Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Mbowe aliambiwa wewe hushindi na polisi akashindwa kweli Yule polisi alitumwa na nani. Kila Zama na kitabu chake DC aliambiwa Kila kitu uongozi wa aina yake umepitwa na wakati. Lema alimwambia huyu mfanya biashara alisema yametimia aongoze watu wa hai ndio kazi alipewa sio kungoa mabomba na kufunga hoteli za watu.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nilipofika mahali nimekuta kwenye bracket(Power of convince) nikaona nisiendelee utanichosha
 
Acha kuongea usivyovijua na alivyompiga diwani wa sombetini, alivyompiga risasi mlinzi wa cocorico club zamani triple A, alivyompiga katibu wa Ccm wilaya ya arusha mjini, vijana wake walivyompiga dc wa arusha mjini kenani huku akishuhudia sabaya ni sikio la kufa hadi ndugu zake hawaongei nae
 
Sabaya acha ujinga mdogo angu sisi sio watoto wenzio
 
Ujinga mtupu... Mpe taarifa kuwa ushamaliza kazi alokutuma, kama kuna mahala pengine umepost huu utumbo mwambie pia.

Zama za ubabe, uzandiki, giza, dhulma, uonevu, na maujinga mengine ndo hivo zina-phase out... Mungu fundi bhana.
 
Yaani kuna watu ni vilaza nyie kwenye hii nchi daah huyu kaandika ushenzi kama huyo mshenzi mwenzie
 
Upumbavu mtupu umejaa kwenye huu uzi wako
 
Zile tetesi kuwa kuna watu watalipwa ili wamsifie huyo DC hatimaye zimekamilika
Nalog off
 
Acha uongo wa kutetea mvovu wewe
Wana Hai wa JF nyie, sisi wakazi wa Hai tunajuwa jinsi alivyoondoa viburi vya watendaji. wacha Kumi waumie laki wafurahie ni sawa tuu.

Kwa yaliyokuwa yakitokea mambo mabaya siku za nyuma kwa watu kujisahau na jinsi wabaya walivyo jichomeka Chadema na kutetewa.

Hii imefanya hata chama Cha Chadema Hai Kikose mvuto. Na kwa hiari yetu tumekisafisha katika ngazi zote za uongozi kuanzia nyumba kumi, Madiwani hadi Ubunge. Chadema badilisheni viongozi hatutaki mungu watu.

Mpaka kufikia uchaguzi Mkuu, Madiwani wote 21 walikuwa wamehama kutoka Chadema na kurudi CCM sio kwa sababu ya chama cha CCM ila wana Hai walichoka na mwenendo wa viongozi waliokuwepo.

MABADILIKO YAMEFANYIKA KWA HIARI YETU NA WACHAFU MNAOWAPIGIA DEBE HAPA WARUDISHE TABIA ZA ZAMANI MJUE CHAMA MMEKIUWA KABISA, NA HILI MBOWE ANALIJUWA VIZURI.
 
Uongo mtupu hai watu hawakupiga hata kura siku ya uchaguzi, huyo tahira sabaya aliumiza watu, hafu hai huwa hamna maujinga ya watu eti mpaka wahimizwe na mwarusha tahira kufanya kazi, huyo aliletwa na jiwe kukomoa watu ataja kufa mdomo wazi huyu mwaarusha tahira ndio maana jiwe alivokufa alikuwa analia na jicho moja, kijana mdogo mwovu ka alivokuwa babake mzazi na alivokuwa jiwe
 
Ujinga mtupu... Mpe taarifa kuwa ushamaliza kazi alokutuma, kama kuna mahala pengine umepost huu utumbo mwambie pia.

Zama za ubabe, uzandiki, giza, dhulma, uonevu, na maujinga mengine ndo hivo zina-phase out... Mungu fundi bhana.
Ngoja anipe mkwaju wangu
 
Jamhuri yenu ya JF, tunafahamu wananchi wake. Hapa muda huu nipo Machame Uroki nitaenda Masama Magharibi na unayo yaandika hapa wana washangaa. Hai imetulia. U babe u babe wa kijinga, kudhulumu mashamba, viwanja, biashara za watu, ulevi wa kijinga wa vijana unaondoka kabisa kama sio kupunguza.
 
Huu mwandiko wa mpumbavu Saabaya
Safarihii kiduku kinaenda kunyolewa kwa chupa gereza la Arusha kwa kesi ya utekaji ukitokea Hai kuingia Arusha Dc hili ulikwepi
Dah hii nayo kali aisee
 
Mbona kachelewa kukutuma mwambie upepo umegeuka Bi mkubwa na wasaidizi wake wanapanga safu mpya ya Wakuu wa Wilaya na Mikoa.
 
Vijana tuache kutumika na wanasiasa. Ambaye hakuona ubabe na uhuni wa huyo muhuni yeye mwenyewe atakuwa muhuni pia. Miongoni mwa viongozi ambao hawafai kuendelea kuihudumu ofisi ya umma ni huyo jamaa. Zama za uongozi wa kupewa kisa umetesa wabaya wako kisiasa zimeshaisha
 
Acha propaganda huyu mjinga ataishia pabaya kijana mdogo anafanya madudu akitegemea aliyemteua ambaye ni mwanadamu licha ya kuwa Rais katangulia mbele ya haki, na karma ipo ataishia pabaya ajiandae kwenda kuchunga ng'ombe na rubega lake uko umasaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…