Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Wapumbavu, matakataka, mangrove, mashetani, mapopomba kama nyie kipindi cha mwendazake tuliwaambia zindukeni jamaa hatupeleki popote ila kutokana na ufinyu wenu wa akili mkawa mnasifu. Shukran kwa kovidi. Kama naona umelipwa na afisa kipenyo kuja kumsafisha hapa. Huyu lazima akaungane na mataga wenzie kwenda kuomboleza
 

DC kama huyu anatakiwa kufukuzwa kazi
 
Yaani akili za SABAYA banah! Umeona ukijitetea kupitia mgongo wa CHADEMA, MBOWE NA WANYONGE ndio utasalimika? Serikali ya awamu ya sita sio ya MAHARAMIA, Serikali ya kiharamia imeshaondoka na mwendazake.
 
Eitha umetumwa na Sabaya kumtetea au ni Sabaya mwenyewe ndio kakuandikia umpostie maana akili zenu ndogo zinalingana according to your writtings.
Kumsafisha Sabaya inahitaji uwe na UZUZU LEVEL YA PhD.
Sabaya kamwandikia, jana alipost na leo tena kapost.
Mwenye clip ya RC Akimuonya Sabaya akatoa miwani ya tinted na kuinua mabega juu. Please upload
 
Raia mwema au na wewe ni jambazi kama sabaya tuondolee ujinga hapa
 
For those of US who knows you well, wisdom demands that we keep silent but not without a word. "Grow up,you are no longer a child"
 
Taifa Hili lina Ujinga Mwingi sana.

Yaani Video clips zote za CCTV Camera nazo ni Mkakati Maalum?

Kwanini unakubali kushabikia Ujinga to the extent mpaka unakua Mjinga zaidi ya huyo aliyefanya Ujinga?

Hivi Kuwa Mwanasiasa ni lazima kusema uongo hata kwa yale yaliyo dhahiri?
 
Mtoa mada unajitahidi kutoa watu kwenye njia kwa kuweka tuhuma mfu against facts zilizotolewa kwa Rais. Unaemtetea sio rahisi hivyo anamasungasunga mengi mno hata nje ya wilaya ya Hai hasa Arusha mjini sijui haya utayasemeaje. Unapoteza muda wako.
 
Haya maisha mtu unatumia akili nguvu kutafuta angalau maisha bora anakuja stranglers anakufanya uishi kama panya mbaya sana haikubaliki aisee [emoji848]
Wewe sio mwananchi wa Hai, labda mwana Hai ya JF. Mna kazi sana ya kumuondoa Sabaya Hai. Bi mkubwa wangu ananiambia hajawahi kuona Mkuu wa Wilaya bora kama Sabaya kwa maisha yake ya miaka 71 Mungu aliyomjalia. Na mzazi wangu ameishi ndani na nje ya nchi hii, na amekuwa mtumishi kwa ngazi ya heshima na amestafuu mwaka 2009 na kurudi Hai / Lyamungo Sinde.

Anashangaa Hai / Lyamungo Sinde imekuwa kama pepo, hakuna ujambazi wala wizi wa kijinga kijinga hata dhulma za wazi wazi.

Na kama ni chama basi huwataki chama na huwamtaki Mbowe Kama maisha yatabaki kutulia na usalama kama yalivyo leo.

Sio Sabaya ni wananchi wakazi wa Hai ndio hawamtaki Mbowe.

Wapo tayari mwanachadema mwingine agombee ambaye atawasikiliza na sio Mbowe. Na hata uchaguzi ufanye mara kumi Mbowe hawezi tena kuwa Mbunge hawamtaki.

Kama Mbowe hutundika koti tuu wamchague, basi sasa hivi hilo koti lake na dharau zake sasa hivi wamezichoka. (Maneno ya wana Hai)

NA YEYE MBOWE ANALIJUWA VIZURI HILO, HATA APITISHWE NA CHADEMA MARA MIA MBOWE HAWEZI KUUKUBALI UTEUZI HUO.

NA WANA HAI WAMEOMBA KIBALI CHA KUANDAMANA JUMATATU KUMUUNGA MKONO DC WAO.
 
Nani aliye mzungumzia Mbowe!
Tatizo ni wizi wa sabaya au tatizo ni umri aliyoishi huyo Mama yako?
Wewe ni wa kupuuzwa kama sabaya huna lolote!
Mwana Nchi wa Hai anakuwaje!???
 
uambie ni mambo gani ya neema yameanzishwa Hai toka huyo DC wako afike? Zaidi ya kutisha wawekezaji, kuvuruga mashamba, kufunga wafanyabiashara nk.

WALA MSIPATE TAABU FILE LA SABAYA NI CHAFU SANA!!! ATAKUWA WA KWANZA KATIKA MaDC kuondolewa kwani hafai kuwa kiongozi hata wa wachunga nguruwe!
 
Ukitaja Hai nakumbuka Byakanwa alivyofeka Shamba la Mbowe la Green house na mazao yake. Eeeh Mungu mlipie Mbowe haki ya Shamba lake na Mazao yake.
 
Huu mkakati mama ameshausoma na SABAYA atapewa mkoa wa kilimanjaro sasa. SUBIRINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…