Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

''yaa ayyyuhallazina amanu'',,ni sahihi tuh kutumia hapo,na Wala siyo hoja ya kuweka kikao,ni enyi mlioamini msije kuwafanya hawa makafiri kuwa RAFIKI zenu,kwakuwa wapo watu walikuwa wanajifanya wameamini,lakini Kwa upande mwingine ni wanafiki wanashirikiana na makafiri kuwamaliza waislam.

Wakiwa pamoja na waislam wanasema sisi tumeamini,baadae wakitoka wakiwa na makafiri wenzao wanasema sisi hatujaamini Wala Nini,yaani tuamini kama wanavyoamini wale wendawazimu Kuwa eti Mungu ni Mmoja?sisi tunawacheza shere tuh,tunawachora tuh wale waislam,so Hali ilikua ni hivyo,sisi waislam tunapaswa kutowafanya makafiri kuwa washirika au tunatakiwa kukaa na nyinyi Kwa akili Kwa kuwa tunajua njyinyi mnatuchukia.
Hizo ni aya mbili tofauti aya ya kwanza ni hiyo na Makristo na Mayahudi..

Aya ya Pili uliyoleta ni wale wanafiki na inaendelea mpaka Aya ya 62..
Screenshot_20240329_110717_Quran Swahili.jpg


Na ukiangalia hiyo.aya Anataja miongoni mwa wale sio wote aya ya 51 ametaja kwa ujumla sijui kama unaelewa nahaw au nianze kukuelekeza
 
We familia yenu yote ni waislamu,hamjachangamana na makafiri na wapagani kabsa?
Nna wasiwasi sana hii dini imejaza ma physcopath na mnaongoza kwa kuwa na inferiority complex
Hata wee siku ukipata mpenyo uko tayari kuua wanaokuzunguka kwa vile sio waislam kama wewe.
No wonder juzi mmepiga risasi watu kule Russia huku mkijidai mmefunga na kufuturu damu za watu.Huku mnataja Allah Akhbar.Shame on you.
I think the only one ambae ni physcopath hapa ni wewe,ambae unaliza kitu unajibiwa Kisha unakimbilia kwenye kitu tofauti na jibu ulilopewa,hizo ni dalili za wazi kabisa za MTU ambae ni physcopath.

Unaangalie taarifa zipi za habari mwenzetu hadi useme kuwa wahusika na shambulio Moscow ni waislam,za mwamposa au?

Kuchanganyika na mtu pamoja nani kakuambia kuwa inaondoa chuki,ipo mifano mingapi makafiri Huwa mnawatenga hata kuwazika ndugu zenu kisa tuh wamesilimu na kuhamia kwenye uislam?au unajitoa ufaham kingasti wa mwamposa
 
hayo ya Russia yaache kama yalivyo huyawezi ,mipango ipangwe kisha itekelezwe halafu rushiwe wengine ,ili kuidanganya jamii.
Achananeni na habari za mitandaoni mtaingizwa soko la mboga wakati ulihitaji nyama.
 
Hizo ni aya mbili tofauti aya ya kwanza ni hiyo na Makristo na Mayahudi..

Aya ya Pili uliyoleta ni wale wanafiki na inaendelea mpaka Aya ya 62..
View attachment 2947964

Na ukiangalia hiyo.aya Anataja miongoni mwa wale sio wote aya ya 51 ametaja kwa ujumla sijui kama unaelewa nahaw au nianze kukuelekeza

Huna Cha kunielekeza, sababu vyote unavyozungumza ni vitu ambavyo viko wazi na vinaeleweka,na vimefanywa kuwa accessible ili kila mwenye kuutaka ukweli na Haki aupate.

Umekwepa hapo kwenye point ya kwamba Qur an haijazungumza negative kuwahusu watu wasio na Imani,na haijatuambia tuwachukie la hasha,Bali imetueleza kuwa tukae na Kwa makini na Kwa akili Kwa kuwa most of them makafiri wanachuki na sisi Kwa KUTAMKA kwetu Jina la Mungu Mmoja na kuamini,pia ukiwemo na wewe.
 
sawa utakapozidiwa usije ukamkimbilia Mungu akusaidie
Mungu sio dini....
Muda wote namkimbilia Mungu (mara chache namkimbilia mganga wangu 😹😹) na Mungu ananitendea mema sana, siukimbilii ukristo wala uislamu.
 
77% of new converts to Islam are from Christianity, whereas 19% were from non-religion. According to Guinness, approximately 12.5 million more people converted to Islam than people converted to Christianity between 1990 and 2000.

