Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

hakuna anaelazimishwa kufunga hapa zanzibar.kwa wale ambao hawadungi wanakatazwa wasile hadharani kakini.kwa maana hiyo wanatakiwa wale majumbani kwao.kutokana na huvo viongozi wa serikali,mashekhe na waumini hutangaza kwamba si.ruhusa kula hadharani ndani ya mwezi mtukufu wa ramadhani.suala hilo halipo ndani ya sheria lakini serikali ina haki ya kutoa amri ya kitu fulani kisifanywe iwapo kinaonesha kuleta madhara fulani.suala la serikali kukataza watu wasile hadharani ni sawa na kukataza maandamano kutofanyika.serikali hii leo iseme ni ruhusa zanzibar wasio waislamukula hadharani hapo patatokezea ugomvi mkubwa usio zuilika
Hapa wanakataza Kwa Sheria ipi??aliyekataza kula hadharani ni serekali ya mapinduzi ya Zanzibar?
 
waislamu popote walipo duniani ni watu wa chokochokondio maana hata ulaya wanawakaribisha ulaya kwawema ila waki wa out number watataka kuisilimisha ulaya yani hii dini ni keroduniani ndio maana india nachina hawakubali hii dini ishamiri wanajua nibomu labaadae. Ni incubation YA MAGAIDI POPOTE DUNIANI.
Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Mbona haijatokea gharika Tanganyika ambako wenye macho mekundu wanauliwa, au maalibino kukatwa viungo vya mwili na watu kuchunywa ngozi!!!????

Au katiba ya TZ inaruhusu haya? Na mbona hauyashangai haya na badala yake unakuja kushangaa watu wanaopigwa bakora ZNZ kwa kosa LA kula mchana wa mwezi wa Ramadhani!!??? Acha unafiki name kumbuka hicho kitabu chako unachokifuata kinasema ukitaka kutoa kibenza kwenye jicho la mwenzako basi anzia kutoa boriti kwenye jicho lako

Lakini sikushangai sana maana mfumo kristo ndivyo ulivyokulea kulifanya kubwa lolote lile ambalo waislamu watalifanya name kuliona dogo lolote lile ambalo wakristo watalifanya hata kama ni mapdri kulawiti watoto
Hilo halihusiani na dini!
 
Hili jambo limekuwa sugu! Waziri wa mambo anatakiwa kulitolea ufafanuzi.
Vinginevyo Zanzibar hakuna uhuru wa dini.
 
Ni kweli Kwan uongo?mfano jiulize moyoni mwako,wewe unampenda muislam?ni wazi kbs hata wewe mwenyewe ni shahidi kuwa una chuki na Uislam,qur an inachotueleza ni kwamba most of you mnatuchukia sisi waislam bila kosa lolote,kosa letu ni KUTAMKA kuwa hakuna Mungu anapaswa kuabudiwa isipokuwa Mungu Mmoja Muumba wa mbingu na ardhi,nyinyi Hiko hamtaki na mna kinyongo na sisi,so qur an inatupa tahadhari tusiwanye kuwa ni wasiri wetu,kwani mliliyoyaficha vifuani mwenu ni vizito.
Mfano mtu akuchukie mtu kama wewe unayetumia jina bandia, hakujui, ulivyo kichwa maji na hopeless apate faida gani
 
77% of new converts to Islam are from Christianity, whereas 19% were from non-religion. According to Guinness, approximately 12.5 million more people converted to Islam than people converted to Christianity between 1990 and 2000.

Wewe nyangau bakia huko huko dini ni upuuzi ,umeona hizo hesabu za two sauzend
Mfano hii inakusaidia nini wewe binafsi
 
Serikali ya Zanziba imeruhusu raia /waharifu wanaojificha nyuma ya mwamvuli wa dini, kupiga watu hovyo eti kisa mtu kala chakula,hilo ni Bomu hatari sana, maana wataona ni kawaida na kwenda mbali zaidi
 
Kama watz mna akili timamu mtagundua Kuna juhudi zinafanywa na awamu hii kuvunja muungano maksudi kabisa!!

1.Dp world

2.fedha kibao huko visiwani.

3.hiyo kamata kamata inayotokea!!

Ongezea mengine!
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu hivyo ni lazima ufuate sheria za kiislamu, hivyo kwa wale wanaokula mchana hadharani mwezi wa ramadhani lazima wapigwe bakora. katiba yao ndio isemavyo tofauti kabisa na katiba ya bara yenye ukiristo na uislamu
Samahani bwa shee unaweza kutupa ufafanuzi kidogo wa hicho kifungu kinachosema hivyo?
 
Back
Top Bottom