Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
heeeeeAu mlishakulana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heeeeeAu mlishakulana!
Amekuelewa sana ndo maana ameshindwa kuvumilia akaanza kuleta vituko ndani ya gariWala sina mengi ila nimeshangazwa sana.
- Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta
- Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu za kila siku- yule mtoto hazidi miaka 24, hazidi hapo kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, imagine nimemzidi 10+ years,
-Wakuu haya mambo nilikuwa nayasoma humu, sikuwahi hata kuwaza kama ningekutana nayo.
- Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani
- Nilijiskia kufedheheka sana, nashkuru Mungu nilikaa siti ya nyuma kabisa (na yeye alipopanda alionikuta tayari ndani ya gari) natokea Uhasibu Kurasini naelekea Kimara Temboni. Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha" bila aibu, kwakwel nimestaajab sana leo, mara akulalie begani mara akuegemee huku ameukumbatia mkono wako kwa mikono yake miwili, mara aniwekee mkono kwenye paja la mguu wa kushoto. Wakuu nimepata aibu za kiume leo.
- niliwaza mengi sana, je ni uchawi huu?, je ni changamoto ya afya ya akili? Je ni nyege zilizopitiliza huyu mtoto kichupa kimejaa na hakijafunguliwa muda mrefu? Au ni jini mahaba hili leo nimepanda nalo daladala? Au ni malaya yuko kazini? What is all this??????
- kwakifupi leo nimekula mtongozo na kiukwel nilitakiwa nikamalize show leo, mpaka namba nilitoa bila kupenda. Mpaka nahis labda i was under attack! May be i was demonically possesed , sio bure.
- sina mengi sana wakuu ila nimechomoa sijaenda kukala kale katoto. Nimeweza mengi sana by the way huu ni mwaka mmoja na nusu sijachepuka, sasa leo huyu mtoto alitaka kuharibu clean sheet yangu.
- najua mtadai picha na kiukwel, nilichukua moja kiunja sana kwa kujifanya najibu message alizidisha vituko vya kuweka mkono pajani, na kuna time ni kama alikua anataka kushika dushe.
- leo hakika nimejishangaa sana na almost nikafkkia hatua ya kutaka kujidharau, hiv nimefkkia hatua hii mimi? Ameonionaje huyu mtoto????
- Hawa watoto wa leo wamekumbwa na nini, huu ni ujasiri au upuuzinuliopita viwango??????
- Nimeaibika sana, maana wadau waliosimama kwenye daladala wakawa wanatutolea macho, japo nilikuwa najitahidi sana kuidhibit ile hali ila huyu mtoto ni kama alipania
- Nimemaliza
NB: Vigezo na mashart vimezingatiwa na picha nimeweka hapo chini.
Ahsanten.
View attachment 2990269
Alaf×Kwakifupi❌️
Kwakikupi✅️
Kamevaa❌️
Kamavaa✅️
Alaf mzee unasema "sina mengi ya kuongea" lakini unaendelea kuteremsha essay tuu
wewe ni mlaghai sana,umenilaghaiulposema tu kusini,,ni mimi uyo
MMh sidhan, ni mweupe actually yule binti
Mkuu acha kabisaa. Nimewaza mengi sana, hata kama asingekua na vidole kama unavyosema bado kwanhu ni tukio strange sanaVidole kama ndizi za kuchoma shee umetongozwa na nn hiki?
Nilisita kwa mengi sanaVidole vyake vya mikono ni ndizi iliyoiva sana..hii sio Mali Safi mkuu.
Kaka kwanza nashukuru. Pile yule bwana mchungaji aligoma kuchangia gharama za matibabu zilifikiwa ambazo ni 16Milion pale MoIIle kesi yako na mchungaji iliisha mkuu?
