Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Yametimia baada ya yule dada maarufu kwa kutembea na serengeti boys aka dogodogo kumpa kibuti kikali aliyekuwa mpenzi wake yaani Nuhu Mziwanda.

shish.jpg


Mtakumbuka mapenzi yao yalibamba sana hasa baada ya Nuhu Mziwanda kujichora tatoo kwenye mkono ya aliyekuwa mpenzi wake ikiwa ni ishara ya kuwa na mapenzi ya dhati kwake.

Chanzo: You heard by Soud Brown

Nachojiuliza, Hivi ile tatoo aliyojichora kana kwamba kamuumba mwenyewe huyo mwanamke itakuweje?

Vijana tuache mambo ya kijinga ambayo hayana msingi...Eti unajiumiza kujichora tatoo ya mwanamke ambaye huna dhamana nae sasa angalia ndo hivyo kashapigwa kibuti na kabaki na kovu lake mkononi.
 

Attachments

yaani nimeanza kucheka heading tuu!!
shilole nae mwanamke wa kuolewa...!
mtu kashaolewa two times!
huyo nuhu alikua antafta jina tushamjua tayari
km shoga ake the rocka
maana mijanaume siku hz kazi kusafiria nyota za wanawake tuuu!!!!
hovyoooooooo!!!!
 
Akate mikono sasa. Yaani hilo gubegube kuwa na future nalo ni sawa umuwekee dhamana Masai atakuachia shuka au sime!!
Mtu kama huyo ni kupiga na kufanya mambo mengine sio kujenga kibanda!!

Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
yaani nimeanza kucheka heading tuu!!
shilole nae mwanamke wa kuolewa...!
mtu kashaolewa two times!
huyo nuhu alikua antafta jina tushamjua tayari
km shoga ake the rocka
maana mijanaume siku hz kazi kusafiria nyota za wanawake tuuu!!!!
hovyoooooooo!!!!

Msondo ngoma hiyo kama ile nyimbo yake, ukistaajabu ya dida utayaona ya shishi
dadeki sitaki tena umarioo mana wanazuoni wanasema "only a fool learns through his mistake but a great one learns through others mistakes"
 
Mwisho wa siku kaachwa yeye maana kwenye nyumba kaondoka na begi lake,,,daah UMARIOO shida sana bora uwe MARIOO wa faida unamchuna hata akikuacha una mitikasi yako sasa usikute Dogo alikua ananunuliwa jeans na raba!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Hako katoto hamnazo kwelikweli, na kamekoswa koswa na jiwe, kangetandikwa la kichwa ndio akili zingekaa sawa....

Amekuta vinaelea, alafu analeta wivu kana kwamba kalitazamia katapata hisa za Shishi 100%....angembiwa alipie kodi ya nyumba, wese ya gari, matunzo ya watoto, nauli za pipa n.k. angemudu au angelia ?.
 
Huyu dogo sasa hivi niwakutafutiwa bwana tu limuweke mjini hapa na mi tatoo yake
 
msondo ngoma hiyo kama ile nyimbo yake, ukistaajabu ya dida utayaona ya shishi
dadeki sitaki tena umarioo mana wanazuoni wanasema "only a fool learns through his mistake but a great one learns through others mistakes"

kweli kabisa mpuuzi huyo nuhu"walaga"sijui
ye hakujiongeza ht kdogo
 
Aende mwenge kuna Salon wanadawa ya kufuta tatoo ila sio zile zilizochorwa kwa korosho.
 
Binamu ubuyu wako umetolewa faster

Eeh kumbe nili post? Mwenzio nahangaika apa kuandika tena nkajua sijapost, khaa mdomo na wenyew huu bado tu sikomi na ban mbil zote zile, ila si ulipata kidog ubuyu ndo vile
 
hivi ndoa watu wanajua mavuzi hata chizi anayooo!!!

Juzi tu nimeona picha zao za uchi mtandaon kumbe ndo walikuwa wana post uchi wao kwa mara ya mwisho? Nyie hawa kwel sio wazima methadone inawahusu wot wawil
 
Eeh kumbe nili post? Mwenzio nahangaika apa kuandika tena nkajua sijapost, khaa mdomo na wenyew huu bado tu sikomi na ban mbil zote zile, ila si ulipata kidog ubuyu ndo vile

yaani mi nimetumiwa pm ni bonge la ubuyuuu!!
ufanyie manuva basss!!
aisee hadi nimeteemeka thnx to@ladykims
 
Back
Top Bottom