Yamenikuta mwenzenu, nimempa mimba mchepuko!

Yamenikuta mwenzenu, nimempa mimba mchepuko!

01: Upokee na kuukubali uhalisia. Uhalisia ni uhalisia haijalishi tunaupenda ama hatuupendi, tumejiandaa kuupokea ama hatujajiandaa.

02: Usifanye uamuzi wa kuua kiumbe kisichokuwa na hatia. Uuaji ni uuaji tu haijalishi mhusika hajazaliwa ama amezaliwa. Usikubali kuwa muuaji.

03: Kamwe usioe kwa sababu ya ujauzito. Oa ukiwa tayari na kama unampenda mhusika na una malengo naye.

04: Mtoto siyo dhambi (dhambi ni uzinzi) wala hawezi kuwa kipingamizi cha ndoa yenu (wewe na mchumba wako).

05: Ongea na mama kijacho wako mtarajiwa mkubaliane namna nzuri ya kulea na kutunza siri mpaka nyote mtakapokuwa tayari kuiweka wazi.

06: Ongea na mchumba wako kabla haujamuoa, lakini hakikisha unafanya timing nzuri. Usimweleze sasa ukiwa bado ume-panic. Take your time. Usiwe na haraka.

07: Muhimu; jifunze kuwajibikia uamuzi na matendo unayoyafanya. Uliamua kufanya ngono mwenyewe na hiyo ni moja ya possible outcomes za sex.

08: Kuwa mwanaume, kubali kuwajibikia matendo na uamuzi wako hata kama athari za uamuzi huo hauzipendi na siyo rafiki kwako. Man up.

Kila la kheri mkuu.
 
Kwann umwage njee ww ni wale ambao ni watoro kwenye vikao vyetu tulikubaliana ukipewa mbususu mwaga ndani
 
Kuna mmoja aliwahi kunipiga hizo sound za ana mimba yangu, nikamwambia haiwezekani maana nimewahi kupimwa sina uwezo wa kumpa mwanamke mimba, kuanzia hapo kaufyata.
Nia yangu ilikua kumjaribu, maana kama kweli angekua na mimba yangu ningemsaidia kuilea, siwezi kutelekeza mwanangu.
 
Nakushauri muoe huyo singo maza utaishi kwa amani zadi katika ndoa hiyo
 
Habarini za majukumu ndugu zangu..
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini..
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukua na malengo yoyote kati yetu..
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho.. Maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani J4
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini??
Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu😳..
Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili..
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja kesho kutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau 🙏
Single maza kakutega 🤣🤣🤣🤣🤣
 
01: Upokee na kuukubali uhalisia. Uhalisia ni uhalisia haijalishi tunaupenda ama hatuupendi, tumejiandaa kuupokea ama hatujajiandaa.

02: Usifanye uamuzi wa kuua kiumbe kisichokuwa na hatia. Uuaji ni uuaji tu haijalishi mhusika hajazaliwa ama amezaliwa. Usikubali kuwa muuaji.

03: Kamwe usioe kwa sababu ya ujauzito. Oa ukiwa tayari na kama unampenda mhusika na una malengo naye.

04: Mtoto siyo dhambi (dhambi ni uzinzi) wala hawezi kuwa kipingamizi cha ndoa yenu (wewe na mchumba wako).

05: Ongea na mama kijacho wako mtarajiwa mkubaliane namna nzuri ya kulea na kutunza siri mpaka nyote mtakapokuwa tayari kuiweka wazi.

06: Ongea na mchumba wako kabla haujamuoa, lakini hakikisha unafanya timing nzuri. Usimweleze sasa ukiwa bado ume-panic. Take your time. Usiwe na haraka.

07: Muhimu; jifunze kuwajibikia uamuzi na matendo unayoyafanya. Uliamua kufanya ngono mwenyewe na hiyo ni moja ya possible outcomes za sex.

08: Kuwa mwanaume, kubali kuwajibikia matendo na uamuzi wako hata kama athari za uamuzi huo hauzipendi na siyo rafiki kwako. Man up.

Kila la kheri mkuu.
Ahsante sana kwa ushauri wako ila inanipa wakati mgumu sana.. Mi sipendi watoto wangu wawe na mama tofauti tofauti lakini hii imekuja kama ajali tu.. Huyu single mother sina mpango nae kabisa.. tena ni mkubwa hata ki umri zaidi yangu
 
Mchele uongezeke bei tu.
Naona watu mkila mkashiba mnaleta upupu humu bora mchele uwe juu usinunulike mkiwa na njaa mtaa ha porojo.
 
Focus na Mchumba wako!! Huyo anayesema ana mimba yako mwambie Hongera sana! Endelea na mipango yako!! Yaani unavurugwa na issue ndogo hivi? Unadanganywa kizembe Sana.
 
Habarini za majukumu ndugu zangu..
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini..
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukua na malengo yoyote kati yetu..
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho.. Maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani J4
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini??
Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu😳..
Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili..
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja kesho kutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau 🙏
Umri wako please
 
Back
Top Bottom