Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mission? Mkuu acha siasa zenye siasaKuna mission hajaimaliza kuitekeleza.! Au unataka Uganda igeuke, Colombia, Haiti ama Mexico!?
Kuondoka hakuondoi tatizo,tatizo linaondoka kwa kutafakar na kuchukua hatua sahih,hata huko unapopasifia watu walipambana mpaka leo hii unavutiwa na matunda ya waliopapambania.trust me.. mi nimeamua kuondoka Africa kabla ya December hata kama ni kwa mguu..
Lazima watu wajue kinachoendelea, weka hapa videoVideo ni mbaya sana nikiipost nitaonekana naungana nao ktk kusambaza huu udhalilishaji kwa wanawake.Amini hivyo.
nitafakari, nichukue hatua kwa ajili ya nini hasa?.Kuondoka hakuondoi tatizo,tatizo linaondoka kwa kutafakar na kuchukua hatua sahih,hata huko unapopasifia watu walipambana mpaka leo hii unavutiwa na matunda ya waliopapambania.
Lazima watu wajue kinachoendelea, weka hapa video
Nini wewee thomasoPicha
Mkuu mpe hi 'qomber' hapo TrondheimWewe nyoka kweli huna hata chembe ya huruma just think if that was your wife you're moms...mmetesa na kuuwa watu rufiji ila Mungu hajalala,
Ingia you tube ipo kama vipi waweza fanya cmparison na mke wake unayemjua.Wanaosema siyo yeye wanapotosha tu.Ipo wazi ki vp mkuu fafanua maana wengine husema sio yeye.
Kusambaa kwa video haimaanishi ni nzuri.Video ipo fb pia ipo you tube lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa si nzuri ni ya udhalilishaji kwa wanawake.Mi nawashangaa wanaosema video sio nzuri eti wanashindwa kushea hapa wakati ye mwenyewe amepata kwa kusambaziwa au ipo fb huko acheni u snitch nyie watoto wa kiume.
Mbona Tanzania imeshampongeza Mu7 kwa ushindiKtk biblia imeandikwa kuwa zitiini mamlaka zilizowekwa ikiwa ni msisitizo kuwatii viongozi wote wa umma na jeshi kwa ujumla kwa maamzi yote yanayoamriwa.
Mambo yalianza kuwa tofauti kwa mfalme Nebkadneza alipoonja shubiri kutoka kwa vijana mahiri Daniel,Shadrake misheck na Abdnego walipokataa kutii amri ya dikteta mfalme Nebkadneza.
Wakasema hatuwezi kuitii hiyo sanamu na kuisujudia wakati yupo Mungu wa kweli apaswaye kuabudiwa ktk roho na kweli na siyo hii sanamu yako.
Mfalme alitoa amri akitumia katiba katili ya nchi na kuamru moto mkali ili vijana wachomwe moto na hakufanikiwa kabisa huku akiwaambia enyi vijana hivi hamjui kuwa imeandikwa kuzitii mamlaka hamjui ya kuwa mimi mfalme Nebkadneza nimewekwa na Mungu bado vijana hawamkuelewa.
Ingawa yametokea kwingi duniani afrika lakini yanayoendelea Uganda ni funika bovu.Askari wa Uganda na serikali yake wameua wapinzani na raia mno lakini waliosalia wameendelea kupambana mpaka mwisho.
Juzi serikali imeamru walinzi binafsi nyumbani kwa Bob wine kuondolewa haieleweki wakiwaondoa ili wafanyaje?.Bob Wine anapitia maumivu kama wanaharakati wengine afrika walivyoteseka Kensaro Wiwa nigeria,Tundu Lissu Tz,Kiza Besigye,Mandela Nelson na wengineo.
Funga kazi ni video inayosambaa mtandaoni ikiwaonesha askari wa Uganda wakimtesa mke wa Bob wine na mtoto anayeonekana kuwa ni mwanaye wakimvua nguo na kumwacha uchi hadharani mbele ya mwanaye huku wakimkimbiza mtoto asione mateso anauofanyiwa mama huyo.
Nasimama ktk mstari wa haki za binadamu kuwa sioni sababu ya serikali ya Uganda kufanya haya kwa raia mwenzao.Udhalilishaji huu unawadhalilisha wanawake wote duniani popote walipo.Ni nani anayependa mama yake afanyiwe hayo hadharani na abakie huru.Wanaume pia hudhalilishwa ila udhalilishaji kwa mwanamke huyu mke wa Bob wine umevuka mipaka yote.
Nina imani hata SHETANI amezidiwa mbinu na askari wa serikali ya Uganda kwa ubunifu wao.Ni heri watu wafe,wadhalilike,wabaki walemavu,wabakwe na kupata kila aina ya teso ili viongozi wa vyama tawala waendelee kutawala.HAIKUBALIKI.
