Wanaume mnatofautiana nakubali ila kwa upande wangu kuliko kufanya bahati nasibu bora mwanamke awe na hela yake inaepusha mambo mengi.Leo napingana na wewe kwenye hili, binafsi sipendi mwanamke/mke wangu afanye kazi kwa sababu napenda kumhudumia mwenyewe kwa kila kitu.
😂😂😂😂😂😂No 3. Mwanamke ni muhimu sana kuwa na maisha yake, wanaume mna dharau sana mwanamke akiwa hana kazi naandika kwa experience. Mwanaume ambae hataki mwanamke anaejitegemea najua fika ni mnyanyashaji.
Kwa nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani serious mi sitokuja jaribu kuoa mdada wa hivo kabisa an
Mi sitaki dharau na masimango..Kwa nini?
Sawa. Nadhani kila mmoja ana aina ya mtu wake anaemtaka ambae anaamini wanaweza kwenda sawa. Ila huwa napenda kujua kitu kimoja hivi na watoto wenu wa kike mtapenda siku waje kuwa wamama wa nyumbani ili wawe na heshima kwa waume zao?Mi sitaki dharau na masimango..
Ukiangalia mara nyingi wenye wapo namna hiyo wanajiona washamaliza wana manyanyaso kabisa
pole mpare mwenzangu ila ukiwa mwanaume kamili hayawezi kukukuta kizembe hivyoMimi ni mpare, muda, pesa na nguvu zangu haziwezi kulika hivihivi nikabaki naumia, alafu hayajakukuta bwege wewe kheri ukae kimya
Namba 3 umechemshaNatoa mwongozo kwa wanaume wenzangu ambao tupo uchumi wa kati yani gari, nyumba, kazi.
1 : Usithubutu kumpenda mdada wa kuokota hapa dar au mji wowote ule mkubwa.
2 : Usithubutu kumpenda msichana mwenye umri zaidi ya miaka 20.
3 : Usidhubutu kuoa mdada anayejitegemea kimaisha.
4 : Usithubutu kuoa binti asie elewana na kaka zake au baba zake.
5 : Usithubutu kumpenda mdada uliyemkuta anavaa shanga na kujitoboa vipini af sio bikra USITHUBUTU.
Kabla ya kumpenda mtu kwanza chunguza watu anaoelewana nao. Utanishukuru.
Nayandika haya nikiwa hapa upanga namtazama mwanamke niliyemwamini kwa upendo wangu wote anatoka kwenye apartment kunisaliti na mnaigeria anayejifanya mchungaji nimepanga kuwafanyia kitu as little gift.
Dar si mji wa kuja na kuondoka......Imagine Mwanamke anatoka mkoani amefubaa hatari, baada ya Mwaka mmoja anang'aa ngozi laini na Msududu unapanda...unajua Dar hata kama unakula Dagaa lakini ni Dagaa wa kiwango.wadada wakija Dar hawataki kuondoka afu hawana hela ..kifatachoo ni kuliwa tu
Najitahidi kuandaa mazingira ambayo yatamfanya mke wangu asiwe tegemezi kwa watu baada ya kufa kwangu ila muda wote ambao niko hai mimi ndiyo niwe tegemezi lake kwa kila kitu.Wanaume mnatofautiana nakubali ila kwa upande wangu kuliko kufanya bahati nasibu bora mwanamke awe na hela yake inaepusha mambo mengi.
ndo maama nasema wasioe mwanamke mwenye kazi, kama anakazi mwache na kazi yake, watafute watoto wasio na kazi, wanawake sio yani hawa wanawake ambao tayar washapita uku na kule ni toxic sana. Kheri upate alie fresh ndo umtreat kwa upendo unavyoweza ila sio hawa ambao ni victim washakua na guard mechanism ni hatari na sio kila mwanaume ni myanyasaji.No 3. Mwanamke ni muhimu sana kuwa na maisha yake, wanaume mna dharau sana mwanamke akiwa hana kazi naandika kwa experience. Mwanaume ambae hataki mwanamke anaejitegemea najua fika ni mnyanyashaji.