Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana.

- Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta

- Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu za kila siku- yule mtoto hazidi miaka 24, hazidi hapo kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, imagine nimemzidi 10+ years,

-Wakuu haya mambo nilikuwa nayasoma humu, sikuwahi hata kuwaza kama ningekutana nayo.

- Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani

- Nilijiskia kufedheheka sana, nashkuru Mungu nilikaa siti ya nyuma kabisa (na yeye alipopanda alionikuta tayari ndani ya gari) natokea Uhasibu Kurasini naelekea Kimara Temboni. Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha" bila aibu, kwakwel nimestaajab sana leo, mara akulalie begani mara akuegemee huku ameukumbatia mkono wako kwa mikono yake miwili, mara aniwekee mkono kwenye paja la mguu wa kushoto. Wakuu nimepata aibu za kiume leo.

- niliwaza mengi sana, je ni uchawi huu?, je ni changamoto ya afya ya akili? Je ni nyege zilizopitiliza huyu mtoto kichupa kimejaa na hakijafunguliwa muda mrefu? Au ni jini mahaba hili leo nimepanda nalo daladala? Au ni malaya yuko kazini? What is all this??????

- kwakifupi leo nimekula mtongozo na kiukwel nilitakiwa nikamalize show leo, mpaka namba nilitoa bila kupenda. Mpaka nahis labda i was under attack! May be i was demonically possesed , sio bure.

- sina mengi sana wakuu ila nimechomoa sijaenda kukala kale katoto. Nimeweza mengi sana by the way huu ni mwaka mmoja na nusu sijachepuka, sasa leo huyu mtoto alitaka kuharibu clean sheet yangu.

- najua mtadai picha na kiukwel, nilichukua moja kiunja sana kwa kujifanya najibu message alizidisha vituko vya kuweka mkono pajani, na kuna time ni kama alikua anataka kushika dushe.

- leo hakika nimejishangaa sana na almost nikafkkia hatua ya kutaka kujidharau, hiv nimefkkia hatua hii mimi? Ameonionaje huyu mtoto????

- Hawa watoto wa leo wamekumbwa na nini, huu ni ujasiri au upuuzinuliopita viwango??????

- Nimeaibika sana, maana wadau waliosimama kwenye daladala wakawa wanatutolea macho, japo nilikuwa najitahidi sana kuidhibit ile hali ila huyu mtoto ni kama alipania

- Nimemaliza
NB: Vigezo na mashart vimezingatiwa na picha nimeweka hapo chini.
Ahsanten.
View attachment 2990269
Amekuelewa sana ndo maana ameshindwa kuvumilia akaanza kuleta vituko ndani ya gari
 
Vidole vyake vya mikono ni ndizi iliyoiva sana..hii sio Mali Safi mkuu.
Nilisita kwa mengi sana
Ile kesi yako na mchungaji iliisha mkuu?
Kaka kwanza nashukuru. Pile yule bwana mchungaji aligoma kuchangia gharama za matibabu zilifikiwa ambazo ni 16Milion pale MoI
lakinnkubwa zaid bimkubwa tulimpambania na akaweza kufanyiwa procedure na alishatoka na sasa anatembea mwenyewe bado kwa kutumia magongo maana bado ana attend clinic ya madaktari bingwa
 
Kaka mkubwa nisamehe ila hiyo ni kauli general kwa harakati general. Kwa hiyo pambana tu na hiyo mama ya uswazi ili ipate wa kuinunulia vijora na abaya 😁
Tatizo mimi si mtu wa type hizo za kugonga watoto, napendelea watu wazima wenzangu.pia nachukia sana kufanywa chuma ulete
 
Wamewafuata mpaka kwenye Magari sasa Shetani Hana Akili

Muda huu kuna Malaya anachekelea kuingiziwa ulimi kwenye K yake na lidume limepanua tu mdomo kuokoteza VVU mdomoni likipata Kansa ya Koo lawama zote kwa Mama Kibonge wa Buza
Kwakwel inasikitisha sana kaka. Mambo yamekua mengi mnoo
 
Amekuelewa sana ndo maana ameshindwa kuvumilia akaanza kuleta vituko ndani ya gari
Asa haya ndio kuchoreshana kwenyewe. Imagine hupangi nani apande daladala nani asipande, mara ghafla ukutane na mtu mnayejuana na kuheshimiana inakuaje hapo? Ibilis mchonganishi sana!
 
Sasa badala yeye ashitaki ulivyomnyonyoa,we dume zima ndo unakuja kushtaki.
Wengine enzi zetu huyo angesosomolewa mpaka akome.
 
Kuna haja ya kuwa makini sana, sex inekuwa cheap sana, baadhi ya dada zetu wameamua kukitembeza bure(kwa bei raisi sana). Ndio maana hata oral sex kwa sasa inabidi pia mtu aachane nayo, unazama kwenye uchi unaoliwa na strangers kila siku. Strange!
 
Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana.

- Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta

- Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu za kila siku- yule mtoto hazidi miaka 24, hazidi hapo kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, imagine nimemzidi 10+ years,

-Wakuu haya mambo nilikuwa nayasoma humu, sikuwahi hata kuwaza kama ningekutana nayo.

- Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani

- Nilijiskia kufedheheka sana, nashkuru Mungu nilikaa siti ya nyuma kabisa (na yeye alipopanda alionikuta tayari ndani ya gari) natokea Uhasibu Kurasini naelekea Kimara Temboni. Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha" bila aibu, kwakwel nimestaajab sana leo, mara akulalie begani mara akuegemee huku ameukumbatia mkono wako kwa mikono yake miwili, mara aniwekee mkono kwenye paja la mguu wa kushoto. Wakuu nimepata aibu za kiume leo.

- niliwaza mengi sana, je ni uchawi huu?, je ni changamoto ya afya ya akili? Je ni nyege zilizopitiliza huyu mtoto kichupa kimejaa na hakijafunguliwa muda mrefu? Au ni jini mahaba hili leo nimepanda nalo daladala? Au ni malaya yuko kazini? What is all this??????

- kwakifupi leo nimekula mtongozo na kiukwel nilitakiwa nikamalize show leo, mpaka namba nilitoa bila kupenda. Mpaka nahis labda i was under attack! May be i was demonically possesed , sio bure.

- sina mengi sana wakuu ila nimechomoa sijaenda kukala kale katoto. Nimeweza mengi sana by the way huu ni mwaka mmoja na nusu sijachepuka, sasa leo huyu mtoto alitaka kuharibu clean sheet yangu.

- najua mtadai picha na kiukwel, nilichukua moja kiunja sana kwa kujifanya najibu message alizidisha vituko vya kuweka mkono pajani, na kuna time ni kama alikua anataka kushika dushe.

- leo hakika nimejishangaa sana na almost nikafkkia hatua ya kutaka kujidharau, hiv nimefkkia hatua hii mimi? Ameonionaje huyu mtoto????

- Hawa watoto wa leo wamekumbwa na nini, huu ni ujasiri au upuuzinuliopita viwango??????

- Nimeaibika sana, maana wadau waliosimama kwenye daladala wakawa wanatutolea macho, japo nilikuwa najitahidi sana kuidhibit ile hali ila huyu mtoto ni kama alipania

- Nimemaliza
NB: Vigezo na mashart vimezingatiwa na picha nimeweka hapo chini.
Ahsanten.
View attachment 2990269
Siye tunawakimbia
wewe wanak ukimbilia.

Kuiona kasha kwahitaji mapambano haswaa.
😀
 
Back
Top Bottom