CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hata bila hicho kipengele cha kumruhusu kuondoka, ni mchezaji gani alishazuiliwa kuondoka Simba?Hata Simba wakigoma kumruhusu,
Mi naona amefanya vizuri! Kwani, atauzwa kwa bei kubwa, kuliko ungefuatwa utaratibu. Hapo, ni kama binti mwanafunzi ametoroshwa, hivyo, jamaa atapigwa faini, pili atafungishwa ndoa ya mkeka. Jamaa akijifanya mjanja, atatishiwa kushtakiwa Serikalini (FIFA) ambako kwa kosa alilofanya, atajuta kwa adhabu atakayopata!Kibu kaharibu sana
Ngoja tuone itakuaje mkuuMi naona amefanya vizuri! Kwani, atauzwa kwa bei kubwa, kuliko ungefuatwa utaratibu. Hapo, ni kama binti mwanafunzi ametoroshwa, hivyo, jamaa atapigwa faini, pili atafungishwa ndoa ya mkeka. Jamaa akijifanya mjanja, atatishiwa kushtakiwa Serikalini (FIFA) ambako kwa kosa alilofanya, atajuta kwa adhabu atakayopata!
Sina shaka, hao Simba wamepata nguvu ya kurudi huko Congo kwa AS VITA, kwa kiwango kikubwa cha fedha, wakitegemea "mahali na faini" kutoka kwa Kibu!
Mashabiki wa 5imba walikuwa wanafurahia sana issue ya Fei toto, sasa wana wewe sema ya Kibu πππKumbe inauma eehhh.....
Ndo hata mimi nashangaa...cz kumruhusu kama shrikisho maana yake hata thaman yake ya kumuuza wanalijua sasaKwani Kibu aliongea na Simba wakagoma kumruhusu?
Tff ndio wanaomlipa mshahara Kibu? Mbona maajabu haya.
We Tangu uzaliwe uliwahi kuona wapi mchezaji kauzwa na shirikisho?π
Kwa maelezo haya, basi viongozi wa simba, ulikosea saana.Madai ya kibu ni kwamba,hapo awali Kuna ofa kadhaa zilitoka Ulaya na zilipofika Kwa Simba ikawa Uongozi unambania kuondoka,na ndipo baada ya kufahamu ukweli huo kama unakumbuka ndipo drama zikaanza Kwa jamaa ya kwamba Kama wanataka abaki inabidi wamuongezee pesa!
Wakiwa wamemuongeza pesa alizohitaji,ndipo ofa nyingine kutoka Norway ya Kristiansund ikatua Kwa wakala wake,Kwasababu kabla ya Timu husika kufanya mazungumzo na Simba ilifanya mazungumzo na Kibu,ndipo jamaa baada ya kuona hiyo ofa akawazuia Kristiansund kufanya mazungumzo na Simba kwasababu alijua viongozi watamtilia ngumu kwasababu hapo awali zilishakuja ofa kadhaa wakamtilia ngumu
Jamaa baada ya kuona hivyo,akaamua kutoushirikisha Uongozi wa Simba hadi jambo lake litakapotimia,maana alijua akiwashirikisha Uongozi wa Simba,wangemwambia atumikie mkataba wake aliokwisha Saini wakati yeye ndoto zake ni Kucheza Ulaya,Hivyo baada ya kufika Ulaya ndipo Sasa wakakubaliana na Kristiansund wauandikie Uongozi wa Klabu yake ya Zamani (Simba) kuhusu ku-negotiate !
Kwa mantiki hiyo,Jamaa ameamua Kutoroka kwasababu hizo nilizotaja hapo juu!
Hii Taarifa nilisikiliza pale Wasafi wakati wakimuhoji huyo Meneja wake (Carlos Mastermind)
Streka la bao moja mechi 50 linawapeleka puta makolo.Kwenye mkataba wa Kibu Denis na SimbaSC kuna kipengele walichokubaliana kuwa, akipata timu Ulaya aruhusiwe kuondoka.
Kipengele hicho ndicho kinampa uhakika na jeuri ya kuondoka katika klabu ya Simba.
βΉοΈ Klabu ya Kristiansund BK imeandika barua rasmi kwenda Simba SC ili kumnunua mchezaji huyo kwa kuzingatia kipengele hicho kilichopo kwenye mkataba.
Kibu akizungumza na kituo cha Crown fm amemkataa Rashid Yazidi aliyekuwa akifanya interview na media mbalimbali akisema kuwa yeye ni msimamizi wake.
"Rashid sio meneja wangu wala sio chochote, nilimkaribisha nikampa kazi kama mwanasheria ila hakuwa mwanasheria wangu nilimwita ili afanye kazi ila tulimalizana, simdai wala hanidai, simjui"
"Wakala wangu ni Carlos Mastermind"
Β©οΈ Kibu Denis Prosper
View attachment 3053076
Kwani wewe umeuona mkataba wake?..........au ndio habari ya kusikia πKutoroka ni kosa linalo angukia katika ukosefu wa nidhamu kwaiyo timu inaweza kumpa adhabu ila si kuzuia yeye kuuzwa nje kwakua ni makubaliano ya ki mkataba.
Hata Simba wakigoma kumruhusu, Tff wata mruhusu kwakua nakala za mikataba wanazo na icho kipengele kita mbeba Kibu.
Ubaya Ubwela.
Timu Norway bhana.....ebu tuache π πUkweli upi huo zaidi ya huo kuwa ye ni mchezaji mzuri? Unadhani hiyo team ya Norway ni wakurupukaji kama wewe mpaka wamtumie barua ya mwaliko!? Wenzetu wanafatilia nyendo za mchezaji hata miaka mitatu kabla ya kufanya maamuzi, huo mwaliko wa kutrain na kikosi cha kwanza inakuwa ni hatua ya mwisho kabisa katika kujiridhisha. Anyway, tufanye Kibu siyo mchezaji mzur, tutajie wachezaji wako wazuri then utuambie wanahitajika wapi.
Tatizo kubwa la kibu ni kwamba, anaamini yeye ni mchezaji mzuri na mkubwa sana. kama kuna mtu karibu yake amwambie ukweli.
Halafu bahati mbaya wakati tunamuongezea mkataba hatukujua kama ni mkimbizi na hana kiwango.Huyu mkimbizi Makolo wangeachana nae,hana kiwango halafu anawasumbua
Kama haijafika? Maana kama ni conditional sentence, lazima uzungumzie pande zoteKama barua imefika wapeni dau biashara ifanyike chap chap.
ni kwa kuwa tulipata tetesi kuwa kuna timu inamuhitaji. Hata Jobe tulichelewa kumuaga bure kwa kuwa tulisikia kuna timu zinataka kumnunuaKiwango hichohicho ndo kilifanya mchanganyikiwe na kuweka mezani mamilioni kupata saini yake.