Yanayoendelea CHADEMA: Watu wanaanza kutuelewa kwa nini tunawaambia, wasishabikie vyama vya siasa, washabikie Rais wao wa nchi.

Yanayoendelea CHADEMA: Watu wanaanza kutuelewa kwa nini tunawaambia, wasishabikie vyama vya siasa, washabikie Rais wao wa nchi.

Wafuasi wa Rais

Senior Member
Joined
May 31, 2023
Posts
151
Reaction score
147
Kila mtu anaona na kusikia yanayotokea chama kikuu cha Upinzani CHADEMA. Wanachama wanaumia sana mioyoni mwao kutokana na mnyukano unaoendelea. Saaafi sana.

Sisi, kama Wafuasi wa kujitolea wa Rais tunaamini kitu kimoja hapa Duniani:

Nchi ni Rais. Rais ni nchi.

Nchi ni wananchi. Wananchi ni nchi.

Hatuamini chochote kwenye itikadi za vyama vya kisiasa. Hatuamini katika chama. Tunaamini katika kiongozi mkuu wa nchi. Yaani Rais bila kujali chama chake cha siasa.

Rais ni lango la nchi. Rais ni baraka za nchi.

Hatuamini katika itikadi ya vyama vya kisiasa popote Duniani.

Wafuasi wetu wanazidi kuongezeka siku hadi siku. Na mnyukano huu wa chama kikuu cha upinzani inatusaidia sana.
 
Kila mtu anaona na kusikia yanayotokea chama kikuu cha Upinzani CHADEMA. Wanachama wanaumia sana mioyoni mwao kutokana na mnyukano unaoendelea. Saaafi sana.

Sisi, kama Wafuasi wa kujitolea wa Rais tunaamini kitu kimoja hapa Duniani:

Nchi ni Rais. Rais ni nchi.

Nchi ni wananchi. Wananchi ni nchi.

Hatuamini chochote kwenye itikadi za vyama vya kisiasa. Hatuamini katika chama. Tunaamini katika kiongozi mkuu wa nchi. Yaani Rais bila kujali chama chake cha siasa.

Rais ni lango la nchi. Rais ni baraka za nchi.

Hatuamini katika itikadi ya vyama vya kisiasa popote Duniani.

Wafuasi wetu wanazidi kuongezeka siku hadi siku. Na mnyukano huu wa chama kikuu cha upinzani inatusaidia sana.
Kwa taarifa yako kinachoendelea ndani ya cdm ndio aina ya siasa za ushindani tuzitakazo. Kwa sasa siasa za nchi kwenye ushindani zimeshaharibiwa na ccm, huku huyo unayesema ni rais akiwa sehemu ya siasa hizo za kihuni. kama unaumini au mnamuamini huyo rais, muaminini kimpango wenu. Sisi hatuna muda wa kuamini majizi ya kura, huyo rais akiwa mmoja wapo.
 
Kwa kua hana chama.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Uchaguzi wenyewe ni lini jamani maana mambo yashakuwa mengi
 
Kila mtu anaona na kusikia yanayotokea chama kikuu cha Upinzani CHADEMA. Wanachama wanaumia sana mioyoni mwao kutokana na mnyukano unaoendelea. Saaafi sana.

Sisi, kama Wafuasi wa kujitolea wa Rais tunaamini kitu kimoja hapa Duniani:

Nchi ni Rais. Rais ni nchi.

Nchi ni wananchi. Wananchi ni nchi.

Hatuamini chochote kwenye itikadi za vyama vya kisiasa. Hatuamini katika chama. Tunaamini katika kiongozi mkuu wa nchi. Yaani Rais bila kujali chama chake cha siasa.

Rais ni lango la nchi. Rais ni baraka za nchi.

Hatuamini katika itikadi ya vyama vya kisiasa popote Duniani.

Wafuasi wetu wanazidi kuongezeka siku hadi siku. Na mnyukano huu wa chama kikuu cha upinzani inatusaidia sana.
Mleta mada umeoa?
 
Back
Top Bottom