Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh!Mungu huepusha sana mabalaa. Fikiria ngoma ingelenga nyumba ya mtu, kuna kiumbe angebaki kweli!
Wanataka kutuaminisha kuwa Aleans wanafika Afrika ghafla hivi😀Vitakuwa vimechomoka kwenye satelite za Elon Musk huko
Soon tunavamiwaJambo nilonalo uhakika ,kifaa kimedondoka kutoka kwenye vyombo vya Anga lkn sio ndege Kwa aina zake 🤣
Ni yale mavyombo ya Aliens
Hata sisi itakuwa ipo, inaitwa labda Tanzania Space Agency 🤣🤣kumbe kenya wana space agency inaitwa KSA? ndo najua leo
View attachment 3190043
Tanzania ilitangaza mpango wa kuanzisha, May mwaka jana😂Hata sisi itakuwa ipo, inaitwa labda Tanzania Space Agency 🤣🤣
Mtaalamu wa Space agent amekuja na Yebo
Vipo vingi sanaHatuna kitu cha maana kufanya tuvamiwe mkuu
mwanzotv.com
Tuvamiwe mara ngapi vilikuwepo Vipo na tunaishi navyoSoon tunavamiwa
Naona KTN wanasema kuwa uchunguzi wa awali umeonesha ni kipande cha mabaki ya roketi za anga za juu ambayo hudondoshwa yakilenga kudondokea baharini.Hivi mamlaka za anga huwa haziwezi kutambua vitu kama hivi kabla ya kuanguka na kutoa tahadhari?
Hiki kimedondoka bila kutambuliwa, je kama kuna vingine vikubwa vinakuja?
Putin alipiga simu whitehouse kuomba msamaha. Chanzo BBCswahiliTangia tarehe 30 mpaka leo hilo bomu halijafika tu huko Russia?