Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika


umeandika vizuri lkn umeharibu hapo kwenye biashara inapofanywa na mwislam na asiye mwislam.

ila bandiko lako linaeleweka japo kwa majehidina hawatakubali kwa kulaum mfumo kristo eti umekymeza
 
Mbona uulizi kwanini makanisa mengi sana huko Tanzania Bara yanazuia kwa nguvu zote waumini kuingia na vimini wakti wa ibada? Je hujui kwa nini?

Mbona una jibu tayari "waumini" tena "kuingia nyumba ya ibada" Kwa mama ntilie ndiyo nyumba za ibada? Kwa hiyo watu wakila ni kosa mwezi mtukufu?? You are not serious!!?? Unalinganisha vitu gani hapo!!
 

Hivi waislam huwa wanafunga au wanageuza tu ratiba ya mchana kuwa usiku? Usiku kucha wanashinda wanakula.hahahaaaaa
 

Moja ya watu ambao huwa siwaamini kwenye lolote ni waislam.maamuz yao Mengi hutokana na hisia.wanaweza kutekeleza lolote wakati wowote bila kujali madhira.hapo ndpo wanapotofautiana na jamii nyngine.
 
Hili Ni jambo la aibu Sana watu kupoteza muda kujadili vyakula, SI bure wazungu wanakuja kutuibia kila siku na hawataacha, mpaka akili kama hizi za kijuha zipungue, ujinga umetawala,
 
Nijuavyo hakuna mkristo mzanzibar,hayo ni madhara ya kujifanya mjuaji kwenye ardhi ya watu,huwezi kuishi baki kwenu tanganyika@mtoa mada
 
usijitoe ufahamu ndoa na ubakaji ni vitu viwili tofauti. waislamu hawabaki?

Nisome vizuri:

Na nyie na watoto zenu wanaolawitiana na mapadri na maaskofu kanisani mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele si mnafanya kwa ridhaa yenu? vipi Umoja wa Mataifa uwaingilie?

Wewe kama si kwa ridhaa yako vipi uwaruhusu wanao au kama huna, watoto wa wenzio waende sehemu hatari kama hiyo kwa kuharibu watoto mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele? How?
 


Nikufundishe kitu tu, na hasa kwa sababu mm ninaishi huku Pemba.

Suala sio kwamba huku unalazimishwa kufunga hapana tatizo ni kutokufunga na kufanya vitendo vyenye kuharibu funga public.

Tujaalie mfano ulotoa wa huyo mama ambae anafanya biashara , ni sahihi kabisa alivokujibu. Sisi dini yetu hata yule anaishughulikia msikiti anatakiwa afanye kazi kupata riski yake sisi hakuna kupeana pesa kama ukristu unavofanya kwa wachungaji kwa mgongo wa sadaka.

Suali la kujiuliza huyo mama anafanya biashara katika mazingira gani?
Kama ni Bara huko hakuna tatizo sababu kuna mchanganyiko wa imani tofauti tena kwa uwiano wenye kufanana.
Fikiria Pemba Waislamu tupo 99.99% utafanya biashara ya chakula umuuzie nan? Sababu hata wadogo hufundishwa kufunga japo kwa masaa machache tu sababu haijawa lazima kwa watoto.
So kimazingira tu basi yanakufanya uachane na biashara ya chakula ujielekeze kwengine kwa ramadhani.
Nikutoe wasiwasi huku mfumo wa maisha ni tofauti kidogo, mtu anafanya biashara pia anamiliki shamba la mazao ya chakula na hakuna Mpemba ambae familia yao haina shamba.
 
wakristo wanatandikwa viboko kisa wamekula chakula ni wachache huko zenj mimi huku nakoish kata nzima kuna makanisa makubwa 20 na kijimsikiti kimoja kidogo sana sasa kwautaratibu wa wengi wape tukipiga marufuku uwislam tutakuwa tumekosea?

Tulia ukitaka kuchangia mambo haya sababu utakuwa unajibu vitu kinyume.
Kwan huku Zanzibar kumepigwa marufuku Ukristo?
Sisi Pemba kuna Makanisa mazuri kwa mijengo hata Bara sehemu nyengine hakuna.
Ila wanaheshimu imani yetu kwa wingi wetu nasisi ndio maana tukawa tunawaheshimu kwa imani yao, na ndio maana kanisa Pemba haijawahi kuchomwa labda Unguja ambayo ndio Zanzibar!
Kuna miji mingapi wakristo wanalalamika kwa adhana za alfajir?
 

mtume wako hakuelewa UTATU ndo maana hata wewe huelewi! Haishangazi
 

Halafu KUSOMA hajui na usiku anakojoa kwenye vibakuli!
 

