Aramun
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 461
- 2,213
Naomba nifungulie pm bibieulposema tu kusini,,ni mimi uyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nifungulie pm bibieulposema tu kusini,,ni mimi uyo
Umepigwa "shambulio la aibu" kwenye daladala.Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana.
- Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta
- Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu za kila siku- yule mtoto hazidi miaka 24, hazidi hapo kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, imagine nimemzidi 10+ years,
-Wakuu haya mambo nilikuwa nayasoma humu, sikuwahi hata kuwaza kama ningekutana nayo.
- Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani
- Nilijiskia kufedheheka sana, nashkuru Mungu nilikaa siti ya nyuma kabisa (na yeye alipopanda alionikuta tayari ndani ya gari) natokea Uhasibu Kurasini naelekea Kimara Temboni. Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha" bila aibu, kwakwel nimestaajab sana leo, mara akulalie begani mara akuegemee huku ameukumbatia mkono wako kwa mikono yake miwili, mara aniwekee mkono kwenye paja la mguu wa kushoto. Wakuu nimepata aibu za kiume leo.
- niliwaza mengi sana, je ni uchawi huu?, je ni changamoto ya afya ya akili? Je ni nyege zilizopitiliza huyu mtoto kichupa kimejaa na hakijafunguliwa muda mrefu? Au ni jini mahaba hili leo nimepanda nalo daladala? Au ni malaya yuko kazini? What is all this??????
- kwakifupi leo nimekula mtongozo na kiukwel nilitakiwa nikamalize show leo, mpaka namba nilitoa bila kupenda. Mpaka nahis labda i was under attack! May be i was demonically possesed , sio bure.
- sina mengi sana wakuu ila nimechomoa sijaenda kukala kale katoto. Nimeweza mengi sana by the way huu ni mwaka mmoja na nusu sijachepuka, sasa leo huyu mtoto alitaka kuharibu clean sheet yangu.
- najua mtadai picha na kiukwel, nilichukua moja kiunja sana kwa kujifanya najibu message alizidisha vituko vya kuweka mkono pajani, na kuna time ni kama alikua anataka kushika dushe.
- leo hakika nimejishangaa sana na almost nikafkkia hatua ya kutaka kujidharau, hiv nimefkkia hatua hii mimi? Ameonionaje huyu mtoto????
- Hawa watoto wa leo wamekumbwa na nini, huu ni ujasiri au upuuzinuliopita viwango??????
- Nimeaibika sana, maana wadau waliosimama kwenye daladala wakawa wanatutolea macho, japo nilikuwa najitahidi sana kuidhibit ile hali ila huyu mtoto ni kama alipania
- Nimemaliza
NB: Vigezo na mashart vimezingatiwa na picha nimeweka hapo chini.
Ahsanten.
View attachment 2990269
Huyo ni kahaba tu,hiyo route si unajua pale buguruni ni kituo chaoWala sina mengi ila nimeshangazwa sana.
- Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta
- Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu za kila siku- yule mtoto hazidi miaka 24, hazidi hapo kwa uzoefu wangu wa kuwajua wanawake, imagine nimemzidi 10+ years,
-Wakuu haya mambo nilikuwa nayasoma humu, sikuwahi hata kuwaza kama ningekutana nayo.
- Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani
- Nilijiskia kufedheheka sana, nashkuru Mungu nilikaa siti ya nyuma kabisa (na yeye alipopanda alionikuta tayari ndani ya gari) natokea Uhasibu Kurasini naelekea Kimara Temboni. Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha" bila aibu, kwakwel nimestaajab sana leo, mara akulalie begani mara akuegemee huku ameukumbatia mkono wako kwa mikono yake miwili, mara aniwekee mkono kwenye paja la mguu wa kushoto. Wakuu nimepata aibu za kiume leo.
- niliwaza mengi sana, je ni uchawi huu?, je ni changamoto ya afya ya akili? Je ni nyege zilizopitiliza huyu mtoto kichupa kimejaa na hakijafunguliwa muda mrefu? Au ni jini mahaba hili leo nimepanda nalo daladala? Au ni malaya yuko kazini? What is all this??????
- kwakifupi leo nimekula mtongozo na kiukwel nilitakiwa nikamalize show leo, mpaka namba nilitoa bila kupenda. Mpaka nahis labda i was under attack! May be i was demonically possesed , sio bure.
- sina mengi sana wakuu ila nimechomoa sijaenda kukala kale katoto. Nimeweza mengi sana by the way huu ni mwaka mmoja na nusu sijachepuka, sasa leo huyu mtoto alitaka kuharibu clean sheet yangu.
- najua mtadai picha na kiukwel, nilichukua moja kiunja sana kwa kujifanya najibu message alizidisha vituko vya kuweka mkono pajani, na kuna time ni kama alikua anataka kushika dushe.
- leo hakika nimejishangaa sana na almost nikafkkia hatua ya kutaka kujidharau, hiv nimefkkia hatua hii mimi? Ameonionaje huyu mtoto????
- Hawa watoto wa leo wamekumbwa na nini, huu ni ujasiri au upuuzinuliopita viwango??????
- Nimeaibika sana, maana wadau waliosimama kwenye daladala wakawa wanatutolea macho, japo nilikuwa najitahidi sana kuidhibit ile hali ila huyu mtoto ni kama alipania
- Nimemaliza
NB: Vigezo na mashart vimezingatiwa na picha nimeweka hapo chini.
Ahsanten.
View attachment 2990269
Aisee Njoo PM kwanza tuyajenge.Usinitafutie kesi kwa ndugu yangu😂
Aisee Njoo PM kwanza tuyajenge.
Kaka niamini Mimi siwezi andika kitu ambacho sinauhakika Nacho,Hilo gauni pia Bibie analo😂Kwakwel mkono wa huyu ndugu siujui ila naamini sio yeye
Sitaki.Kaka niamini Mimi siwezi andika kitu ambacho sinauhakika Nacho,Hilo gauni pia Bibie analo😂
Doohhh!!. Mkuu stress mbaya sana.Pumbafyu zyko Jinga wewe.... Unatusomesha liese lote hili likilojaa ubaradhuri na ugedhuli wa hedi...
Alaaaaah..... Mustakhabhari Mkubwa wewe
Vijana mjichunguze tubkuona nini hakiko sawaKwanini hawatufuati sisi vijana balubalu wenye nguvu, mpaka tunamua kupiga Nyeto.
Wamewafuata mpaka kwenye Magari sasa Shetani Hana AkiliNilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha"
Nyie mnaendanaKaka niamini Mimi siwezi andika kitu ambacho sinauhakika Nacho,Hilo gauni pia Bibie analo😂