Yanayoendelea sasa CHADEMA ni mpango toka nje kuingiza nchi matatizoni. Serikali ina kazi ngumu huko mbele

Yanayoendelea sasa CHADEMA ni mpango toka nje kuingiza nchi matatizoni. Serikali ina kazi ngumu huko mbele

Narudia tena wewe ni mpumbavu na mzushi ambaye huyaoni wanayoyasema ili kuleta maridhiano na kukaa na huyo samia ili kujadili kwa kina kuhusu mustakabali wa Taifa.

Mbowe alizungumzia kuhusu umuhimu wa kuwa na maridhiano tangu December 2019 hadi hii leo hakuna yeyote ndani ya Serikali au maccm aliyemjibu. Kwa sababu hawaoni umuhimu wa kumjibu. Hilo HULIONI mzushi wewe.

Chadema wamemuandikia barua huyo samia ya kutaka kukutana naye. Samia kakutana na makundi yote ambayo hata hayakuomba kukutana naye wazee wa Dar, wanawake na vijana lakini cha kushangaza hadi hii leo hata barua ya Chadema hajaijibu kwa maandishi hata kwa kauli tu ya dakika mbili hadharani. Hili MPUUZI wewe hulioni!

Halafu unakuja humu kuandika uzushi wako kuhusu Chadema kutumika na BEBERUS wakati ukiwa huna hata chembe ya ushahidi.

Narudia tena uzushi na upuuzi wako mwisho wake lumumba siyo humu.

Naomba unielewe, mimi sijaandika uzushi nimeandika maoni ya ninachoikiona kwa kuangalia mwenendo wa Chadema.

Nimesikiliza na kupima kinachozungumzwa na Mbowe, Tundu Lissu na John Mnyika...
 
Hizo nchi za nje kuna kitu gani wanachokitafuta Tanzania ambacho hawawezi kukipata sehemu yoyote ile.

Watu wengine hawawezi kuwa na ujasiri wa kuandika chochote cha maana humu hasa wakishavuta bangi zao ndio kabisa wanaandika upumbavu mwingi tu. Sasa muulize alete ushahidi wa hizo nchi zinazofadhili Chadema, hawezi kutaja hata mmoja. Very stupid.
 
Chadema ni chama cha siasa chenye wanasiasa ambao si makini.

Ni chama kilichokusanya watu wanojiita wanasiasa lakini hawana mbinu za kuishi kwenye siasa....
Propaganda machinery ya ccm ipo kazini

yote hii ni kuzuia katiba mpya ili kakundi kadogo kaendelee kufaidi keki ya taifa.

Watz wenye akili tutawaunga mkono CDM kudai katiba mpya
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Siasa za vurugu sio suluhisho ya matatizo ya sasa.

Ni siasa makini zilojaa mikakati na mbinu kedekekede.
Siasa za kuua, kulawiti, kuteka, kubaka kuiba, kubambika kesi hewa ndo mnawaza maccm

Sasa tunakomaa kudai katiba njooni mtuue, mtuteka kama mlivyozoea

Alafu muone mungu alivyo fundi, mapimbi nyie!!
 
Umeandika insha ndeeefu isiyo na tija! Unapoandika Tena try to stick on main points! Ingependeza Kama ungesimama hapo kwenye kuvuruga ustawi na amani ya nchi na ungetaja jina la nchi inayoisaidia cdm ili hatua za kidiplomasia zichukuliwe! But you failed to mention that county! Pole Yako Kwa muda ulioupoteza hapa!
Ujerumani,Kishumundu na Ubelgiji
 
Propaganda machinery ya ccm ipo kazini

yote hii ni kuzuia katiba mpya ili kakundi kadogo kaendelee kufaidi keki ya taifa.

Watz wenye akili tutawaunga mkono CDM kudai katiba mpya
Shit Umeambiwa Nchi ina keki ya kula kweli watu wazima unatuelezea keki tumia akili basi kudadavua hoja.
 
Chadema ni chama cha siasa chenye wanasiasa ambao si makini.

Ni chama kilichokusanya watu wanojiita wanasiasa lakini hawana mbinu za kuishi kwenye siasa...
Kiongozi hoja yako ya msingi hasa ni ipi? Maana naona bandiko refu na umechanganya changanya tu.
 
Sijaona elements za nchi za nje ila nilichokiona Kwa uzoefu wangu mdogo wa siasa zetu ni kuwa kwakua huu ni utawala mpya jamaa wanapima tu kina cha maji
Badala ya kuanza kupima kina cha maji afadhali tutengeneze ngalawa..haiwezeani chama cha siasa miaka yote anakua mwenyekiti huyo huyo tu
 
Chadema ni chama cha siasa chenye wanasiasa ambao si makini.

Ni chama kilichokusanya watu wanojiita wanasiasa lakini hawana mbinu za kuishi kwenye siasa...
Na wewe ni miongoni mwa members wajinga sana humu ndani!!
 
Chadema ni chama cha siasa chenye wanasiasa ambao si makini.

Ni chama kilichokusanya watu wanojiita wanasiasa lakini hawana mbinu za kuishi kwenye siasa....
Wazo la katiba mpya lilitoka nje? Ficha kidogo ushamba wako!!
 
Back
Top Bottom