Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Itakua Cheni au Hereni ya Aliens😁😁😁😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma hapaHabari zenu wakuu.
Kuna hiki Chuma kimedondoka kaunti ya Makueni huko Kenya.
Mashuhuda wanasema kilikuwa na mshindo mithili ya Radi.
Kuna maelezo yoyote ya kitaalamu yametolewa?
View attachment 3190012
UFOsJambo nilonalo uhakika ,kifaa kimedondoka kutoka kwenye vyombo vya Anga lkn sio ndege Kwa aina zake 🤣
Ni yale mavyombo ya Aliens
Siyo Aliens mkuu, ni mabaki ya vifaa vya rockets ambavyo hudondoshwa nyuma ikiwa inaendelea na mzunguko wa safari zake. Katazame Ktn wameeleza.Jambo nilonalo uhakika ,kifaa kimedondoka kutoka kwenye vyombo vya Anga lkn sio ndege Kwa aina zake 🤣
Ni yale mavyombo ya Aliens
Makueni iko umbali wa zaidi ya kilomita 350 kutoka kwenye ufukwe wa bahari, sasa hao walio dondosha kama wali mistarget kiasi hicho kazi ipo.Naona KTN wanasema kuwa uchunguzi wa awali umeonesha ni kipande cha mabaki ya roketi za anga za juu ambayo hudondoshwa yakilenga kudondokea baharini.
Sasa badala ya kudondokea baharini, kikadondokea nchi kavu bila kuleta madhara.
Bado wanafuatilia kuona wamiliki wa kifaa hicho ni nani ama taifa gani.
Basi wametushtua tujue bado wapoTuvamiwe mara ngapi vilikuwepo Vipo na tunaishi navyo
RasilimaliKama vipi mkuu?
Nilikuwa najengea nyumba yangu, ikadondoka bahati mbayaHuko angani chuma kimetokea wapi?
Wanasema inaweza kuwa mabaki ya spacecraft au satellite.
View: https://youtu.be/FlS8n7A_qI8?si=G1g6xq5HoRWiLzsJ
Wamesema kikiachia kwenye anga za juu, huteketea kwa kuungua kutokana na mgandamizo wa hewa ama huwa kimesetiwa kuangukia baharini.Makueni iko umbali wa zaidi ya kilomita 350 kutoka kwenye ufukwe wa bahari, sasa hao walio dondosha kama wali mistarget kiasi hicho kazi ipo.
Mim mgumu kuelewa hapo chuma inawezaje teketeaWamesema kikiachia kwenye anga za juu, huteketea kwa kuungua kutokana na mgandamizo wa hewa ama huwa kimesetiwa kuangukia baharini.
Sasa wanachoshangaa kama kilishindwa kuteketea angani kimepenyaje kuja kuangukia nchi kavu na isiwe baharini?
Bado wanafuatilia.