Tatizo mimi si mtu wa type hizo za kugonga watoto, napendelea watu wazima wenzangu.pia nachukia sana kufanywa chuma uleteKaka mkubwa nisamehe ila hiyo ni kauli general kwa harakati general. Kwa hiyo pambana tu na hiyo mama ya uswazi ili ipate wa kuinunulia vijora na abaya 😁
Ujue hata maandiko yanasema "mjibu mpumbavu kwa kadiri ya upumbavu wake"Aisee hii nchi watu mnamajibu si mchezo
Kwakwel inasikitisha sana kaka. Mambo yamekua mengi mnooWamewafuata mpaka kwenye Magari sasa Shetani Hana Akili
Muda huu kuna Malaya anachekelea kuingiziwa ulimi kwenye K yake na lidume limepanua tu mdomo kuokoteza VVU mdomoni likipata Kansa ya Koo lawama zote kwa Mama Kibonge wa Buza
Kawaida tu babu....unaexaggrate mambo, au haujawahi pata hiyo fursaMwanaume kutongozwa ni jambo la kawaida, labda hayo mashoga unaowajua wewe
Asa haya ndio kuchoreshana kwenyewe. Imagine hupangi nani apande daladala nani asipande, mara ghafla ukutane na mtu mnayejuana na kuheshimiana inakuaje hapo? Ibilis mchonganishi sana!Amekuelewa sana ndo maana ameshindwa kuvumilia akaanza kuleta vituko ndani ya gari
Mkuu una uhakika hii fursa au mkosi.Kawaida tu babu....unaexaggrate mambo, au haujawahi pata hiyo fursa
Kitu cha kawaida kabisa....relax ndio mwanzo huo
Braza hicho ni kitu cha kawaida kabisa.....hakishtui walaMkuu una uhakika hii fursa au mkosi.
Kwangu hii sio fursa
Haya.Braza hicho ni kitu cha kawaida kabisa.....hakishtui wala
Siye tunawakimbiaWala sina mengi ila nimeshangazwa sana.
- Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta
- Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu za kila siku- yule mtoto hazidi miaka 24, hazidi hapo kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, imagine nimemzidi 10+ years,
-Wakuu haya mambo nilikuwa nayasoma humu, sikuwahi hata kuwaza kama ningekutana nayo.
- Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani
- Nilijiskia kufedheheka sana, nashkuru Mungu nilikaa siti ya nyuma kabisa (na yeye alipopanda alionikuta tayari ndani ya gari) natokea Uhasibu Kurasini naelekea Kimara Temboni. Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha" bila aibu, kwakwel nimestaajab sana leo, mara akulalie begani mara akuegemee huku ameukumbatia mkono wako kwa mikono yake miwili, mara aniwekee mkono kwenye paja la mguu wa kushoto. Wakuu nimepata aibu za kiume leo.
- niliwaza mengi sana, je ni uchawi huu?, je ni changamoto ya afya ya akili? Je ni nyege zilizopitiliza huyu mtoto kichupa kimejaa na hakijafunguliwa muda mrefu? Au ni jini mahaba hili leo nimepanda nalo daladala? Au ni malaya yuko kazini? What is all this??????
- kwakifupi leo nimekula mtongozo na kiukwel nilitakiwa nikamalize show leo, mpaka namba nilitoa bila kupenda. Mpaka nahis labda i was under attack! May be i was demonically possesed , sio bure.
- sina mengi sana wakuu ila nimechomoa sijaenda kukala kale katoto. Nimeweza mengi sana by the way huu ni mwaka mmoja na nusu sijachepuka, sasa leo huyu mtoto alitaka kuharibu clean sheet yangu.
- najua mtadai picha na kiukwel, nilichukua moja kiunja sana kwa kujifanya najibu message alizidisha vituko vya kuweka mkono pajani, na kuna time ni kama alikua anataka kushika dushe.
- leo hakika nimejishangaa sana na almost nikafkkia hatua ya kutaka kujidharau, hiv nimefkkia hatua hii mimi? Ameonionaje huyu mtoto????
- Hawa watoto wa leo wamekumbwa na nini, huu ni ujasiri au upuuzinuliopita viwango??????
- Nimeaibika sana, maana wadau waliosimama kwenye daladala wakawa wanatutolea macho, japo nilikuwa najitahidi sana kuidhibit ile hali ila huyu mtoto ni kama alipania
- Nimemaliza
NB: Vigezo na mashart vimezingatiwa na picha nimeweka hapo chini.
Ahsanten.
View attachment 2990269
Sasa mbona mnajuana sanaheeeee