Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Wewe Jamaa mtoa mada ni Mavi [emoji90][emoji90]kama huyu Nnya wako Sabaya na MATAGA waliokutuma kutetea hilo liuaji na litekaji sabaya
Sabaya saa hizi anahesabu siku tu za kubakia pale ofisini maana ni lazima afukuzwe kazi.
 

Hapo mwisho ungemalizia kwa kusema Mimi Inzi wa Kijani kutoka Hai[emoji40]
 
Kwani hizo shutuma zisiwe Simiyu ziwe hai tu? Video zipo kibao zilizorekodiwa na CCTV zinamuonyesha mjomba akiwa kwenye shughuli zake anazojua yeye manufaa yake bwana wee wacha tuone mwisho utakuwaje ila jamaa hasafishiki.
 
Kwani hizo shutuma zisiwe Simiyu ziwe hai tu? Video zipo kibao zilizorekodiwa na CCTV zinamuonyesha mjomba akiwa kwenye shughuli zake anazojua yeye manufaa yake bwana wee wacha tuone mwisho utakuwaje ila jamaa hasafishiki.
Kweli mkuu siti ya mbele kuangalia movie hii
 
Uandishi wako unafanana sana na mtu mmoja anaejiita veronica france ambaye anasifika sana kwa kuandika utumbo mitandaoni
 
Mkuu na wewe umetumwa kwenda kukusanya kodi vijini?
 
Mleta mada wewe ni mpuuzi unaetakiwa kupuuzwa hadi na mbwa wa mtaani.
Aidha wewe ndie huyu mpuuzi dhulumati mwenyewe sabaya!
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kumtetea jamba-wazi kama lile kweli?
Wewe wahi mirembe uendawazimu unakuandama. shame!
 
haya ni maneno ya kipumbavu na wewe ni mpumbavu tu kama mwendazake
 
Mleta mada wewe ni mpuuzi unaetakiwa kupuuzwa hadi na mbwa wa mtaani.
Aidha wewe ndie huyu mpuuzi dhulumati mwenyewe sabaya!
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kumtetea jamba-wazi kama lile kweli?
Wewe wahi mirembe uendawazimu unakuandama. shame!
hao ndio chawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…