Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Wanawake ni matapeli mkuu, ona kwa hatua ya kwanza hii kakutapeli akili muda wote unawaza ujasiri wake wa kukutongoza ukithubutu kumnyandua subiri kutapeliwa mwili, roho na uchumi.
 
Yani men kama kuna mtego hatutoboagi ni kwa wanawake , hata target za mauaji unatumiwa tu utanasa. Pole ila usiharibu clean sheets mkuu mitaa mibovu sasa hivi
Hakika ni kwel. Mtaa ushaharibika, sekunde tu tunakusahau
 
Ila mkuu pamoja na yote kwa kutomkemea huyo dogo asifanye alichokuwa anakifanya, inadhihirisha kabisa ulikua unafurahia joto lake😁😁 hivyo umeonesha tabia za umalaya kabisa mkuu
Eheheheh... sawa bwana ila sio kama unavyowaza chief
 
Kwahiyo iyo clean sheet yako unapeleka wapi??

Nyie ndo mkifa maiti zenu ninachapwa bakora.... Shenzi kabisaa.
 
tatizo mnaoga sana madawa ya kuvuta wanawake...😅😅😂😂😂

akikushinda lete namba nimvuruge
 
Ukiwa mtakatifu huna mpango nayo hayo!full busy na life!unapendwa Hadi unakoma!

Ukiwa unazitafuta Kwa sana zinakugharimu sana na kuupotezea muda!

Ndivyo nilivyoona hadi leo!
 
Yapi hayo. Na ndio wepo hao?
Nyie mnaoishi jiji la chalamila kutongozwa tu na demu ushaita waandishi wa habari, sisi huku mkoani akikupa tu signal unamtafutia time mnapiga story na mtongozo juu jioni unamfata na baiskel yako😁anapigwa kibaiskeli mpaka anakua mwepesi afu inakua Siri yenu wawili
 
Nyie mnaoishi jiji la chalamila kutongozwa tu na demu ushaita waandishi wa habari, sisi huku mkoani akikupa tu signal unamtafutia time mnapiga story na mtongozo juu jioni unamfata na baiskel yako😁anapigwa kibaiskeli mpaka anakua mwepesi afu inakua Siri yenu wawili
Ahahahahah.. ni kweli sema tu nimeshangaa sana. Angekua mtu mzima mwenzagu wala haina shida, mzee unatongozwa na mtoto..????
 
Back
Top Bottom