Yamekosekana maelezo ya kitaalamu na uhakika kuhusu hiki Chuma ambacho kimedondoka huko Kenya?

Yamekosekana maelezo ya kitaalamu na uhakika kuhusu hiki Chuma ambacho kimedondoka huko Kenya?

kumbe kenya wana space agency inaitwa KSA? ndo najua leo
1735736970929.png
 
Hivi mamlaka za anga huwa haziwezi kutambua vitu kama hivi kabla ya kuanguka na kutoa tahadhari?
Hiki kimedondoka bila kutambuliwa, je kama kuna vingine vikubwa vinakuja?
Naona KTN wanasema kuwa uchunguzi wa awali umeonesha ni kipande cha mabaki ya roketi za anga za juu ambayo hudondoshwa yakilenga kudondokea baharini.

Sasa badala ya kudondokea baharini, kikadondokea nchi kavu bila kuleta madhara.

Bado wanafuatilia kuona wamiliki wa kifaa hicho ni nani ama taifa gani.
 
Back
Top Bottom