Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
imawezekana ndio maana hata Mo anazingua sanaNilikuwa najiita Mohammed ila wana sifa mbaya sana za onja onja na talaka. Pisi za kiustadhi zikawa zinanikwepa.
Naendelea kuifuatlia kwa makini, kama ni chai nitamdaka tu mahali.Mkuu tia neno tafadhali ili aaminiπ€£π€£π€£
Vijana wame confirm kuwa mkono wako wanaujua ndio maana wana ufananishaVizuri sana! Kumbe unanijua hata gizani
Sio kweli! Ni vile tu wanapenda kunichokozaVijana wame confirm kuwa mkono wako wanaujua ndio maana wana ufananisha
Vijana wame confirm kuwa mkono wako wanaujua ndio maana wana ufananishaVizuri sana! Kumbe unanijua hata gizani
Au mlishakulana!tatizo la kuwa na mwili wa kivulana ndo hiloππplus huo udevu unawachanganya watuπππ
Vijana wame confirm kuwa mkono wako wanaujua ndio maana wana ufananishaVizuri sana! Kumbe unanijua hata gizani
Mwanaume kutongozwa ni jambo la kawaida, labda hayo mashoga unaowajua weweMbona kama umechukulia kitu kikuuuuuubwa!!! Cha ajaaaabuuuu......
Sa kutongozwa kuna maajabu gani jamani.
Ahsante kwa uzoefu wako chief. Mimi sijaijua mikono ya malaya inao look aje!!!Uo mkono unaonekana wa Malaya kabisa tena Alie kubuhu