Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Huyu dogo mpuuzi kweli kaachwa na tatoo lake ishakua mzigo.kibaya zaidi kaachiwa na gonjwa letu la kisasa kwakua dada yetu alishaungua kitambo pale sinza.
 
Kama elimu kichwan hakuna basi wote hamna kitu,umesema n classmate wako mkuuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.uuuu
ndiyo mkuu ni classmate wangu huyo namfahamu toka tukiwa form one 2006..ni mpenda sifa tu na ukichangia ulimbukeni wa mapenzi ndo yaliyomkuta hayo..
 
Uo Ni UK Pole Tahira Wa Mapenz Ulishndwa Kujchora Tattoo Ya Mama Ako Anaekupenda Kwa Dhati Unajchora UK Umalaya! Pole Mjinga

Yatamkuta ya HALIMA KIMWANA, Kajichora tatoo ya diamond siku hzi ushoga umeisha hata mtaa wa kina DIAMOND.kaambiwa asikanyage, mapokezi airport kayaona ktk TV tu...
 
Yatamkuta ya HALIMA KIMWANA, Kajichora tatoo ya diamond siku hzi ushoga umeisha hata mtaa wa kina DIAMOND.kaambiwa asikanyage, mapokezi airport kayaona ktk TV tu...

heeee???? HALIMA huyu huyu? makubwa!!
 
Yatamkuta ya HALIMA KIMWANA, Kajichora tatoo ya diamond siku hzi ushoga umeisha hata mtaa wa kina DIAMOND.kaambiwa asikanyage, mapokezi airport kayaona ktk TV tu...


Hehehehe sikulijua hilo kwisha habari yakee
 
Hahahaaa Madame...na ukimpa ule mchezo wako ndo atachora jina lako usoniiii.....daaaaadeki....

Na ndo nataka nimpe huo huo.
Maana wanaume wa Dar, wengi wanapenda kuingilia mlango wa Jehanam.

Nami kwa vile nimepewa bure, nautumia kiuhalali kabisa.
 
Na ndo nataka nimpe huo huo.
Maana wanaume wa Dar, wengi wanapenda kuingilia mlango wa Jehanam.

Nami kwa vile nimepewa bure, nautumia kiuhalali kabisa.

Ushaacha kuvaa diapers? Niliskia kuna kipindi breki zilikatika kabisa.
 
Na ndo nataka nimpe huo huo.
Maana wanaume wa Dar, wengi wanapenda kuingilia mlango wa Jehanam.

Nami kwa vile nimepewa bure, nautumia kiuhalali kabisa.

Naomba unipe na mimi Madame B.

Naupenda kweli huo mlango.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom