Yamekosekana maelezo ya kitaalamu na uhakika kuhusu hiki Chuma ambacho kimedondoka huko Kenya?

Yamekosekana maelezo ya kitaalamu na uhakika kuhusu hiki Chuma ambacho kimedondoka huko Kenya?

Attachments

  • Screenshot_20250101-161046.png
    Screenshot_20250101-161046.png
    410.2 KB · Views: 2
Naona KTN wanasema kuwa uchunguzi wa awali umeonesha ni kipande cha mabaki ya roketi za anga za juu ambayo hudondoshwa yakilenga kudondokea baharini.

Sasa badala ya kudondokea baharini, kikadondokea nchi kavu bila kuleta madhara.

Bado wanafuatilia kuona wamiliki wa kifaa hicho ni nani ama taifa gani.
Makueni iko umbali wa zaidi ya kilomita 350 kutoka kwenye ufukwe wa bahari, sasa hao walio dondosha kama wali mistarget kiasi hicho kazi ipo.
 
Makueni iko umbali wa zaidi ya kilomita 350 kutoka kwenye ufukwe wa bahari, sasa hao walio dondosha kama wali mistarget kiasi hicho kazi ipo.
Wamesema kikiachia kwenye anga za juu, huteketea kwa kuungua kutokana na mgandamizo wa hewa ama huwa kimesetiwa kuangukia baharini.

Sasa wanachoshangaa kama kilishindwa kuteketea angani kimepenyaje kuja kuangukia nchi kavu na isiwe baharini?

Bado wanafuatilia.
 
Mi
Wamesema kikiachia kwenye anga za juu, huteketea kwa kuungua kutokana na mgandamizo wa hewa ama huwa kimesetiwa kuangukia baharini.

Sasa wanachoshangaa kama kilishindwa kuteketea angani kimepenyaje kuja kuangukia nchi kavu na isiwe baharini?

Bado wanafuatilia.
Mim mgumu kuelewa hapo chuma inawezaje teketea
 
Back
Top Bottom