Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi Maghembe huwa ni wasambaa vile eh? Kaa kwa kutulia. Kwamba ndo itasaidia nini?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi naona mtu kuweka evidence za uchafu wa kiongozi ni haki yake Ili kama hafai aondolewe.
Hivi ile clip inayo-trend ya ujambazi hotelin alivyovamia akiwa na land cruiser ya utalii utasema yule sio Sabaya alisingiziwa?
Hivi alivyomvamia diwani wa sombetini tena nje ya territory yake utasema amesingiziwa?
Kama umetumwa kumsafisha mtu kisa umeona za mwizi 40 zimekaribia wewe sema tu Ndugu.
 
Ni vizuri tusikie pande zote. Umafia wa raia wenzetu upo sana tena sana
 
Kama ni kutumwa basi na wewe umetumwa. kama wewe umekubali kutumwa kwanini unawalaumu wengine waliotumwa? Wivu au nini?
 
Kama ni kutumwa basi na wewe umetumwa. kama wewe umekubali kutumwa kwanini unawalaumu wengine waliotumwa? Wivu au nini?
πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Dah kweli mkuu Sabaya anayo kazi
 
Nani aliye mzungumzia Mbowe!
Tatizo ni wizi wa sabaya au tatizo ni umri aliyoishi huyo Mama yako?
Wewe ni wa kupuuzwa kama sabaya huna lolote!
Mwana Nchi wa Hai anakuwaje!???
Nikisikiliza au nikiona comments za humu JF najuwa mara moja huyu ni mwana Hai au msumbufu fulani hivi. Sabaya wana Hai wanaoshi Hai wamemkubali, na hawamwiti DC wanamwita kijana wetu, kina mama na kina baba wa kimachame wameji milikisha Sabaya.

Haya maneno ya kutunga yatafikia mwisho. Kwa sababu tuu ya anakotokea na pride yetu hatuwezi kumpa Ubunge kutawaliwa na mageni kwa kumchagua, lakini kwa hali ya utulivu na kutamalaki kwa amani Hai akigombea ubunge na Mbowe tutampa Sabaya.

Ongea na wana Hai huko Machame utajuwa Sabaya anachukuliwa vipi huko. Kurudisha heshima ya wazazi wetu kwa kurudisha haki na kuondoa uonevu pamoja na uwajibikaji wa utumishi wa umma Wilayani . ( maisha ya kibabe )

Waliofaidika na siasa chafu za kale ndio wanapata matatizo na kumuona Sabaya hafai. Haya ni maneno ya kutunga. Sabaya kama binadamu anΓ£o upungufu hasa anapo washugulikia wakosefu lakini wakazi wanankubali.

MAMA SAMIA TUACHIE SABAYA WETU HAI.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ hasafishiki huyo!
Ni suala la muda tu.....
 
Acha uongo wa kutetea mvovu wewe
 
πŸ™πŸ™πŸ™ Dah kwahiyo wana hai ni kawaida kujivunia Sabaya
 
Sabaya nikuambie kitu, hakuna atayejisumbua kusoma bandiko hili mpaka mwisho. Wewe jiandae kuwajibika, mtesi mkubwa wewe! Samia akikuacha, ujue tutaendelea kumlilia Mungu. Majibu utayapata.
 
Sabaya nikuambie kitu, hakuna atayejisumbua kusoma bandiko hili mpaka mwisho. Wewe jiandae kuwajibika, mtesi mkubwa wewe! Samia akikuacha, ujue tutaendelea kumlilia Mungu. Majibu utayapata.
πŸ™πŸ™πŸ™
 
Huu mwandiko wa mpumbavu Saabaya
Safarihii kiduku kinaenda kunyolewa kwa chupa gereza la Arusha kwa kesi ya utekaji ukitokea Hai kuingia Arusha Dc hili ulikwepi
 
Pumbafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…