Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
sasa kama rais amegeuka kuwa rahisi anacheza masinema tu na kuhangaika na wasanii unategemea nini? na huko duniani walivyo smart wanampachika tu ma piihechidii ya kisanii maana wanasema ukitaka kumteka mjinga mpe sifa, sijawahi kuona nchi mambo hayaendi na mkuu wenu anakenua mimeno tu na kuzurura angani kila uchao, ukliuliza eti kaenda kusaini mikopo, kwani Balozi asingeweza kusaini mpaka waondoke woooote na lidege la nchi kwa gharama kuuubwaaaaaaaaa?
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Mtaje jina
 
Mama kagawa bandari kwa waarabu wenzake magaidi wapandisha majini ameona haitoshi anaendaa Korea kuwaita macho ya paka waje kuchukua rasilimali zilizobaki. Nchi ya kiqumer sana hii.
Mkuu just be careful…. Huna haja ya matusi na ubaguzi

Usijiamini sana
 
Acha mama atupambanie ,kiufupi wewe hujui chochote,unapomwona rais anafanya jambo jua taasisi ya urais imelifanyia tathimini na kulibariki, acha kuumiza kichwa ,hakika mama anaupiga mwingi,tumuunge mkono,hata kama humkubali naamini wewe ni miongoni mwa wale asilimia 0.1 out of 99.9 tunaomtakia heli mama.

Sio tu nasema mitano tena bali mikumi kwa mama😍😍😍
Kama taasisi ya urais ni kitu kinachotakiwa kuaminiwa kwanini hadi sasa nchi bado ni maskini tena miaka 60 na zaidi ya uhuru, au hiyo taasisi haikuwepo?

Ukweli ni kwamba ccm ndio chanzo cha umaskini kwa sababu hicho mnachokiita taasisi ya urais ndio ccm yenyewe na hivyo ccm imeshindwa na haina uwezo wa kuleta maendeleo bali kuhujumu nchi na rasilimali zake.
 
Kama taasisi ya urais ni kitu kinachotakiwa kuaminiwa kwanini hadi sasa nchi bado ni maskini tena miaka 60 na zaidi ya uhuru, au hiyo taasisu haikuwepo?
Inategemea huo umasikini unautazama toka angle gani,ukisema umasikini walokuwa nao watanzania wa miaka ya 60 ni sawa na umasikini wa watanzania wa miaka ya 2000 utakuwa umekosea,maendeleo sio ndoto ni process ,yaani moja mbili na kuendelea,kiufupi tunaimalika na maendeleo yanaonekana.

Tuipe muda CCM pamoja moja na rais wake,mambo mazuri yanakuja,mama yuko kazini
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
...ni Jaji yupi huyo aliyeyasema haya Mema ?.…. [emoji848]
 
Acha mama atupambanie ,kiufupi wewe hujui chochote,unapomwona rais anafanya jambo jua taasisi ya urais imelifanyia tathimini na kulibariki, acha kuumiza kichwa ,hakika mama anaupiga mwingi,tumuunge mkono,hata kama humkubali naamini wewe ni miongoni mwa wale asilimia 0.1 out of 99.9 tunaomtakia heli mama.

Sio tu nasema mitano tena bali mikumi kwa mama[emoji7][emoji7][emoji7]
...CHAWA Utawajua TU ! Inasikitisha....! [emoji45][emoji45]
 
Serikali haifanyia biashara ndi kauli mbiu yenu , acha kila kitu wapewe.
 
Kuna faida gani kwa familia kuwa na heka kumi za mashamba ilikhali kila mwaka mnalia njaa,huku watu wenye uwezo wakiomba wayaendeleze hayo mashamba ili nawewe upate kujikwamua kiuchumi? Je ni vibaya kuwapa wawekezaji ili tu mali hizo zibaki mikononi mwetu kama sifa?


Loliondo imekuwepo kwa miaka sasa,je uwepo wake umeleta tija kwa watanzania,? Na kama mimi sioni tija,kuna ubaya gani kumpa mwekezaji ili aendekeze huku tukipata gawio letu na watu kupata ajira?


Ok bandari,bandari imekuwepo miaka na miaka,je imeleta tija kama ambavyo taasisi ya urais na rais inataka,kama hakuna tija ,je nidhambi tukiibinafsisha ili kuongeza ufanisi na mapato kwa nchi yetu?

Watanzania hawana jema,ni watu walalamishi,hivyo rais aliyepo anapambana sana ili kuboresha maisha ya kila mtanzania.

Go go go go mama
...CHAWA Utawajua TU ! Sad....
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Huyo jaji wako amestaafu na akili yake, akae kimya
 
Inategemea huo umasikini unautazama toka angle gani,ukisema umasikini walokuwa nao watanzania wa miaka ya 60 ni sawa na umasikini wa watanzania wa miaka ya 2000 utakuwa umekosea,maendeleo sio ndoto ni process ,yaani moja mbili na kuendelea,kiufupi tunaimalika na maendeleo yanaonekana.

Tuipe muda CCM pamoja moja na rais wake,mambo mazuri yanakuja,mama yuko kazini
...Miaka 60 tuliyowapa haitoshi ???....
 
Back
Top Bottom