Barubaru, ni zile futari za kiserikali je?

tende na haluwa je serikali inagawa bure?

mamilioni wanayopewa BAKWATA kuhusu mfungo je?
 
Last edited by a moderator:
Mbona uulizi kwanini makanisa mengi sana huko Tanzania Bara yanazuia kwa nguvu zote waumini kuingia na vimini wakti wa ibada? Je hujui kwa nini?


Muulize dada yako mvaa vimini kama ashawahi kupigwa kwa kuvaa hivyo,
 

Ajaabu.

Kitu mimi kinachonishangaza ni huyu jamaa anaejiita jason bourne anashida gani kuandika utumbo huu ili mradi tu atafute ugomvi na waislam kwa kutumia id fake??

Kwanini kama anajiamini asije na verified id yake kusema hicho anachokisema??

Unakumbuka hii id mods walishaiunganisha na yule tapeli anaetupia jina la nyerere kilaghai kwa kujiita ati ni baba yake??

Huyu jamii ni mwehu sana.

Ni mtu wa kupuuzwa tu.
 
Barubaru, ni zile futari za kiserikali je?

tende na haluwa je serikali inagawa bure?

mamilioni wanayopewa BAKWATA kuhusu mfungo je?

Sasa bakwata si chombo alichoanzisha nyerere laanatullah ili ausimike mfumo kristo??

Unashangaa nini sasa serikali yako ikiwapa mapesa.

Bakwata nacho ni chombo cha kanisa tu nani asiefaham.

Mnacho hiko na mtakufa nacho hiko si mmekianzisha wenyewe??
 
Last edited by a moderator:
ISLAM start accumulating in countries and then start terrorizing it with gangs of rapists, violence and civil disruption.

They are possessed, demon possessed. They seek to spread fear and violence, they are pawns of the devil who feeds off of the fear and suffering they create for power.

Just as their leader, Mohammad, they use "God" as an excuse to prey on innocent people. Mohammad was a robber and a thief, his followers are no different.

It is not the Most High God they serve, but Satan.

Hivyo kwa mujibu wa Biblia majini yaani mashetani ni adui zetu na ndiyo maana alipokuja Muhammad yalianza kukanusha kuwa Mungu hana Mwana ili kuwavuruga waislamu wasijue kweli. (Soma Qurani 112:1-4, Al-Kahf, 18:3) ya kumwamini Mwana wa Mungu Yesu.

Kwa bahati mbaya sana mambo yanayohusu majini katika imani ya kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Qurani na Hadithi za Muhammad, Mtume wa waislamu vinatutaka sisi Wakristo tumwamini Allah S.W. Mungu anayeabudiwa na Waislamu Misikitini

Katika Suratul Waqia 51:56.
“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu”
Katika Qurani Suratul Al-Ankabut (Buibui), 29:46-47
“Wala msibishane na Watu waliopewa Kitabu kabla yenu ila kwa yale majadiliano yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tuyaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake.”

Waliopewa Kitabu kwa mujibu wa Qurani ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.

Muislamu yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana.
Katika Suratul Al- Baqarah (ng’ombe Jike wa Njano), 2:1-3.
“Alif lam mym. Hiki ni kitabu kisochokuwa na shaka ndaniyake ni uongozi kwa wamchao Mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadamu) yamesemwa na Mwenyesi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.
Qurani peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, , wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Qurani.
tusomapo katika Qurani SuratulAl- Ahqaf, (Kichuguu Cha mchanga) 46:29
“ Na wakumbushe tulivyokuletea kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipohudhulia walisema (kuambiana: ‘Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyesi Mungu’ na ilipokwiza’ na ilipokwiza somwa walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya.”
Na ndani ya Qurani kuna sura nzima inayoitwa surah ya majini (Mashetani) hiyo ni surah ya 72. katika Surah hiyo inasema 72:1-3, 14 “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikia Qurani likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yeyeote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana ……
Nasi wamo miongoni mwetu waliosilimu Na wamo waliokengeuka. Waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Qurani ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Qurani imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.

Akifafanua asili ya majini mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdallah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kasha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “Maisha Ya Nabii Muhammad”.Ule Uk 31 anasema
“ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu Kama inavyoonyesha haya katika suratul Jinn. Majini ni viumbe vyebesi vinavyokaa angani havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA.
Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.

