Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Umepigwa "shambulio la aibu" kwenye daladala.
 
Huyo ni kahaba tu,hiyo route si unajua pale buguruni ni kituo chao
Nimewahi kutana na mmoja ata mm kwenye route hiyo
Afu kwa dar hii hali inatokea sana asa kwenye daladala,kuna mabinti unaona kabisa wanalazimisha wakatafunwe
Mkuu nadhani ugumu wa maisha unachangia huyo dogo aliwaza utamlipia nauli na ukimla utamtoa salio😀😀😀
 
Yani men kama kuna mtego hatutoboagi ni kwa wanawake , hata target za mauaji unatumiwa tu utanasa. Pole ila usiharibu clean sheets mkuu mitaa mibovu sasa hivi
 
Ila mkuu pamoja na yote kwa kutomkemea huyo dogo asifanye alichokuwa anakifanya, inadhihirisha kabisa ulikua unafurahia joto lake😁😁 hivyo umeonesha tabia za umalaya kabisa mkuu
 
Ila mkuu pamoja na yote kwa kutomkemea huyo dogo asifanye alichokuwa anakifanya, inadhihirisha kabisa ulikua unafurahia joto lake😁😁 hivyo umeonesha tabia za umalaya kabisa mkuu
 
Ila mkuu pamoja na yote kwa kutomkemea huyo dogo asifanye alichokuwa anakifanya, inadhihirisha kabisa ulikua unafurahia joto lake😁😁 hivyo umeonesha tabia za umalaya kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…