JUMUIYA ZA KIMATAIFA, ASASI ZA HAKI ZA BINADAMU ZIINGILIE KATI JUU YA UDHALILISHAJI HUU ULIOFANYIKA KWA MKE WA BOB WINE.JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI HAINA UBAVU WA KUKEMEA UOVU HUU KWANI WANACHAMA WAKE WENGI WANAUNGA MKONO TUKIO HILI.
####STOPTOUCHERMENTOVEROPPOSITIONWOMANIN AFRICA####.
Una uhakika kwamba kapigiwa?? Siku hizi huwa wanajipigia wenyewe...Mimi nashangaa bado kuna Raia Uganda wanaweza kumpigia Kura Museveni....!
We jamaa unapenda kutumia "l" aliwasafilisha, Malekani, kah!!Mbona kuna taarifa BBC walitangaza kabla ya uchaguzi Bob Wynne aliwasafilisha mke na watoto wake Malekani kabla ya Uchaguzi anaweza kuwa mwanamke mwingine tu ..inawezakuwa misinformation za social Media
Sarufi maandishi tu.We jamaa unapenda kutumia "l" aliwasafilisha, Malekani, kah!!
Hapana askari ni waonevu mno.Sio mke wa bob yule acha ushambenga,alafu yule mwanamke ndo mkorofi anataka kumpiga askari pia wanawake wakikikamatwa silaha yao ni kuvua nguo hadharani
Tatizo la Bob wine ni kama la akina Lisu, ni mapandikizi ya mabeberu. Hebu wawe wapinzani wazalendo wasitumie wazungu, washauri serikali kwa upendoKtk biblia imeandikwa kuwa zitiini mamlaka zilizowekwa ikiwa ni msisitizo kuwatii viongozi wote wa umma na jeshi kwa ujumla kwa maamzi yote yanayoamriwa.
Mambo yalianza kuwa tofauti kwa mfalme Nebkadneza alipoonja shubiri kutoka kwa vijana mahiri Daniel,Shadrake misheck na Abdnego walipokataa kutii amri ya dikteta mfalme Nebkadneza.
Wakasema hatuwezi kuitii hiyo sanamu na kuisujudia wakati yupo Mungu wa kweli apaswaye kuabudiwa ktk roho na kweli na siyo hii sanamu yako.
Mfalme alitoa amri akitumia katiba katili ya nchi na kuamru moto mkali ili vijana wachomwe moto na hakufanikiwa kabisa huku akiwaambia enyi vijana hivi hamjui kuwa imeandikwa kuzitii mamlaka hamjui ya kuwa mimi mfalme Nebkadneza nimewekwa na Mungu bado vijana hawamkuelewa.
Ingawa yametokea kwingi duniani afrika lakini yanayoendelea Uganda ni funika bovu.Askari wa Uganda na serikali yake wameua wapinzani na raia mno lakini waliosalia wameendelea kupambana mpaka mwisho.
Juzi serikali imeamru walinzi binafsi nyumbani kwa Bob wine kuondolewa haieleweki wakiwaondoa ili wafanyaje?.Bob Wine anapitia maumivu kama wanaharakati wengine afrika walivyoteseka Kensaro Wiwa nigeria,Tundu Lissu Tz,Kiza Besigye,Mandela Nelson na wengineo.
Funga kazi ni video inayosambaa mtandaoni ikiwaonesha askari wa Uganda wakimtesa mke wa Bob wine na mtoto anayeonekana kuwa ni mwanaye wakimvua nguo na kumwacha uchi hadharani mbele ya mwanaye huku wakimkimbiza mtoto asione mateso anauofanyiwa mama huyo.
Nasimama ktk mstari wa haki za binadamu kuwa sioni sababu ya serikali ya Uganda kufanya haya kwa raia mwenzao.Udhalilishaji huu unawadhalilisha wanawake wote duniani popote walipo.Ni nani anayependa mama yake afanyiwe hayo hadharani na abakie huru.Wanaume pia hudhalilishwa ila udhalilishaji kwa mwanamke huyu mke wa Bob wine umevuka mipaka yote.
Nina imani hata SHETANI amezidiwa mbinu na askari wa serikali ya Uganda kwa ubunifu wao.Ni heri watu wafe,wadhalilike,wabaki walemavu,wabakwe na kupata kila aina ya teso ili viongozi wa vyama tawala waendelee kutawala.HAIKUBALIKI.
JUMUIYA ZA KIMATAIFA, ASASI ZA HAKI ZA BINADAMU ZIINGILIE KATI JUU YA UDHALILISHAJI HUU ULIOFANYIKA KWA MKE WA BOB WINE.JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI HAINA UBAVU WA KUKEMEA UOVU HUU KWANI WANACHAMA WAKE WENGI WANAUNGA MKONO TUKIO HILI.
####STOPTOUCHERMENTOVEROPPOSITIONWOMANIN AFRICA####.