Yamenikuta!

Safi sana Mkuu... Usimuhurumie mtu anaetaka kukudhuru..au anaeharibu investment yako...Si unajua - akuanzae.......
 
6. Usitoke na Mdada yeyote anayetoka au aliyewahi kutoka na Wanaigeria kwani wengi wao wanaachiwa laana za kimwili bila wao kujijuwa. Yaani wanafanywa makafara na kuchotwa nyota zao, utashangaa unatoka na demu kama huyo unapatwa na mabalaa kila kukicha.
 
Achana na hiko kisasi mkuu.

Huyu mchungaji mwachie Mungu wake anayemuabudu ndio atampa adhabu kwa hiyo dhulma aliyokufanyia.

Achana na hiko kisasi mkuu.

Huyu mchungaji mwachie Mungu wake anayemuabudu ndio atampa adhabu kwa hiyo dhulma aliyokufanyia.
Aachane nae vipi? Usikubali @pachawako - vitu vingine tunamalizana tu hapa hapa duniani; hakuna haja ya kumwachia Mungu.....
 
Kwa sasa mapenzi ni biashara mwanamke anataka pesa yangu mimi nataka sehemu ya kumaliza nyege zangu tunafanya exchange maisha yanaenda tukichokana kila mmoja anatafuta business partner mwingine. Hivi huu upumbavu wa kupenda bila kutumia akili mnautoaga wapi
 
Poleee sana, Tafuta pesa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nafkiri ingekua vyema kutuelezea ilikuaje kwanza kabla ya kutoa ushauri mkuu.
 
Leo napingana na wewe kwenye hili, binafsi sipendi mwanamke/mke wangu afanye kazi kwa sababu napenda kumhudumia mwenyewe kwa kila kitu.
Na akiwa jobless unyumba atakupa hata kama ana UTI
 
Wanaume mnatofautiana nakubali ila kwa upande wangu kuliko kufanya bahati nasibu bora mwanamke awe na hela yake inaepusha mambo mengi.
Kila mtu akiwa na hela yake, hakuna ndoa hapo. Ndoa inadumu kama wote mna hela yenu.
 
Poleee sana, Tafuta pesa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
laiti ungejua, mtu nimeuguza kwa upendo zaidi ya 4m zimenitoka sababu hakua na bima na home kwao hoehae, unafikiri bila financial stability 4m ikutoke ghafla tu ungekua sawa wewe? Tukiachana na hayo ela kweli sina, maana ela siziokoti na wala sipewi au kuiba kwa mtu natafuta kwa juhudi zangu.
 
Yani unavosema wasioe mdada anayejitegemea kimaisha unamqqnishq nini!!
Akili yako haipo sawa wewe.
Yuko sahihi, anamaanisha mwanamke ambaye kaondoka kwao na kaanza maisha ya kujitegemea kwasabb yoyote ile, huwa anakuwa ameutumia vema uhuru wa kuziona suruali za kila aina na mikongojo yao.

Halafu unakuta mpk mtaro ushafukuliwa. Hawafai.
 
Sasa kelele za nn? Tafuta pesaaa bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…