Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

ilo ni pepo omba Mungu husije ukaingia majaribuni pia hiyo no yake iblock kabisa
 
Bahati wanazozililia watu, wengine wanazipotezea[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe unashangaa kutongozwa na mdada mkubwa kabisa wa miaka 24. Mimi nilitongozwa mwaka jana na mhitimu wa form six mwenye miaka 18. Na nilimla chap. Mwaka huu yuko first year University huko.
 
Wanaume huwa hatutongozwi bro!

Sema mademu wanajigonga kwetu

Kwa kesi yako sema kadem kalijigonga kwako
 
Mkuu lete number hapa Inbox tukuwakilshe maan wengine tuna penda wadada walionyooka kama hao
 
Bro samahani, nimeku PM.
KIKUBWA NITUMIE NAMBA YAKE
KUNA JAMBO NATAKA KUMSHAURI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…