Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

ingekuwa mimi tungeshuka kituo chochote hapo,tungeitafuta gesti ilipo chap kwa haraka
Katika bunge la kichwa changu jana mjadala ulikua mkali sana, chama cha upinzani kilikua na hoja nzito zenye mashiko kunitaka nishuke na tutafute mahali tukabanjuane. Hoja nzito kwel kwel, ila chama tawala kikasema noo, na hakikua na sababu nyiingi za msingi kama walivyo ccm, just one word, "hell no just stop that nonsense"
Nikaona acha nitii sheria bila shuruti
 
Aisee jamaa unalala kwenye daladala mpaka unaota ndoto,we endeleaga tu kulala tu kwenye daladala kuna siku utanzinduka huna hata mia wahuni wamekwala mpaka leso
Mkuu hiv huzijui kero za sisi watukia usafiri wa daladala, siku moja moja paki gari yako hiyo njoo uone jinsi ilivyo tabu.
Kwel route ya Mbagara Mbezi kwamfano utakosa kulala na joto hili la Dar
 
Huyo ni kahaba tu,hiyo route si unajua pale buguruni ni kituo chao
Nimewahi kutana na mmoja ata mm kwenye route hiyo
Afu kwa dar hii hali inatokea sana asa kwenye daladala,kuna mabinti unaona kabisa wanalazimisha wakatafunwe
Mkuu nadhani ugumu wa maisha unachangia huyo dogo aliwaza utamlipia nauli na ukimla utamtoa salio😀😀😀
Yes uko sahihi ni hesabu ndogo tu.
Huwa wanacheza na akili tu za wanaume hasa hasa wanaangalia tu mwanaume ambaye yuko smart na matured enough 35+ years wanajua umeshajitafuta salio lipo ni rahisi kumuonga elfu 20 siku yake inaenda hawataki vijana wadogo wenye umri wao kwa sababu hela zao za kuungaunga.
Wako wengi sana wa staili hiyo wanapanda daladala kama wanaenda kazini kumbe wanavizia wanaume wajae kwenye 18
 
Yes uko sahihi ni hesabu ndogo tu.
Huwa wanacheza na akili tu za wanaume hasa hasa wanaangalia tu mwanaume ambaye yuko smart na matured enough 35+ years wanajua umeshajitafuta salio lipo ni rahisi kumuonga elfu 20 siku yake inaenda hawataki vijana wadogo wenye umri wao kwa sababu hela zao za kuungaunga.
Wako wengi sana wa staili hiyo wanapanda daladala kama wanaenda kazini kumbe wanavizia wanaume wajae kwenye 18
Hii ina make sense mkuu
 
Ahsante chief, inaweza kuwa sahihi maana kuna vitu critical sana ambavyo hakuna namna ningeandika hapa ambavyo ndio vilikua lengo la hii safari. Na hii safar nimekua nikighairi week nzima bila sababu za msingi na ku ghairi kukawa kuna zidi kuniweka pabaya kikazi ila tu kila nikipanga nika rescue situation najikuta nahirisha safar bila sababu.

Jana nikasema acha niende tu, ndio nikakutana na kituko hicho ambacho almanuauru niishie safar njian nikatishe kona ya lodge.

Na baada ya kumaliza lililonipeleka huko, likafungua mlango mkubwa sana niliokua nautafua, na nikiwa huko huyu mtoto alikua akipiga sana simu maana niliahid ningemtafuta after 1 hour. Piga sana simu, "uko wap , uko wapi, nakusubiri mahali flan"😂.

Nikaamua kumpotezea tu nifanye ya msingi.

So unaweza ukawa na point
Pole sana mkuu, pia na hongera kwa kumkataa shetani na kazi zake..... Ni vyema kujua kama Kuna kujenga, basi ujue kuna kuharibu,,, ili uharibifu usitokee katika kitu ulicho Jenga unatakiwa nidhamu ya kukitunza itawale....

Ukipenda tembea na hayo maneno mkuu....
 
Mkuu hiv huzijui kero za sisi watukia usafiri wa daladala, siku moja moja paki gari yako hiyo njoo uone jinsi ilivyo tabu.
Kwel route ya Mbagara Mbezi kwamfano utakosa kulala na joto hili la Dar
Ndio ulale mpaka uote majini mahaba yanakufanyia mitongozo
 
Mkuu hiv huzijui kero za sisi watukia usafiri wa daladala, siku moja moja paki gari yako hiyo njoo uone jinsi ilivyo tabu.
Kwel route ya Mbagara Mbezi kwamfano utakosa kulala na joto hili la Dar
Kuna siku nimepanda gari machinga nikasimama pembeni yangu kasimama mkaka handsome ana macho kama ya Tommy flavour
Kiti tulichokua tunakiangalia alikua amekaa binti upande wa dirishani na bibi upande wetu
Yule binti alikua anamuangalia huyu mkaka halafu anamkonyeza aibu naona mimi tuliosimama wote tunamuona
Yule kaka anamkazia tu macho
Bibi ake akashtukia mchezo akawa anamkataza anamwambia aangalie mbele
Nikahisi ana matatizo ya akili tho ni mrembo hata yeye
Kuna mabinti hawawezi kujizuia wengi hawa wanaojifunika kichwa nahisi majini mahaba yanawatesa
 
Katika bunge la kichwa changu jana mjadala ulikua mkali sana, chama cha upinzani kilikua na hoja nzito zenye mashiko kunitaka nishuke na tutafute mahali tukabanjuane. Hoja nzito kwel kwel, ila chama tawala kikasema noo, na hakikua na sababu nyiingi za msingi kama walivyo ccm, just one word, "hell no just stop that nonsense"
Nikaona acha nitii sheria bila shuruti
nitupie hizo namba pm mkuu
 
Umeigoogle jamaa yangu
Niambie nifanye nini kingine kuthibitisha hii picha nimeipga.
chek hapa chini uone tarehe na jina la file kuthibitisha kwamba hii file ni ya jana mchana
Screenshot_20240515_084724_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom