Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Maji ni seasonal so kuna msimu yanapungua ndani ya mwaka hilo halina ubishi.

Lakini mabwawa ya vituo vya kufua umeme yanauwezo wa kutunza maji kwa zaidi ya mwaka.

Knowing it’s a JIC buffer system watu wanasubiri msimu wa mvua upite wanafungulia mabwawa na kutengeneza artificial shortage mpaka mvua zije tena.

Mtanikumbuka JPM
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Tanesco mpya iliyozaliwa ya makamba
 
Dhambi ya kuwafungulia watu Kesi feki za Ugaidi, zinaanza kujibiwa na Mungu kivitendo.

Kuna haja ya kumuomba Mungu atusamehe makosa yetu ili Mvua za Vuli zianze kutiririka na moto itafurika maji na umeme kurejea.
 
Kama hayo anayosema Zito ni kweli basi Jiwe alikuwa mtu wa fix sana - katudanganya mambo mengi makubwa hasa hili la umeme, Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hadi kufikia hatua kuuita mradi huo hata mwendawazimu hawezi kuukubali, akatudanganya kuhusu Covid kwamba ni vi-mafua mfua - ila vimafua vikamfanyizia...

Aisee, bac sawa tumejifunza !! wacha tuhangaike na hii migawo 2, maji na umeme kwa pamoja na joto hili la dar aisee !!
 
Bado tu watu tutapinga🤣🤣

Yaani mtu anaona kabisa JUA NA JOTO KALI......

Yaani mtu anaona kabisa WANYAMA kukosa malisho hata kwa majirani zetu Kenya.......

Yaani mtu anaona kabisa hata vimefereji huku mitaani vimekuwa vikavuuuu......ila bado tu anamlaumu mh.Makamba na serikali mpya duuuuh kweli PINGA PINGA FC 🤣🤣🤣


SIEMPRE JMT
Achana nao akili zao aliondoka nazo jiwe
 
Kwa hiyo baada ya kifo tu cha magufuli ndo capacity ya generation na consumption ime tilt kwa kiwango cha kuleta uhaba na mgao..? Shame on you majizi
kama uliendesha gari lako bila service kuna siku litakuzimikia barabarani - ndiyo hivi sasa !! tulia ukweli uzungumzwe. Makamba na Tanesco wapo sahihi, miaka 5 no service ya mitambo unategemea nini hapo? washa, washaa, washa sasa matokeo yake ndiyo haya.
 
kama uliendesha gari lako bila service kuna siku litakuzimikia barabarani - ndiyo hivi sasa !! tulia ukweli uzungumzwe. Makamba na Tanesco wapo sahihi, miaka 5 no service ya mitambo unategemea nini hapo? washa, washaa, washa sasa matokeo yake ndiyo haya.

Ni zamu yenu kula kuleni mvimbiwe boss
 
Back
Top Bottom