Wewe nyangau bakia huko huko dini ni upuuzi ,umeona hizo hesabu za two sauzend
 
nasikia sous afrika kanisa zima liliona wanakoelekea siko wakabadilisha tanga ,bado sijajua kama ni kweli au ni upepo tu.
 
maneno ya quran yanavyosema katika suratul al maida aya ya 51

1711701093596.png
 
Lengo la kufunga ni kupata njaa ili yale maumivu ya njaa yalete toba ya kweli wakati unamwomba Mungu akusamehe na kukuhurumia dhambi zako. Hawa watu wengine ambao kwao funga imegeuka kuwa badikiko la ratiba ya kula na sio kufanya toba wana shida kubwa sana.
Kabla ya mfungo walikuwa wanakula asubuhi saa nne, mchana saa nane na jioni saa moja au mbili.
Baada ya mfungo wanakula saa kumi na mbili, halafu saa nne usiku na saa kumi na moja asubuhi. Ndio maana wanapata muda wa kuwawinda wenzao wasio na imani yao na kuwapiga. Kwa mawazo yao wanaona kama mungu wao anawapa thawabu kwa kumsaidia kuwaadhibu wasio na imani yao lakini kiuhalisia wanatuonyesha jinsi huyo mungu wao alivyo dhaifu hata kuwatuma watu wafanye badala yake.
Hii dini ni tatizo na hasa kwa wenzetu wazanzibari. BADILIKENI.
 
Huna Cha kunielekeza, sababu vyote unavyozungumza ni vitu ambavyo viko wazi na vinaeleweka,na vimefanywa kuwa accessible ili kila mwenye kuutaka ukweli na Haki aupate.

Umekwepa hapo kwenye point ya kwamba Qur an haijazungumza negative kuwahusu watu wasio na Imani,na haijatuambia tuwachukie la hasha,Bali imetueleza kuwa tukae na Kwa makini na Kwa akili Kwa kuwa most of them makafiri wanachuki na sisi Kwa KUTAMKA kwetu Jina la Mungu Mmoja na kuamini,pia ukiwemo na wewe.
Mkuu Elimu ya Dini (Uislamu) nimesoma Japo.sio Muhadithina ila nina kielimu cha Juu cha Mustalah al-Hadith..

Na pia Sio Fuqha ila nina elimu ya Fiqhi na Aqida..
Nina elimu Katika wenye Elimu ya Kiislamu (Sijisifu ni wasifu wangu)..
Nimewahi kuwa Salafiya, Answar, Na hata Ibadhi na nilipata mafunzo kiasi ya Shia (Pale chuoni kwao Tanga)..

Baada ya wasifu huo naomba kukwambia kwamba ninachokuambia Ninakijua Na hakuna haja na kupaka Rangi upepo
 
Mkuu Elimu ya Dini (Uislamu) nimesoma Japo.sio Muhadithina ila nina kielimu cha Juu cha Mustalah al-Hadith..

Na pia Sio Fuqha ila nina elimu ya Fiqhi na Aqida..
Nina elimu Katika wenye Elimu ya Kiislamu (Sijisifu ni wasifu wangu)..
Nimewahi kuwa Salafiya, Answar, Na hata Ibadhi na nilipata mafunzo kiasi ya Shia (Pale chuoni kwao Tanga)..

Baada ya wasifu huo naomba kukwambia kwamba ninachokuambia Ninakijua Na hakuna haja na kupaka Rangi upepo
Kama umesoma na ukiwa self conscious na hujapata uongofu basi I feel sorry for you,Kama hujapata uongofu kutoka Kwa Allah,nani sasa atakuongoza.
 
mimi siyo mtaalamu lakini najua kuwa aya huwa zinafuatana kwa mantiki fulani, ndiyo mana nikasema aya moja tu haijitoshelezi kuleta maana kamili.

Na hiyo ya kuongezewa wake wengine wala siyo issue, kwani nyinyi si kila siku humu munajisifu muna side chicks wangapi, tena wengine michepuo ndiyo wanayoishughulikia zaidi kuliko hata hao wake zao. Halafu munachukua hata hao watoto wa michepuo kumpelekea mke nyumbani ati amlee, he! bila ya aibu kabisa.
Bibie nenda kapate elimu ya dini yenu kwanza huu mda unaoshinda mtandaoni ili uijue vyema usije singizia eti huna utaalamu.
Kingine nyie hamjawahi tosheka hata mkioa wanne bado tu mtakua na side chicks unaowaongelea kwa sababu mnapenda ngono mnoo.
 
I think the only one ambae ni physcopath hapa ni wewe,ambae unaliza kitu unajibiwa Kisha unakimbilia kwenye kitu tofauti na jibu ulilopewa,hizo ni dalili za wazi kabisa za MTU ambae ni physcopath.

Unaangalie taarifa zipi za habari mwenzetu hadi useme kuwa wahusika na shambulio Moscow ni waislam,za mwamposa au?

Kuchanganyika na mtu pamoja nani kakuambia kuwa inaondoa chuki,ipo mifano mingapi makafiri Huwa mnawatenga hata kuwazika ndugu zenu kisa tuh wamesilimu na kuhamia kwenye uislam?au unajitoa ufaham kingasti wa mwamposa
Ebu nenda katafute ile video ambayo makobazi wenzio walikuwa wanawamimia risas kwenye hall wale watu waliokua wanakimbia na kumchinja mwanamke mmoja huku wakitaja hiyo Allah Akhbar.
Hata siku moja huezi tofautisha ugaidi na uislam.Mnatia aibu sana alafu mnasema mmefunga huku mnafuturu damu za watu.
 
Back
Top Bottom