Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika siku hiz kuna vifaa hata vya kupigia picha usingizin kamanda, dunia imefkka mbal sanaBado ipo usingizini buda
Hakika ni kwel. Mtaa ushaharibika, sekunde tu tunakusahauYani men kama kuna mtego hatutoboagi ni kwa wanawake , hata target za mauaji unatumiwa tu utanasa. Pole ila usiharibu clean sheets mkuu mitaa mibovu sasa hivi
Eheheheh... sawa bwana ila sio kama unavyowaza chiefIla mkuu pamoja na yote kwa kutomkemea huyo dogo asifanye alichokuwa anakifanya, inadhihirisha kabisa ulikua unafurahia joto lake😁😁 hivyo umeonesha tabia za umalaya kabisa mkuu
Yapi hayo. Na ndio wepo hao?Wanaume wa dar wameanza mambo yao
Naam tuzungumze chiefMbona kama Miriam huyu jmn, mkuu tunaweza zungumza kidogo?
Hapana kaka, unatafunaje kucha mbele ya mwanamke?Kwahiyo umefika kumsemea binti?
Hukuwa unatafuna kucha kweli?🤣
Hapana sio hao. Hemed ni jina la kijana nilishawah kuwa nae kazin muda mrefu umepita, jina lake likanijia haraka nikajiita Hemed
Hakuna wa kushusha ubora wa jf. Bila hizi usingekuta mtu onlineMoja ya threads zinazoshusha ubora wa JF
Nyie mnaoishi jiji la chalamila kutongozwa tu na demu ushaita waandishi wa habari, sisi huku mkoani akikupa tu signal unamtafutia time mnapiga story na mtongozo juu jioni unamfata na baiskel yako😁anapigwa kibaiskeli mpaka anakua mwepesi afu inakua Siri yenu wawiliYapi hayo. Na ndio wepo hao?
Huyu ni wa kusini piaIla wadada wembamba huwa wana jiamini hadi kupitiliza, alafu ndio ukute ni wa kusini ndio balaa kabisa.
Ahahahahah.. ni kweli sema tu nimeshangaa sana. Angekua mtu mzima mwenzagu wala haina shida, mzee unatongozwa na mtoto..????Nyie mnaoishi jiji la chalamila kutongozwa tu na demu ushaita waandishi wa habari, sisi huku mkoani akikupa tu signal unamtafutia time mnapiga story na mtongozo juu jioni unamfata na baiskel yako😁anapigwa kibaiskeli mpaka anakua mwepesi afu inakua Siri yenu wawili
Ni kuwa Kaka Ivan, Hemed PhD siku hizi anajiita Mwamposa, eti ndiyo aka yake..!!Hapana sio hao. Hemed ni jina la kijana nilishawah kuwa nae kazin muda mrefu umepita, jina lake likanijia haraka nikajiita Hemed
Una mengi boss.Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana.