Yanayoendelea kati yenu na Baleke mnayaficha Kwanza mpaka Hesabu zenu za Vikokotoo (Calculators) zitimie Kesho au?

Yanayoendelea kati yenu na Baleke mnayaficha Kwanza mpaka Hesabu zenu za Vikokotoo (Calculators) zitimie Kesho au?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kudadadeki zenu mlitaka mumpeleke Namungo kwa Mkopo kisha baadae mumuache Kiujanja Ujanja (Juu kwa Juu) kama mnavyowafanyie Wengine Bandeko Nangai (Mkongomani) akawashtukia

Na sasa kawaambieni tena kwa Amri kuwa tekelezeni yaliyomo katika Mkataba wenu nae ndani ya Siku Tano (5) zijazo na mkishindwa anaenda Kuuwasha Moto FIFA ili Deni lake na la Okra ambalo bado linawateseni kwa pamoja yafikie Bilioni 47 za Kitanzania.
 
Huyu yupo Yanga kwa mkopo, na yeye mwenyewe ndiye aliyeanza kujitambulisha kabla ya Yanga kumtambilisha rasmi. Naona cha umbea, mfitini, mgombanishi, mzushi, na cha uongo kama jinsi ya kike umerudi jukwaani. Endelea kuwadanganya walio wageni na mambo.
 
Kalchuleta
 

Attachments

  • Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250111-224743_WhatsApp.jpg
    272.4 KB · Views: 4
Huyu yupo Yanga kwa mkopo, na yeye mwenyewe ndiye aliyeanza kujitambulisha kabla ya Yanga kumtambilisha rasmi. Naona cha umbea, mfitini, mgombanishi, mzushi, na cha uongo kama jinsi ya kike umerudi jukwaani. Endelea kuwadanganya walio wageni na mambo.
Hakuna mkopo kwa mchezaji usio na mkataba na kwenye mkataba kuna vipengere mnapoachana kabla ya mkataba kuisha vipengere mlivyowekeana ni lazima vitimizwe kwa mujibu wa mkataba..

Kuwai kujitambulisha hakumuondolei yeye kupata/kupewa stahiki zake
 
Huyu yupo Yanga kwa mkopo, na yeye mwenyewe ndiye aliyeanza kujitambulisha kabla ya Yanga kumtambilisha rasmi. Naona cha umbea, mfitini, mgombanishi, mzushi, na cha uongo kama jinsi ya kike umerudi jukwaani. Endelea kuwadanganya walio wageni na mambo.
Kwa mkopo hakucheza?Au alicheza bila mkataba?Kesi zipo tano sasa.Utapeli umekuwa sugu.
 
Kudadadeki zenu mlitaka mumpeleke Namungo kwa Mkopo kisha baadae mumuache Kiujanja Ujanja (Juu kwa Juu) kama mnavyowafanyie Wengine Bandeko Nangai (Mkongomani) akawashtukia

Na sasa kawaambieni tena kwa Amri kuwa tekelezeni yaliyomo katika Mkataba wenu nae ndani ya Siku Tano (5) zijazo na mkishindwa anaenda Kuuwasha Moto FIFA ili Deni lake na la Okra ambalo bado linawateseni kwa pamoja yafikie Bilioni 47 za Kitanzania.
FIta ni fita muraaaa!
 
Kudadadeki zenu mlitaka mumpeleke Namungo kwa Mkopo kisha baadae mumuache Kiujanja Ujanja (Juu kwa Juu) kama mnavyowafanyie Wengine Bandeko Nangai (Mkongomani) akawashtukia

Na sasa kawaambieni tena kwa Amri kuwa tekelezeni yaliyomo katika Mkataba wenu nae ndani ya Siku Tano (5) zijazo na mkishindwa anaenda Kuuwasha Moto FIFA ili Deni lake na la Okra ambalo bado linawateseni kwa pamoja yafikie Bilioni 47 za Kitanzania.
Genta misifa umerudi
 
Hakuna mkopo kwa mchezaji usio na mkataba na kwenye mkataba kuna vipengere mnapoachana kabla ya mkataba kuisha vipengere mlivyowekeana ni lazima vitimizwe kwa mujibu wa mkataba..

Kuwai kujitambulisha hakumuondolei yeye kupata/kupewa stahiki zake
Unaelewa maana ya mkopo wewe kijana wa Rage?
 
Ila GSM kawaloga Yanga,kuna vitu vinafanyika wau kimyaaa! Lakini hata upande wa pili ,Mangungu must go imepotea kama moto wa mabua!😁
 
Kudadadeki zenu mlitaka mumpeleke Namungo kwa Mkopo kisha baadae mumuache Kiujanja Ujanja (Juu kwa Juu) kama mnavyowafanyie Wengine Bandeko Nangai (Mkongomani) akawashtukia

Na sasa kawaambieni tena kwa Amri kuwa tekelezeni yaliyomo katika Mkataba wenu nae ndani ya Siku Tano (5) zijazo na mkishindwa anaenda Kuuwasha Moto FIFA ili Deni lake na la Okra ambalo bado linawateseni kwa pamoja yafikie Bilioni 47 za Kitanzania.
Uto matapeli
 
Ila nyie ndio maana Mangungu aliwaletea Manzoki kwenye uchaguzi nioneshe sehemu yoyote duniani mchezaji aliwahi ku sign loan deal ?
Wewe ndio zuzu haswa.Wachezaji ni lazima wa sign loan deal wanapokwenda kwenye timu zingine kwa mkopo.Ndio maana kwenye baadhi ya mikataba ya wachezaji hao kuna vipengele vya kutocheza dhidi ya timu aliyotoka,mishahara kama italipwa na timu yake au timu aliyotoka.
Unafikiri wanacheza kama deiwaka bila mkataba?Hakuna mchezaji anayecheza bila mkataba uwe wa mkopo au wa kawaida.
Wewe unadhani akiwa wa mkopo anachukuliwa tu na kucheza?Wacha uzwazwa na ubishi wa kitoto.Na mkopo huwa una muda .Huo muda wanakubaliana kwa mdomo?
 
Back
Top Bottom