Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Hivi Sabaya alikulipa kiasi gani ili is file upuuzi kama huu hapa jamvini? 😳😳😳
 
Wewe siyo Raia mwema tokea Hai bali ni shetani tokea hapo Hai utetezi wako haramu ni wa kishetani huyo Sabaya hasafishiki hata mje na utetezi tokea wapi, hizo propaganda zenu za kijinga bakieni nazo huko kwa wavuta Bangi lakini kwa watanzania wenye Akili timamu hawawezi kukaa kusoma ujinga wako huu ulioujaza humu
 
Umetumwa si bure ht kumaliza kusoma tu nmeona kichefuchefu, Huyo DC hasafishiki hata kwa Magadi
Mleta mada atakuwa anavuta Bangi gheto kwa Cyprian Musiba kwani utetezi wake kwa sabaya ni wa kijuha sana
 
Mwanangu, tuchukulie kuwa unayosema ni ukweli. Je kesho akikamatwa Bashite utasema haya haya au nawe una namna? Kama ameonewa , mahakama zipo zitamsafisha mwanangu.
 
pumba tupu
 
Haya ni maneno tu,hata kwenye kanga yapo,umeongea porojo nyingi,lakini hakuna ushahidi wowote,dogo kuwa makini usitumike kama spin doctor,
 
Wewe ni mke wa sabaya au mshika mapembe acha uzembe serikali nayo imemuenea??nenda KISONGO KAMPELEKEE MUMEO CHAI
 
Naomba kujua. Kwa mujibu wa KESI alizofunguluwa Mabaya, nyingi ni za Arusha na Si Hao. Nafikiri jaribu boi Angalia hizo tuhuma na enda mpo zikiongezwa na hz za mitandaoni itakuwa balaa kubwa
 
Mfuate shujaa wako Kisongo. Usishangae ukimkuta anashanga
 
Pole pole mkuu hivi aliyo yafanya Sabaya hao wengine hawakuwepo?
 
Wewe ni mke wa sabaya au mshika mapembe acha uzembe serikali nayo imemuenea??nenda KISONGO KAMPELEKEE MUMEO CHAI
Wanao mfunga unazani hawakuwepo kipindi Sabaya anafanya Hayo?
Unaelewa nini ukisikia siasa ni mchezo mchafu.
 
Reactions: mmh
Uzi wako ni utumbo. Sabaya ni jambazi. Alipo sasa panafaa milele, au zaidi sana anastahili anyongwe HADI AFE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…