Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Mbona kama unalalamika mkuu?fursa haziji mara mbili yaan hapo umejipga gundu,you should've eaten that gazelle!#lion mode
Ahahaha hapana chief. Silalamiki, am grateful. Sio kila mahala pa kuchovya chovya magonjwa mengi now days
 
Usimshangae kama anaonesha hisia zake kwako. Kama huridhiki nae mwambie huhitaji mapenzi unataka urafiki tu atakuelewa
 
Zinasababishwa na vitu vingi ila moja wpo ni matumizi ya cosmetics. Ujue kuna sehemu za mwil huwa hazi change ,zinagima kabisa, hata ziki badilika ni kwa muda tu hurud kwenye asili yake.
Sehem hizo ni kama

  • maungio ya vidole
  • magoti
  • ugoko
  • viwiko/vipepsi.

Hata ujichubue namna gan hizo parts utadunda tu
Kwakweli, halafu unakuta wenyewe hawajali
 
Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana.

- Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta

- Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu za kila siku- yule mtoto hazidi miaka 24, hazidi hapo kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, imagine nimemzidi 10+ years,

-Wakuu haya mambo nilikuwa nayasoma humu, sikuwahi hata kuwaza kama ningekutana nayo.

- Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani

- Nilijiskia kufedheheka sana, nashkuru Mungu nilikaa siti ya nyuma kabisa (na yeye alipopanda alionikuta tayari ndani ya gari) natokea Uhasibu Kurasini naelekea Kimara Temboni. Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha" bila aibu, kwakwel nimestaajab sana leo, mara akulalie begani mara akuegemee huku ameukumbatia mkono wako kwa mikono yake miwili, mara aniwekee mkono kwenye paja la mguu wa kushoto. Wakuu nimepata aibu za kiume leo.

- niliwaza mengi sana, je ni uchawi huu?, je ni changamoto ya afya ya akili? Je ni nyege zilizopitiliza huyu mtoto kichupa kimejaa na hakijafunguliwa muda mrefu? Au ni jini mahaba hili leo nimepanda nalo daladala? Au ni malaya yuko kazini? What is all this??????

- kwakifupi leo nimekula mtongozo na kiukwel nilitakiwa nikamalize show leo, mpaka namba nilitoa bila kupenda. Mpaka nahis labda i was under attack! May be i was demonically possesed , sio bure.

- sina mengi sana wakuu ila nimechomoa sijaenda kukala kale katoto. Nimeweza mengi sana by the way huu ni mwaka mmoja na nusu sijachepuka, sasa leo huyu mtoto alitaka kuharibu clean sheet yangu.

- najua mtadai picha na kiukwel, nilichukua moja kiunja sana kwa kujifanya najibu message alizidisha vituko vya kuweka mkono pajani, na kuna time ni kama alikua anataka kushika dushe.

- leo hakika nimejishangaa sana na almost nikafkkia hatua ya kutaka kujidharau, hiv nimefkkia hatua hii mimi? Ameonionaje huyu mtoto????

- Hawa watoto wa leo wamekumbwa na nini, huu ni ujasiri au upuuzinuliopita viwango??????

- Nimeaibika sana, maana wadau waliosimama kwenye daladala wakawa wanatutolea macho, japo nilikuwa najitahidi sana kuidhibit ile hali ila huyu mtoto ni kama alipania

- Nimemaliza
NB: Vigezo na mashart vimezingatiwa na picha nimeweka hapo chini.
Ahsanten.
View attachment 2990269
Kuna mijitu yenye tamaa ya fisi humu itakutolea maneno mbovu... Lakini nakwambia kama una imani katika Mungu.... Nenda kashukuru...maana shetani kakushawishi na ungelainika tu... Tungekupoteza..... Hilo ni shambulio kabisa la kiroho za majini ama mapepo
 
Kwakweli, halafu unakuta wenyewe hawajali
Wengi wao ni watu wa hali za chini sana ku afford expensive cosmetics ambazo angalau zinaondoa aibu ndogo ndogo.
So wanakomaa ni mikorogo ya uswazi , visabuni vya kupima vya manzese 😅 angalau nao wasibaki nyuma
 
Aisee jamaa unalala kwenye daladala mpaka unaota ndoto,we endeleaga tu kulala tu kwenye daladala kuna siku utanzinduka huna hata mia wahuni wamekwala mpaka leso
 
Kuna mijitu yenye tamaa ya fisi humu itakutolea maneno mbovu... Lakini nakwambia kama una imani katika Mungu.... Nenda kashukuru...maana shetani kakushawishi na ungelainika tu... Tungekupoteza..... Hilo ni shambulio kabisa la kiroho za majini ama mapepo
Ahsante chief, inaweza kuwa sahihi maana kuna vitu critical sana ambavyo hakuna namna ningeandika hapa ambavyo ndio vilikua lengo la hii safari. Na hii safar nimekua nikighairi week nzima bila sababu za msingi na ku ghairi kukawa kuna zidi kuniweka pabaya kikazi ila tu kila nikipanga nika rescue situation najikuta nahirisha safar bila sababu.

Jana nikasema acha niende tu, ndio nikakutana na kituko hicho ambacho almanuauru niishie safar njian nikatishe kona ya lodge.

Na baada ya kumaliza lililonipeleka huko, likafungua mlango mkubwa sana niliokua nautafua, na nikiwa huko huyu mtoto alikua akipiga sana simu maana niliahid ningemtafuta after 1 hour. Piga sana simu, "uko wap , uko wapi, nakusubiri mahali flan"😂.

Nikaamua kumpotezea tu nifanye ya msingi.

So unaweza ukawa na point mkuu
 
Kuna mijitu yenye tamaa ya fisi humu itakutolea maneno mbovu... Lakini nakwambia kama una imani katika Mungu.... Nenda kashukuru...maana shetani kakushawishi na ungelainika tu... Tungekupoteza..... Hilo ni shambulio kabisa la kiroho za majini ama mapepo
Ahsante chief, inaweza kuwa sahihi maana kuna vitu critical sana ambavyo hakuna namna ningeandika hapa ambavyo ndio vilikua lengo la hii safari. Na hii safar nimekua nikighairi week nzima bila sababu za msingi na ku ghairi kukawa kuna zidi kuniweka pabaya kikazi ila tu kila nikipanga nika rescue situation najikuta nahirisha safar bila sababu.

Jana nikasema acha niende tu, ndio nikakutana na kituko hicho ambacho almanuauru niishie safar njian nikatishe kona ya lodge.

Na baada ya kumaliza lililonipeleka huko, likafungua mlango mkubwa sana niliokua nautafua, na nikiwa huko huyu mtoto alikua akipiga sana simu maana niliahid ningemtafuta after 1 hour. Piga sana simu, "uko wap , uko wapi, nakusubiri mahali flan"😂.

Nikaamua kumpotezea tu nifanye ya msingi.

So unaweza ukawa na point
 
Back
Top Bottom