fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Jumuiya ziingilie kati ili atoke hata kwa nguvu. Yy mwenyewe aliwahi kusema kotapini ya baiskeli inaingia kwa nyundo nahutoka kwa nyundo.
Awamu hii anaondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awamu hii anaondoka
Hilo hata bongo lipo na ndio tofauti kati yetu na wazungu ambao tunasifia mifumo yao ya uongozi.Mimi nashangaa bado kuna Raia Uganda wanaweza kumpigia Kura Museveni....!
Ila Uganda pamoja na yote hayo bado wanaendelea kupambana.Hapa kwetu nako wanafanyiwa kama haya, watu kupotezwa, kupigwa, kudhalilishwa, kutumikia vifungo virefu bila yaushahidi, kupokonywa mali zao nk
Kabisa mkuu, kwetu uwoga mwingi sanaIla Uganda pamoja na yote hayo bado wanaendelea kupambana.
Ni mke wa Bob wine na mwanaye wa kiume.Ipo wazi kabisa.Mbona huko Youtube wengine wanasema yule mama si mke wa Bob wine?
Ipo wazi ki vp mkuu fafanua maana wengine husema sio yeye.Ni mke wa Bob wine na mwanaye wa kiume.Ipo wazi kabisa.
Mkuu mwanamke anataka kumpiga Askari? How come? Ccm acheni mambo ya ajabuSio mke wa bob yule acha ushambenga,alafu yule mwanamke ndo mkorofi anataka kumpiga askari pia wanawake wakikikamatwa silaha yao ni kuvua nguo hadharani
Kweli yule mwanamke ndio alianza kumsukuma sukuma askari ni kama yeye ndio alikuwa kishari.Sio mke wa bob yule acha ushambenga,alafu yule mwanamke ndo mkorofi anataka kumpiga askari pia wanawake wakikikamatwa silaha yao ni kuvua nguo hadharani
Wewe nyoka kweli huna hata chembe ya huruma just think if that was your wife you're moms...mmetesa na kuuwa watu rufiji ila Mungu hajalala,Sio mke wa bob yule acha ushambenga,alafu yule mwanamke ndo mkorofi anataka kumpiga askari pia wanawake wakikikamatwa silaha yao ni kuvua nguo hadharani
M7 aliingia madarakani kwa kutumia bunduki hivyo kumuondoa madarakani kwa njia ya karatasi (kura) ni vigumu mno.Madaraka ya kulevya,,huyu m7 alikuwa mwanamapinduzi kwelikweli lakini ndo hivyo kalewa madaraka,,inategemea na makuzi ya mtu toka utotoni,,hata hutu wine nae hatujui akipata madaraka atakuaje,,
Wawe wanajitahidi kuwapa madaraka watu waluolelewa ndani ya ustaarabu..
Mkuu weka picha hapa ili tuamini tuchangie acha kutubaniaPicha siyo nzuri mkuu mama anaanikwa anapanuliwa mapaja na chupi tu mbele ya mwanaye inaumiza hatupendi kusambaza amini kuwa picha si nzuri.
Watoto wote wa Bob aliwapeleka nje ya nchi tena nje kabisa ya Africa. Alisema atapambanana yeye na mke wake.Ni mke wa Bob wine na mwanaye wa kiume.Ipo wazi kabisa.
Kuna mission hajaimaliza kuitekeleza....! Au unataka Uganda igeuke, Colombia, Haiti ama Mexico!?Nimeamini madaraka yanalevya, tuseme m7 anataka kuongoza mpk mwisho wa uhai wake?
Mara abadilishe umri, mara katiba yaan viongozi wetu wa Afrika kama wana uraibu vile