Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo mkuu ni classmate wangu huyo namfahamu toka tukiwa form one 2006..ni mpenda sifa tu na ukichangia ulimbukeni wa mapenzi ndo yaliyomkuta hayo..Kama elimu kichwan hakuna basi wote hamna kitu,umesema n classmate wako mkuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums.uuuu
hamna tatizo dogo nae kashajisafishia rungu acha wengine waendelee kupiga mambo
Umeona eehh
Aende mwenge kuna Salon wanadawa ya kufuta tatoo ila sio zile zilizochorwa kwa korosho.
Uo Ni UK Pole Tahira Wa Mapenz Ulishndwa Kujchora Tattoo Ya Mama Ako Anaekupenda Kwa Dhati Unajchora UK Umalaya! Pole Mjinga
Ngoja nianze kumpigia misele mie
Usimuite mtoto wa mtu jina hilo sio vizuri...
Yatamkuta ya HALIMA KIMWANA, Kajichora tatoo ya diamond siku hzi ushoga umeisha hata mtaa wa kina DIAMOND.kaambiwa asikanyage, mapokezi airport kayaona ktk TV tu...
Yatamkuta ya HALIMA KIMWANA, Kajichora tatoo ya diamond siku hzi ushoga umeisha hata mtaa wa kina DIAMOND.kaambiwa asikanyage, mapokezi airport kayaona ktk TV tu...
Huyu dogo sasa hivi niwakutafutiwa bwana tu limuweke mjini hapa na mi tatoo yake
Hahahaaa Madame...na ukimpa ule mchezo wako ndo atachora jina lako usoniiii.....daaaaadeki....
Na ndo nataka nimpe huo huo.
Maana wanaume wa Dar, wengi wanapenda kuingilia mlango wa Jehanam.
Nami kwa vile nimepewa bure, nautumia kiuhalali kabisa.
Na ndo nataka nimpe huo huo.
Maana wanaume wa Dar, wengi wanapenda kuingilia mlango wa Jehanam.
Nami kwa vile nimepewa bure, nautumia kiuhalali kabisa.
Ushaacha kuvaa diapers? Niliskia kuna kipindi breki zilikatika kabisa.