Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mtie moyo tuKwahiyo unataka tukwambie kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtie moyo tuKwahiyo unataka tukwambie kitu gani?
Asubiri mtoto azaliwe halafu akapime DNA ndiyo atajua kwa uhalisia kama ni wake au la.Ushapigwa wewe 😅😅😅 umefika wakati wa kulea bao la mwanamume mwenzako
Nasikia siku hizi hawa wapima DNA wamekuwa waongo waongo hawataki watoto wa mitaani waongezekeAsubiri mtoto azaliwe halafu akapime DNA ndiyo atajua kwa uhalisia kama ni wake au la.
Shilingi laki 3 siyo nyingi kwa kutaka kujihakikishia future yake.
Mbna huoti ssVuna ulichopanda
UmebambikiwaHabarini za majukumu ndugu zangu.
Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana na sijui la kufanya ni nini.
Nina mchumba wangu ambae tunapendana sana ila kutokana na nature ya majukumu yangu hatukuweza kuonana nae kwa almost miezi 9, so katika harakati zangu za kupunguza genye nikapata demu ambae wote kwa pamoja tulikubaliana kupunguza genye na wala hatukua na malengo yoyote kati yetu.
Wiki mbili zilizopita tukapiga game yetu ya mwisho maana mchumba wangu anatarajia kuja huku siku ya kesho kutwa yaani Jumanne.
Jamani huyu bi dada kapata mimba so mchumba wangu nitamwambia nini??
Huyu bi dada ni single mother wa watoto wawili na tulichukua tahadhari zote za kuepuka mimba lakini bado kapata tu.
Sikumwaga ndani yeye anahisi huenda sikujifuta vizuri wakati napiga round ya pili.
Ndugu zangu naombeni ushauri mchumba wangu anakuja kesho kutwa na tupo kwenye mchakatato wa kuoana so nifanyaje kui solve hii issue?
Nisaidieni kwa ushauri angalau 🙏
Aombe huyo mwenye mtoto awe mwelewa sana, lakini kinyume chake haiwezi kuwa siri kamwe!Mbona una chachawa kwa mambo madogo? Umeandika mlikutana wiki 2 zilizo pita...sasa una uhakika gani kuwa ni mja mzito? Subiri angalau mwezi ufike.
Hata kama ana mamba hakuna tatizo sana.
1. Wewe endelea na mchumba wako kama vile hakuna kitu kilichotokea.
2. Mchepuko akijufungua kapimeni DNA. Kama mtoto ni wako utalea kwa siri kama si wako...msala umeisha.
3. Kamwe usije ukamwambia mchumba wako chochote juu ya hili swala, hata kama mtoto akiwa wako, mlee akiwa huko huko kwa mama yake. Atakuja akiwa mtu mzima.
Inategemea na wewe mwenyewe unavyo cheza karata zako tu. Mwanaume lazima uwe na strateji, siyo kuchanganyikiwa na vitu vidogo vidogo kama hivi.Aombe huyo mwenye mtoto awe mwelewa sana, lakini kinyume chake haiwezi kuwa siri kamwe!
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Bro.. huyu kumuoa ni ngumu sana kwanza kanizidi umri lakini pia huyo mtoto wake ni mkubwa anaweza hata kuolewa na mtu wa lika languUmenikumbusha mbali sanaaa, Kuna binti mmoja tulikutana chuo wakati huo, tukapendana na kuanza mahusiano, nikamwambia kabisa Mimi nina mtoto tayari, hivyo sihitaji mtoto, hakikisha HATUZAI, nilisisitiza sana hilo kwa sababu najua mwenye kuamua kuzaa au kutokuzaa ni mwanamke, asipotaka kuzaa hata ufanye nini hazai ng'o!
Basi tukawa tunaendelea kula zetu tunda la asili kwa kama miezi 7 hivi, akaniuliza "sasa ikitokea nimeshika mimba itakuwaje?" Nikamwambia nitakuacha! Alijaa simanzi kweli kweli siku hiyo...
Heeeh baada ya kama miezi 3 mbele, akaja akiwa na masikitiko, anatia huruma mno akaniambia "TheMnyonge hatua ya uhai wangu inafikia kikomo, kwani nimejikuta nimeshika mimba, na sikutarajia, siwezi kuwa singo maza, kwetu Kigoma wataniua, hivyo kwa kuwa nimefanya jambo usilolitaka na mimi siwezi kutoa mimba, bora nife na mimba yangu, nitajiua tu"
Yaani namna alivyokuwa anaongea kwa unyenyekevu n'a upole, nilijukuta automatically namkumbatia na kumwambia "usijali sitakuacha" alilia kwa furaha sijapata kuona, nililazimika kuji-organize kwenda kujitambulisha kwao, n'a mpaka sasa tunaishi fresh kabisa.
Nilijifunza kwamba nguvu ya mwanamke ipo kwenye udhaifu/unyonge wake, mwanamke akijinyenyekeza kwa mwanaume anapata hata ambavyo jamaa hakufikiria kuvitoa,lakini mwanamke ukitumia kelele misuli, mipayuko na fujo fujo hizi hakika utapoteza tu.
Siku aliyokuwa ananipa taarifa angeanza "hii mimba yako lazima ulee, kwani ulivyokuwa unanitomba ulitegemea nini? nilikutuma ukojolee ndaniiii? Na kwenu lazima niwatafute niwaambie" nina hakika saa hizi angeshakuwa singo maza yaani...lakini style aliyokuja nayo ilinimaliza kabisaaa nikajaa king!
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Nikifanya siri madhara yake yatakuwa makubwa sana.. Hakunaga siri dunianiMbona una chachawa kwa mambo madogo? Umeandika mlikutana wiki 2 zilizo pita...sasa una uhakika gani kuwa ni mja mzito? Subiri angalau mwezi ufike.
Hata kama ana mamba hakuna tatizo sana.
1. Wewe endelea na mchumba wako kama vile hakuna kitu kilichotokea.
2. Mchepuko akijufungua kapimeni DNA. Kama mtoto ni wako utalea kwa siri kama si wako...msala umeisha.
3. Kamwe usije ukamwambia mchumba wako chochote juu ya hili swala, hata kama mtoto akiwa wako, mlee akiwa huko huko kwa mama yake. Atakuja akiwa mtu mzima.
Swali la msingi sanaNa UKIMWI ushapima?
Hahahaaaa uliza wazee kijana. Hata kuoa hujaoa, je ungekuwa umepata mtoto ndani ya ndoa ingekuwaje? Yaani watu wanapata watoto wa nje wakiwa kwenye ndoa na wanakuja kujulikana siku ya msiba..hahahaaNikifanya siri madhara yake yatakuwa makubwa sana.. Hakunaga siri duniani