Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hata mimba ya panya sio hivyo [emoji23]alafu hata ukiangalia mzunguko wake wa hedhi ni siku ya 9 ambapo uwezekano wa mimba ni mdogo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimba ya panya sio hivyo [emoji23]alafu hata ukiangalia mzunguko wake wa hedhi ni siku ya 9 ambapo uwezekano wa mimba ni mdogo sana
hapana huwa sifanyi hivo.. Na siku hiyo nilivomaliza tu round ya kwanza nikajifuta na kuendelea na game muda mfupi sanaUnapomaliza gemu huwa unaenda kukojoa (mkojo original) ili kusafisha njia ya mkojo? Kama ulikuwa hufanyi hivi kuna uwezekano hiyo mimba ni yako.
Habarini za majukumu ndugu zangu..
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini..
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukua na malengo yoyote kati yetu..
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho.. Maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani J4
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini??
Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu😳..
Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili..
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja kesho kutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau 🙏
Habarini za majukumu ndugu zangu..
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini..
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukua na malengo yoyote kati yetu..
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho.. Maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani J4
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini??
Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu😳..
Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili..
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja kesho kutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau 🙏
Mkuu umeongea point kubwa sana nilitaka kukoment hivyo hivyo ila umeniwahi ngoja nisikoment chochoteKaa mbali tapeli huyo, single mother wanatumia njiti, sindano za kuzuia mimba, wengi wao wadangaji ili kupata pesa za kulea watoto wao
Na mchumba wako akija week ijayo,nae mchape na Mimba yake! hakuna kuoneana wivu wa Mimba!!Habarini za majukumu ndugu zangu..
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini..
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukua na malengo yoyote kati yetu..
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho.. Maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani J4
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini??
Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu[emoji15]..
Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili..
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja kesho kutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau [emoji120]
Basi leasiwezi kuua
Yaani nafikiria sijui nimwambie tu ukweli ili liwalo na liwe tu
Ni kweli aachane naye huyo single mother wengi wao ni wabaya sana tena ukumte single Mather aliyeteketezwa na baba mtoto hapewi huduma ya mtoto wengi wao wanatumia madawa ya kienyeji kukupumbaza ili uwape pesa za kulea mwanae bila wewe kujifahamuHata sisi tuna uwezo huo na hayo tunafanya na wake zetu, sio single Mothers!
Hana mimba huyo, acha mimba ukicheza naye huyo utalogwa sasa na hiyo ndoa itaishia hapo.
Withdrawal method is 78% effective.Huwa ninauwezo wa kumwaga nje na hata siku hiyo nilifanya hivo.. anahisi kapata mimba wakati napiga round ya pili huenda sikujifuta vizuri
Kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28; yai hutolewa siku ya 14 (au ya 13 likiwahi au 15 likichelewa).alafu hata ukiangalia mzunguko wake wa hedhi ni siku ya 9 ambapo uwezekano wa mimba ni mdogo sana