wanao. Ni swala la vipaumbele tu.
Mo Ana hela lakini ni mjanja mjanja.

Hizo hisa ziwekwe sokoni. Muwekezaji apatikane. Inawezekana akapatikana hata kwa 50B. Simba yanga Zina followers ambao ni mtaji mkubwa.
 
hao followers wa simba na yanga wanachangia nini kwenye club?
hauoni yanga wanavyolazimisha michango?
Walitumia njia za simu holaaa.
Benki account holaaa.
Watu hela hawanaaa na kama wanazo hawatoi.
Sisi ni mashabiki MANENO TU.
hata jezi hatununui KLABU ITAPATA WAPI HELA?
Sasa yy kiburi Cha kusema apewe hati ni kipi? Kwa sababu anatoa hizo fedha ambazo anaandika mwisho aje kusema zimefika 20Billion?

Neno hisa linatajwa tajwa tu.
Aliahidi yy mwenyewe 20B. Akaahidi uwanja ambao haujakamilika. Uwanja wa Mazoezi ni kitu kidogo Sana. Boko Veterani wanao. Ni swala la vipaumbele tu.
Mo Ana hela lakini ni mjanja mjanja.

Hizo hisa ziwekwe sokoni. Muwekezaji apatikane. Inawezekana akapatikana hata kwa 50B. Simba yanga Zina followers ambao ni mtaji mkubwa.
 
Jitokeze wewe sasa ununue hzo hisa 51% za wanachama ili uweke bilioni 24 mezani tuone kama utaoji finacila statements za club pamoja na hati.

Mzee Kilomoni ana akili kuliko wewe mkuu

Jina lako linasadifu upeo wako kifikra
 
Back
Top Bottom