Suala linalohusu malaika linawasumbua sana Waislamu hata hawana uhakika wake.
Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaitwa majini lakini tusomapo Qurani inatoa maelezo tofauti.
Quran Suratul- al- sajdah, (kusujudu) 32:13
“ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa Malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- liliyo jema na baya).

Katika ulimwengu wa kiislamu malaika wote ni wema na wanamwabudu Mungu.
Hapa ndipo penye tatizo linapoanzia. Qurani ilipokuja baadaye inasema Malaika wote wema wakati Biblia kitabu kilichotangulia Qurani kinasema kuna malaika walioasi Na wakafukuzwa katika utukufu WA Mungu.
Katika Qurani Suratul al kahf (Pango) 18:50
“ Na kumbukeni tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakasujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya Mola wake ……”
Katika aya hiyo tunaona Ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa Malaika kumbe kwa mujibu wa Qurani Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao Malaika yaani yeye akiwa Malaika.

Kwa sababu Qurani haina habari kuhusu Malaika waliosi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hao majini ni mashetani, Mwislamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata Mwislamu huyo anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu, malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika ibada yake, soma katika
(Irshadul Muslimiin, sheikh Said Musa, Uk 38)
Katika Tafsiri ya Qurani ya Imam Jalalaini Uk 6:151 anasema kuhusu majini
“ Hao ni watoto wa Ibilisi”
Hii ndiyo sababu hata Wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi Msikitini kwa sababu mle ndani kuna majini na chakula cha majini ni damu.
Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waumini (Waislamu) wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani” (Asili ya majini, DK. Ahmed H. Sakr Uk 28)Ndiyo maana baadhi ya Waislamu wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.
Kwa sababu wao Waislamu hawajui kubambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale Malaika watakatifu wa Mungu Yehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na amemfanya atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohammad Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 hadith Na 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (jinni) katika sala basi anapuliza katika ------ yake, basi (Yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala) mpaka asikie sauti (ya kutoka upepo) au anuse harufu (ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Huyo shetani, au jinni anakuwa karibu sana na huyo Muumini wa kiislamu hamchezei tu Mwislamu katika ------ yake kama tulivyosoma hapo juu bali pia anapofanya tendo la ndoa.
Katika kitabu kiitwacho Asili Ya majini cha Dr Ahmad h. Sakir Uk 116 anasema
“ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujivingirisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu kuwa huyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja kwa mkewe ametumwa na huyo huyo Mungu wao. Hiyo ni kesi ya ngedere kumpelekea nyani! Utashindwa tu!

v Huhakikisha haweki wazi utambulisho wake vinginevyo watu wanaweza kumkwepa au hata kumkimbia. Jina lake linawatisha watu wengi. Hivyo ni vyema asijitambulishe kama ni shetani, jinni.
v Huwapotosha watu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ili waende naye jehanamu, badala ya kwenda peke yake. (Kumbuka hukumu ya Yesu kwa Ibilisi na Malaika zake Math 25:41)
v Huwakatisha watu tamaa kwa sababu kwa sababu hana la kuwapa ila matumaini ya uongo ( mf Q. 52:20)
v Huhakikisha kwamba watu wanamheshimu. Kumfuata shetani maana yake ni kuwa mtu amejisalimisha (kumbuka Waislamu wanaposalimia majini kulia na kushoto katika sala {Irshadul Muslimin Uk 38}).
v Huhakikisha kwamba hadhihirishi jina lake kama shetani lakini kama rafiki aliyejificha anayewatakiwa mema.
v Huanziza vurugu vinginevyo maisha yake huwa ya taabu. Huwa anafurahia kuona watu wakipigana wao kwa wao.
Katika kipengele hiki tunaposoma katika Qurani, suratul- Al- maidah, (Meza) 5:14
 

mara tunaiga, mara mbona hatujaiga!

halafu eti fikiria kabla ya kuandika!

rat sized brains!
 
Kumbe ndomana kuna mashoga wengi huko!
Kukengeuka kwa mtu hakuwakilishi dini ya mtu huyo bali ni upotevu wake mwenyewe. Ona hapo chini. Je huyu Imamu anauwakilisha uislamu? Acha ujinga ongea points.

IMAMU mmoja ambaye hakufahamika jina lake wa msikiti wa Kisesa Jijini Mwanza, amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na Waislam wenzake akiwa kituo cha polisi Kisesa anaposhikiliwa kwa wizi wa nguruwe ‘kitimoto’.
Waislam hao walivamia kituo cha polisi -baada ya kupata taarifa za Imamu huyo kudaiwa kuiba nguruwe ambaye anajua ni najisi kwenye dini ya Kiislam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…